Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
Wanawake wa sikuhizi ni wauwaji na wamekuwa chanzo cha vifo kwa wanaume.Hapo kilichofanyika ni sahihi,wanawake wa kaskazini ni kaa la moto mda wowote anaweza kukumaliza ili arithi mali.Iwe fundisho na wanaume tuweni makini sana na hawa viumbe kwani mstari unaotenganisha upendo na chuki kwenye ndoa ni mdogo sana wengi wanaishi kinafaki.
Acha kutokwa maneno wewe kaoe kwenu tu…huyo nancy ni mzaramo sio wa kaskazini komaaa