C chuwaalbert JF-Expert Member Sep 17, 2010 3,598 2,115 Dec 8, 2016 #482 Mnyoofu said: Nchi hii....watakata rufaa na kesi itaishia hapo hapo... Click to expand... ...Hawajakata Rufaa na wako Nje..... Walicheza Tamthilia ya kufagia Palestina. Tukaoneshwa walishika mifagio wakiwa na gulovuzi na mabuti. Basi! Hukumu ikaishia hapo.....
Mnyoofu said: Nchi hii....watakata rufaa na kesi itaishia hapo hapo... Click to expand... ...Hawajakata Rufaa na wako Nje..... Walicheza Tamthilia ya kufagia Palestina. Tukaoneshwa walishika mifagio wakiwa na gulovuzi na mabuti. Basi! Hukumu ikaishia hapo.....