mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
mkuu bora kubeba kuni kuliko kushika ukuta na uzee uleHeee sasa mramba alivyo mfupi vile ataweza kweli kubeba kuni jela
mkuu bora kubeba kuni kuliko kushika ukuta na uzee uleHeee sasa mramba alivyo mfupi vile ataweza kweli kubeba kuni jela
Heee sasa mramba alivyo mfupi vile ataweza kweli kubeba kuni jela
Heee sasa mramba alivyo mfupi vile ataweza kweli kubeba kuni jela
hata kama adhabu ndogo lakini walau wanaenda kuvaa yale magwanda na kutumia madebe kama kina babu seya. sijui atapangwa domitory gani, i hope hawatawapa executive rooms, apelekwe segerea kwa armed robbers, hapo keko atakuwa amependelewa sana. tunaomba apelekwe gereza la kueleweka kama wanaloenda wanadamu wengine, sio apelekwe sehemu yenye kitanda na tv.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kwenda jela miaka mitatu waliowahi kuwa mawaziri ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bazili Mramba na Daniel Yona .
Kosa kubwa ni ubadhilifu wa fedha za serikali.
Source; ITV & Radio One.
Inawezekana ni miaka mitatu au faini ya Tsh 5ml, hii mifisadi papa huwa haipigwi kifungo.
hata kama adhabu ndogo lakini walau wanaenda kuvaa yale magwanda na kutumia madebe kama kina babu seya. sijui atapangwa domitory gani, i hope hawatawapa executive rooms, apelekwe segerea kwa armed robbers, hapo keko atakuwa amependelewa sana. tunaomba apelekwe gereza la kueleweka kama wanaloenda wanadamu wengine, sio apelekwe sehemu yenye kitanda na tv.