Mahakama ya Kisutu yawahukumu Mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona kwenda jela miaka 3

Pesa waliyoiba na hukumu tofauti yaani hata mie nakubali mbona maana akitoka anajua pesa zake zipo anatakuja kuzitumia, watu kama hawa wanatakiwa wafilisiwe aisee, nchi ya ajabu hii, kuna point jana mwigulu ameongea ilikuwa inaendana hawa wezi wa mali ya umma
 
Nimepigiwa simu kufahamishwa hilo ila sina uhakika.Nasikia wamehukumiwa kifungo cha jela miaka mitatu na faini ya miaka mitano.Ila navyoamini itakuwa jela miaka 3 au faini ya million 5.

Mwenye taarifa za kina atujuze.
mkuu tulia ,lete habari iliyokamilika
na sio habari mfu kama hivi ulivyoleta
kama huna uhakika ni bora uweke UNCONFIRMED
ili wadau wa mambo wakuwekee sawa
Pia @modertaor muwe mnakuwa fair sio
kutubadilishai maoni yetu kila muda...
mie nimeandika comment nyingine
wewe moderator unabadilisha kadri ya matakwa
yako binafsi
sio fair coz this is the platform where we dare to speak openly.
 
Wameiba milioni 11 halafu wanaambiwa kulipa milioni 5 na kifungo miaka mitatu, inasaidia nini katika uchumi wa nchi? Mwigulu anasema hiyo ni send-off kwenda kutumia pesa ya wizi
sio milioni 11,ni billion 11 mkuu.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kwenda jela miaka mitatu waliowahi kuwa mawaziri ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bazili Mramba na Daniel Yona .
Kosa kubwa ni ubadhilifu wa fedha za serikali.
Source; ITV & Radio One.
 
Wameiba milioni 11 halafu wanaambiwa kulipa milioni 5 na kifungo miaka mitatu, inasaidia nini katika uchumi wa nchi? Mwigulu anasema hiyo ni send-off kwenda kutumia pesa ya wizi

waliiba bilioni11 wanalipa milioni5. Ina maana bado tunawadai bilioni10 na milioni995. Duh? Aisee kweli tanzania ni zaidi ya uijuavyo.
 
mbona adhabu ndogo sana.
hata kama adhabu ndogo lakini walau wanaenda kuvaa yale magwanda na kutumia madebe kama kina babu seya. sijui atapangwa domitory gani, i hope hawatawapa executive rooms, apelekwe segerea kwa armed robbers, hapo keko atakuwa amependelewa sana. tunaomba apelekwe gereza la kueleweka kama wanaloenda wanadamu wengine, sio apelekwe sehemu yenye kitanda na tv.
 
Mahakama ya hakim mkazi kisutu imewahukum aliewahi kua Waziri wa Fedha pamoja na aliekua Waziri wa nishati na madini Daniel Yona kwenda jela miaka mitatu kwa kosa la kuisababishia hasara serikali
 
William Mshumbusi

tuwape pongezi mawakili wa serikali walioendesha hiyo kesi, kwasababu PCCB kwa uwezo wao mdogo kuendesha kesi waliwabwagia hawa state attorneys wahangaike nayo. wangeachiwa pccb hii kesi tusingepata hata mmoja.tunao huko mahakamani yaani mteja wangu akiwa anashitakiwa na pccb huwa nafurahi kwasababu nashinda kesi.
 
Last edited by a moderator:
waliiba bilioni11 wanalipa milioni5. Ina maana bado tunawadai bilioni10 na milioni995. Duh? Aisee kweli tanzania ni zaidi ya uijuavyo.
patamu hapo kumbe Bilioni? Na hiyo ni kasehemu tu. Unakumbuka tulilishwa nyasi ili kolokocho la rais aghali sana linunuliwe kwa mbwembwe kabisa? Mahakama inatania. It is not serious. Tutaendelea kufuga majambazi
 
Hii ndio adhabu gani,tukiendelea na ujinga kama huu nakwambia wizi hautokwisha serekalini.Ningefurahi na kuipongeza mahakama kama wangelambwa miaka 20 jela,Viboko kumi wakianza kutumikia adhabu zao na viboko vingine kumi wakati wakitoka jela,wafilisiwe malizao zote na kusiwepo na fursa ya kupunguziwa adhabu.

Mkuu hukumu hii imenishangaza, Taifa tunaonekana hatuko serious na serious crimes - kama mambo yenyewe ndio haya basi watu ambao wapo kwenye vitengo nyeti wataendela kupiga hela ndefu, maanake wanajua kwamba at the end of the day CRIME PAYS!!!

Kwa nini sheria inayotaka kupitishwa kwa wahujumu wa mafuta na gesi isitumike kwa mara ya kwanza kwa kundi hili ili huwe ni mfano kwa watu wengine - oh yes wafungwe miaka 30, wafilisiwe mali zao zote hata zile walizo andikisha familia na ndugu zao ili wakitoka jela salama maisha yao yarudi back to square ONE kama watanzania wengi walala hoi tulivyo.
 
Back
Top Bottom