Ndo ushangae kama mimiHivi tarehe 1.1 ni mwaka mpya wa dini gani.........???
Ndo ushangae kama mimiHivi tarehe 1.1 ni mwaka mpya wa dini gani.........???
Nenda kashtaki basi kwa paroko wako, kuwa nchi inataka kusilimishwa.
Unataka kutuambia maulidi si katika Uislamu. Hembu nikuulize vizuri maana naona unataka kuzungumza uongo sasa
Bora ungewauliza hao wanao zisheherekea, ila Hazina asili katika Uislam.
Kwanza nakurekebisha. kwenye Uislam hakuna cheo cha Muadhama, ni kipya kwangu mimi...! Jambo lingine ni ili... Unapotaka kujadili mambo ya Kiimani hususani Uislam, jaribu kujuwa Taratibu zake na misingi yake.
Narudia tena Waislam HATUNA sikukuu zaidi ya zile nilizo zitaja hapo juu, sasa kama Sheikh Simba ndio reference ya Uislam sawa, lakini sisi reference yetu si Sheikh Simba, wala si X-Paster, ni Qur'an na Sunna aliyo tuwachia Mtume wetu...!b Ukiona mtu anadai zaidi ya hayo hapo juu ni wa kuulizwa, hameyapata wapi!?
Hatutaki mambo ya kuiga iga hapa kwa kuwa Wakristo wanapumzika siku ya mwaka mpya basi na Waislam wawe na mapumziko siku ya mwaka mpya wa Kiislam, hayo hayapo kwenye Uislam, ni mambo ya kuiga unasara tu.
Nai hiyo tarehe 7 Dec, Sheikh Simba ameisemea kwa kuwa tu mwaka mpya wa Kiislam umeangukia tarehe hiyo, lakini mwakani mwaka mpya wa Kiislam utaangukia November 26.
Kindly Mr Mdondojai, provide an empirical evidence to substantiate your allegation.
lazima kuwa na tahadhari.
kadiri tunavyolainika kukubaliana na matakwa yao, kwao ni ushindi katika vita vyao vitakatifu aka jihad.
sisi tutaona tunajenga mahusiano, lakini wao watakuwa wakitung'ong'a misikitini na kwenye vijiwe vya halua
siyo sawa.
Mdondoaji,
Naona umelielekeza suali lako kwa mtu maalum ila napenda kuchangia kile nikijuacho baada ya kujisomea.
Maulidi ni sawa na birthday party, sasa tokea lini birthday ikawa sehemu ya dini. Ni madoido tu ambayo baadhi ya waislamu hufanya kusherehekea uzao wa mtume, nabii Muhamadi.
Katu haiwezi kuwa ni nguzo muhimu ya uislamu. Kama wewe binafsi unaipa uzito siku ya kuzaliwa kwako, basi uichukulie kama hivyo na hao waislamu wanaoiadhimisha siku hii ni kuwa wanaona ni muhimu.
Kwa waislamu ni kur-ani na sunna(hadithi sahihi) ndio vitu vikuu. Vyengine ni vipambio tu.
Ah ah ah, masanilo, uoni kuwa huyo jamaa, anastahili majibu yake, tunapaswa kweli kuchangia kwa Hoja...! Ila Masa leo naona huu mstarabu sana, ni wewe kweli...!? Naweza tuka-shake hands mkuu!?Mzee ur going beyond the belt! Hivi unafikiri na sisi wengine tukianza kujibishana kwa mizaha hapa hali itakuwaje? Usiwe na jazba
Haya muanze katana mikono na miguu, mpigane mawe na kucharazana bakora yaani barbaic punishments
Nilikuwa namaanisha kuwa, huyo jamaa aliye waona hao wenye kusheherekea... angewauliza... kulikoni mambo haya!?Hapa ulikuwa unamaanisha kipi?
Mkuu, nadhani unaelewa nini maana ya sunna!Kupigilia msumari hapo hebu nikuulize swali je maulidi wapi yameeandikwa si katika sunna na ni haramu? Nipe aya inayosema maulidi ni haramu au hadithi inayokataza maulidi? Mie nakupa aya inayohalalisha maulidi nenda kaitafsiri soma aya inasema inallahu malaikatau swaluna alanabii yaayuhaladhina amanu swalu alaywasalim mutaslima kanitafsirie aya hii halafu uje uniambie je maulidi si halali?
Mahakama inayo simamiwa na Kadhi, iliwahi kuwepo hapa Tanzania (Tanganyika) na kule Unguja, je historia inatufahamisha kuwa kazi yao ilikuwa kukata watu mikono?
Shukran Baba mtu kwa kuliona ilo.Usipoteze muda wako ewe x-paster. Hao wanaopinga kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi ni wagonjwa, wanaumwa ugonjwa wa ISLAMOPHOBIA. Soma hapa:
https://www.jamiiforums.com/habari-...onjwa-hatari-wa-islamophobia.html#post1351129
ili ujue mengi kuhusu ugonjwa wa islamophobia.
Mdondoaji,
Naona umelielekeza suali lako kwa mtu maalum ila napenda kuchangia kile nikijuacho baada ya kujisomea.
Maulidi ni sawa na birthday party, sasa tokea lini birthday ikawa sehemu ya dini. Ni madoido tu ambayo baadhi ya waislamu hufanya kusherehekea uzao wa mtume, nabii Muhamadi.
Katu haiwezi kuwa ni nguzo muhimu ya uislamu. Kama wewe binafsi unaipa uzito siku ya kuzaliwa kwako, basi uichukulie kama hivyo na hao waislamu wanaoiadhimisha siku hii ni kuwa wanaona ni muhimu.
Kwa waislamu ni kur-ani na sunna(hadithi sahihi) ndio vitu vikuu. Vyengine ni vipambio tu.
Ah ah ah, masanilo, uoni kuwa huyo jamaa, anastahili majibu yake, tunapaswa kweli kuchangia kwa Hoja...! Ila Masa leo naona huu mstarabu sana, ni wewe kweli...!? Naweza tuka-shake hands mkuu!?