ugali motoMahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imeamuru kukamatwa na kupigwa mnada nyumba ya mkurugenzi wa gazeti la Tanzania Daima, Dudley Mbowe iliyoko Mikocheni, ili kulipa deni la Sh62.7 milioni anazodaiwa na waliokuwa waandishi na wahariri wa gazeti hilo.
Sambamba na amri hiyo iliyotolewa na Naibu Msajili wa Mahakama hiyo, Mary Mrio, pia imemteua dalali wa kutekeleza amri hiyo, Jesca Massawe kutoka kampuni ya udalali ya MM Auctioneer & Debt Collectors.
Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo kufuatia maombi yaliyowasilishwa na waandishi hao, Maregesi Paul na wenzake tisa ili kutekeleza tuzo yao waliyopewa na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), katika shauri la mgogoro wa kikazi walilolifungua dhidi ya mwajiri wao huyo.
Akizungumza na Mwananchi, Paul amesema wakati amri hiyo inatolewa, Dudley ambaye ni mtoto wa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema, hakuwepo mahakamani licha ya kwamba alikuwa ameahidi kuwa angefika na fedha za kuwalipa.
Mbowe hajafanya poa. Kwenye ruzuku ya 2.7b alishindwa kuchomoa 62m na kulipa waandishi? Huyu ni kiongozi mbinafsi anyejijali peke yake na familia yake. Halafu kumbe Tanzania Daima ni mali yake binafsi na sio CHADEMA? Hakika huyu ni mjasiriamali na nyumbu ni mtaji wake.
Wanafanya maigizo ili kuonesha kuwa Mbowe haibi ruzuku. Mlalamikiwa hakwendà mahakamani makusudi. Hao wadai watalipwa kimyakimya.Mbowe hajafanya poa. Kwenye ruzuku ya 2.7b alishindwa kuchomoa 62m na kulipa waandishi? Huyu ni kiongozi mbinafsi anyejijali peke yake na familia yake. Halafu kumbe Tanzania Daima ni mali yake binafsi na sio CHADEMA? Hakika huyu ni mjasiriamali na nyumbu ni mtaji wake.
Ruzuku lazima itumike kwa manufaa yake, hakuna namna.Akifanya hivyo mnakuja kumnanga tena anatumia ruzuku kwa manufaa yake, binadamu hamueleweki
Ni mali ya MboweTanzania Damia haikuwa "Limited Company"?
Mtoto akaze akidekezwa sana atajisahau 62mill kama ana connection mjini ni hela ndogo sana hiyo hakosi wa kumdhaminiBaba anakosa 62mil?
Kuna sehemu imeandikwa anadaiwa Freeman Mbowe?Mbowe hajafanya poa. Kwenye ruzuku ya 2.7b alishindwa kuchomoa 62m na kulipa waandishi? Huyu ni kiongozi mbinafsi anyejijali peke yake na familia yake. Halafu kumbe Tanzania Daima ni mali yake binafsi na sio CHADEMA? Hakika huyu ni mjasiriamali na nyumbu ni mtaji wake.
Kwa hiyo mtoto angeshindwa kumpa mimba mkewe angelaumiwa Freeman Mbowe?Kwa nini hamjifunzi kutenganisha watu na majukumu yao?Baba anakosa 62mil?
Dawa ya Deni ni kulipa tu hakuna namna nyingine.Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imeamuru kukamatwa na kupigwa mnada nyumba ya mkurugenzi wa gazeti la Tanzania Daima, Dudley Mbowe iliyoko Mikocheni, ili kulipa deni la Sh62.7 milioni anazodaiwa na waliokuwa waandishi na wahariri wa gazeti hilo.
Sambamba na amri hiyo iliyotolewa na Naibu Msajili wa Mahakama hiyo, Mary Mrio, pia imemteua dalali wa kutekeleza amri hiyo, Jesca Massawe kutoka kampuni ya udalali ya MM Auctioneer & Debt Collectors.
Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo kufuatia maombi yaliyowasilishwa na waandishi hao, Maregesi Paul na wenzake tisa ili kutekeleza tuzo yao waliyopewa na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), katika shauri la mgogoro wa kikazi walilolifungua dhidi ya mwajiri wao huyo.
Akizungumza na Mwananchi, Paul amesema wakati amri hiyo inatolewa, Dudley ambaye ni mtoto wa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema, hakuwepo mahakamani licha ya kwamba alikuwa ameahidi kuwa angefika na fedha za kuwalipa.
Kwahiyo baba mtu amekosa hiyo mil 62 akamlipia mwanae??Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imeamuru kukamatwa na kupigwa mnada nyumba ya mkurugenzi wa gazeti la Tanzania Daima, Dudley Mbowe iliyoko Mikocheni, ili kulipa deni la Sh62.7 milioni anazodaiwa na waliokuwa waandishi na wahariri wa gazeti hilo.
Sambamba na amri hiyo iliyotolewa na Naibu Msajili wa Mahakama hiyo, Mary Mrio, pia imemteua dalali wa kutekeleza amri hiyo, Jesca Massawe kutoka kampuni ya udalali ya MM Auctioneer & Debt Collectors.
Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo kufuatia maombi yaliyowasilishwa na waandishi hao, Maregesi Paul na wenzake tisa ili kutekeleza tuzo yao waliyopewa na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), katika shauri la mgogoro wa kikazi walilolifungua dhidi ya mwajiri wao huyo.
Akizungumza na Mwananchi, Paul amesema wakati amri hiyo inatolewa, Dudley ambaye ni mtoto wa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema, hakuwepo mahakamani licha ya kwamba alikuwa ameahidi kuwa angefika na fedha za kuwalipa.
Hata kama ni mali ya Mbowe biashara ikishakuwa Limited kisheria hata liabilities zinaishia kwenye biashara tu hazifiki kuwa personalNi mali ya Mbowe
Hata hujaelewa unachojibuNi mali ya Mbowe
Angelipa waandishiAkifanya hivyo mnakuja kumnanga tena anatumia ruzuku kwa manufaa yake, binadamu hamueleweki