Hiyo habari nimeisoma on line,anashitakiwa kwa kosa la kumuita mkuu wa wilaya khadija nyembo kuwa hana maadili,pia hakufika mahakamani kwani wakili hakumjulisha.
Mleta mada ungeweka habari yote si kutunga uongo,make hata jaji welema hakuna alipoandikwa wala ishu ya escrow hakuna ilipoandikwa kwenye hiyo habari.
nilidhani bungeni kuna parliamentary immunity!!!!au alisemea nje ya bunge?naona ccm wanataka kupunguza majimbo ya ubunge ya wapinzani kidikteta!!!!
lissu simamia kesi hii.
Nimeshuhudia ulaya mtu ukionwa unamuita mwenzako nyani/tumbili/sokwe ata kama hujatamka lakini ukionyesha viashiria tu ata kumdondoshea ganda la ndizi tu ni kesi kubwa tena kama ukiwa kiongozi unapigwa chini madaraka yote uliyonayo. Sijajua huku kwetu kama na yenyewe ni kosa la ubaguzi au imekaaje
CCM ni sikio la kufa.
wamwahi kumkamata si unajua tumbili atapalamia miti na milima
Nikweli mkuu sijui ni kwanini mleta mada alikusudia nini hapo
Acha waendelee kuweweseka.....WAMESHAKAMATWA HAO SASA WANATAPATAPA TU...
Ccm hawachomoki hapo
kesi uchwara kama hizi ndizo zinazidi kushusha credibility ya CCM mbele ya jamii ya watanzania.
Hao washaishiwa mbinu. Unaambiwa Jana Dodoma kwenye kikao cha Kamati kuu JK kachanganyikiwa maana akiangalia wajumbe karibu nusu ni pro Lowasa. Sasa halo mtapanga nini cha siri kisifike kwa walengwa? Kuwafukuza nako hawezi
Hao washaishiwa mbinu. Unaambiwa Jana Dodoma kwenye kikao cha Kamati kuu JK kachanganyikiwa maana akiangalia wajumbe karibu nusu ni pro Lowasa. Sasa halo mtapanga nini cha siri kisifike kwa walengwa? Kuwafukuza nako hawezi
Kuna uwezekano mkubwa wa Kafulila kushinda uchaguzi akiwa mahabusu au jela...
Nikweli mkuu sijui ni kwanini mleta mada alikusudia nini hapo
hii kesi ni kiinimacho tu. kila mtu mwenye uelewa yakinifu anafahamu fika kuwa hizi ni hasira za ESCROW. kuna kesi gani hapo zaidi ya hasira za kuumbuliwa kwenye ufisadi? kesi tangu 2013 inakuja kuibuliwa leo kwa malengo yapi hasa?