Mahakama yaamuru Kafulila akamatwe mara moja

Mahakama yaamuru Kafulila akamatwe mara moja

Wanamuongezea umaarufu Dr Kafulila maana nimaajabu kweli kweli. Kafulila tuko nyuma yako sauti ya umma ni sauti ya Mungu.
 
tpaul

Pin hiyo kumzuia asiwe Mbunge!
 
Last edited by a moderator:
tpaul

Haiwezekani! Kafulila ana kinga ya bunge wanampotezea muda tu kijana wa watu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Acha waendelee kuweweseka.....WAMESHAKAMATWA HAO SASA WANATAPATAPA TU...
 
Kafulila asijali tuna wanasheria waliobobea! sio hao akina werema na mrithi wake!
 
Acheni uongo na propaganda...mahakama haina uwezo wa kuhoji yanayoongelewa bungeni.
 
Hivi Ccm hawajui kufanya hivyo ni kuanzisha upya hasira za wananchi juu ya ESCOROW upya na mwishowe kuzidi kujichafua zaidi ? Account za stanbinc sasa zitawekwa wazi , ama kweli mfa maji haachi kutapatapa
Hivi kumwita mtu mwizi Tena ni baada ya kuitwa tumbuli na Kutishia kuua ni kosa lipi lina afadhali hapo ???
 
Wanamuogopa Tundu Lisu?Lisu aliwataja watuhumiwa wote wa Escrow waliohusishwa walioko bungeni wakamatwe na wafunguliwe mashtaka akiwemo Werema,Chenge,Tibaijuka,Muhongo nk nk.
 
Machafuko ya Tunisia na Algeria yalianza na mtu mmoja aliyeonewa ktk kila nchi na tunajua hadi hivi leo hakujatulia.
 
Wanamuogopa Tundu Lisu?Lisu aliwataja watuhumiwa wote wa Escrow waliohusishwa walioko bungeni wakamatwe na wafunguliwe mashtaka akiwemo Werema,Chenge,Tibaijuka,Muhongo nk nk.

ukistaajabu ya IBILISI, utasikia ya CCM.
 
Kuna wakati Mahakama zinakuwaje sijui
sasa hii si wanaingilia mamlaka ya bunge
na walikuwa wapi muda wote huo hadi
tushaanza kusahau hiyo escrow

naona wanataka kuibua upya suala la ESCROW wakati wananchi walishaanza kusahau. ama kweli CCM ni sikio la kufa.
 
Back
Top Bottom