Nyakijooga
Senior Member
- Dec 9, 2018
- 123
- 202
Mahakama imesema haijashindwa kusikiliza mashauri ya watuhumiwa wa ugaidi kwa sababu ya kukosa bajeti ya kusafirisha mashahidi na kwamba gharama hizo ziko chini ya Ofisi ya Taifa ya Mwendasha Mashtaka (DPP).
Katika taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano, Mahakama imetaka wananchi kupuuza taarifa za upotoshaji ambazo imesema hazina nia njema na Mhimili wa Mahakama.
Ikumbukwe Siku za hivi kumeibuka mjadala kuhusina na washtakiwa wa makosa ya ugaidi zaidi ya 100 kudaiwa kukaa gerezani muda mrefu (miaka sita hadi kumi) bila mashauri yao kutolewa uamuzi mahakamani.
Katika taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano, Mahakama imetaka wananchi kupuuza taarifa za upotoshaji ambazo imesema hazina nia njema na Mhimili wa Mahakama.
Ikumbukwe Siku za hivi kumeibuka mjadala kuhusina na washtakiwa wa makosa ya ugaidi zaidi ya 100 kudaiwa kukaa gerezani muda mrefu (miaka sita hadi kumi) bila mashauri yao kutolewa uamuzi mahakamani.