hahahaah ,,,,,mh... sasa milion dollars,,, dirhams,,,, riyalls..au nini ndugu yangu ??
mi mwenzio nililipia kumi bado nadaiwa moja na nusu, siunajua mahali ulipi yote?, unashangaa milioni sita???
Utakua hukuskia vizuri watakua walikwambia elfu stini. Ni rizonabo kabisa.
Lipia......... Ukimpata hakikisha anatumika ipasavyo
Weka CV yake kwanza.
Inawezekana hiyo 6m ni bei ya promoshen halafu wewe unalalamika.
Kama ni unataka kuoa binti wa ukoo wa mafisadi hiyo milion 6 ni vijisenti tu. Kwanza wanakushangaa kwa nini hukulipa palepale !
Hivi hao so called house girls, hawafahi kuolewa?anafanana na housegirl wetu aliondoka 2007 kadai mamake amefariki ama ndio unaishi nae mpwa tuambiane??same copy
Naona wanataka mtaji hao !
basi ni mtoto wa qabus huyo...