pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Mimi sijasoma mpaka mwisho, naruhusiwa kuchangia?
SASA HIVI AMEBAKI MHUNI MMOJA ANAITWA ERYTHROCYTE YEYE NI KUSIFIA TU MARA ABUBAKAR MARA NANI NAYE KESHAISHIWA PUMZI HANA HOJA MTANDAONIYaani kamanda tuvushe yuko mahakamani hadi sasa ni ukrasa wa pili tu? Ama kweli makamanda uchwara wamejichokea. Ufipa kwishilia mbali.
Gaidi baba yako.Mbowe gaidi, acha aipate fresh
Unaujua upumbav wa Mbowe?Wewe ni mpumbaf unajua Unyama kafanya huyu mshen###@
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Noooo! Bunge siyo chombo cha wanasheria. Parliamentarians are legislatures NOT Lawyers!Mimi mwenyewe mtu science japo sio ile ya Greek words, Ila Leo ukweli nimeonja ladha ya utamu wa mabishano ya kisheria.
Natamani pia itokee siku moja bungeni kuwa na wabobezi wa Sheria namna hii alafu spika asimame katikati aache watu waringishiane walicho nacho kichwani nahisi Kama nchi tunaeza piga hatua Sasa😢😢😢😢
Kabla hujatamka hayo jiulize mwamba wa chattle yuko wapi sasa?Yaani kamanda tuvushe yuko mahakamani hadi sasa ni ukrasa wa pili tu? Ama kweli makamanda uchwara wamejichokea. Ufipa kwishilia mbali.
Ligaidi linaendelea kusota kolokoloni.Kabla hujatamka hayo jiulize mwamba wa chattle yuko wapi sasa?
Hii comment yako imenifanya nikumbuku hii twitiMawakili wa upande wa serikali ni weupe