Mahakama ya kadhi hii hapa!

Mahakama ya kadhi hii hapa!

Yote maisha tu. After all mahakama inawahusu waumini ambao kwa hali ya Kibongo, ni wazi kuwa wengi sana watakuwa na mkono mmoja maana kwa kupenda kwao ********** watahukumiwa sana. Tujiandae kupata walemavu wengi zaidi.:embarrassed:
 
Kwani waislamu hawalipi kodi? Acheni unazi wenu huo dunia inabidilika wakubwa!!!

Wewe kwa nini unatamani kuendesha shughuli zako za kidini kwa kutegemea fedha za makafiri wala nguruwe?Jamani waislamu wa Tanzania hamjui vizuri maagizo ya koroani takatifu,mbona mnatia aibu.Jitegemeeni wenywewe,msijichanganye na makafiri maana mtashindwa kuuona ufalme wa mungu!!
 
Hongereni sana! Na sisi serikali itukumbuke February 3, 2011, iwe ni siku ya mapumziko, ni mwaka mpya kwa sisi wachina. Pia wapwa zangu ni waorthodox tunataka iwe siku ya kitaifa ya mapumziko hapo January 14, 2011.

Tupewe tunachokitaka.
Na wale Coptic Orthodox Christians amabo Christmas yao ni 7th of January, nayo hiwe siku ya mapumziko...!
 
Mkuu una point sana but lamsingi tuangalia je ule mwaka 2011 A.D. je ni mwaka wa nini kama Adomino je inakuwaje? Watoe tu kama ni watu wana significant impact katika population ya Tanzania wapewe kama wanataka.

Kwa mara ya kwanza hujanitukana wala kunikashfu! Nadhani hakuna haja ya serikali kujali hata wale minority ambao population yao haiko significant.

Mapumziko ya kitaifa tarehe hizi January 14, 2011, na February 3, 2011. Ni muhimu sana pia iundwe wizara ya kushughulikia walemavu, maana mahakama ya kadhi na sharia wengi watakatwa mikono, miguu na kupondwa mawe.

Hongereni sana waislam sauti yenu imesikika.
 
Yote maisha tu. After all mahakama inawahusu waumini ambao kwa hali ya Kibongo, ni wazi kuwa wengi sana watakuwa na mkono mmoja maana kwa kupenda kwao ********** watahukumiwa sana. Tujiandae kupata walemavu wengi zaidi.:embarrassed:

Kwi kwi kwiiiii Ama kweli JF mna mahoka but in serious note you have made my day. Laughter is a good medicine
 
Mimi ni christian naomba wakristo tuwe na moyo wa uvumilivu kama waislamu.kwa nini nawaita ni wavumilivu,sababu hizi hapa.
Wakristo 1.jumapili ni mapumziko
2.mwaka mpya
3.ijumaa kuu
4.jumatatu ya pasaka
5.chrismas
6.boxing day

waislam 1.ijumaa siku ya kazi.
2.idd zipo 3 kama sijakosea ni mapumziko.
3.mwaka mpya,kimyakimya.
Kama kweli tunataka amani ya kweli tuwape waislamu haki yao.tz hizi dini zipo karibu sawa sasa kama kuna mmoja ataonewa kwa namna yoyote ile nakwambia amani tutaipoteza.naomba wakristo wenzangu msinishambulie kwani hiyo ndiyo njia ya kweli kwani hata biblia inasema hata mtumwa wako tu unatakiwa kumpa haki yake.
Hii nchi hakuna mwenye mamlaka ya kumtawala mwenzake na kama mmoja wetu atajidanganya kulifumbia macho hili ataona matokeo yake.
Waislamu wapewe mahakama ya kadhi na mapumziko siku ya mwaka mpya wa kiislamu na tuwaombe radhi kwa kutuvumilia
hapo ndipo tutakuwa na amani ya kweli na sikukuu zote tutasherehekea kwa pamoja na amani.
Nawasilisha.
 
Na wale Coptic Orthodox Christians amabo Christmas yao ni 7th of January, nayo hiwe siku ya mapumziko...!

Xpaster I always admire you, in most cases your wrong. Nadhani tunazungumzia mwaka mpya

siku kama ya jana tarehe 7 kuwa siku ya mapumziko kwa kuwa ni mwaka mpya wa waislamu
Tutakuwa na sikukuu nyingi kitaifa, heko Muadhama sheikh Simba. Kumbuka wenzenu wanafikiria kuanzisha mabenki nyie mnang'ang'ana na mahakama ya kadhi na kuwa na siku nyingi za kupumzika.
Nazidi kuwapongeza mmeliona hilo kwa maendeleo
 
Mimi ni christian naomba wakristo tuwe na moyo wa uvumilivu kama waislamu.kwa nini nawaita ni wavumilivu,sababu hizi hapa.
Wakristo 1.jumapili ni mapumziko
2.mwaka mpya
3.ijumaa kuu
4.jumatatu ya pasaka
5.chrismas
6.boxing day

waislam 1.ijumaa siku ya kazi.
2.idd zipo 3 kama sijakosea ni mapumziko.
3.mwaka mpya,kimyakimya.
Kama kweli tunataka amani ya kweli tuwape waislamu haki yao.tz hizi dini zipo karibu sawa sasa kama kuna mmoja ataonewa kwa namna yoyote ile nakwambia amani tutaipoteza.naomba wakristo wenzangu msinishambulie kwani hiyo ndiyo njia ya kweli kwani hata biblia inasema hata mtumwa wako tu unatakiwa kumpa haki yake.
Hii nchi hakuna mwenye mamlaka ya kumtawala mwenzake na kama mmoja wetu atajidanganya kulifumbia macho hili ataona matokeo yake.
Waislamu wapewe mahakama ya kadhi na mapumziko siku ya mwaka mpya wa kiislamu na tuwaombe radhi kwa kutuvumilia
hapo ndipo tutakuwa na amani ya kweli na sikukuu zote tutasherehekea kwa pamoja na amani.
Nawasilisha.

This is non sense!it is like some one who is suffering from mental disorder !Go to hell,you have nothing to do in this world!
 
Xpaster I always admire you, in most cases your wrong. Nadhani tunazungumzia mwaka mpya



Nadhani tutakuwa na sikukuu nyingi kitaifa.
Hapa zinazungumziwa sikukuu na mapumziko kwa ujumla wake, sasa kwani kuna ubaya gani wale Coptic Orthodox Christians amabo Christmas yao ni 7th of January, nao wakadai mapumziko...!?

Ah! Wewe hujui kuwa kalenda uhesabiwa kuanzia kuzaliwa kwa bwana Yesu kristo... Si ndio tarehe ilipoanzia hapo, so ni kama mwaka mpya vile, au wewe unaonaje?
 
Hapa zinazungumziwa sikukuu na mapumziko kwa ujumla wake, sasa kwani kuna ubaya gani wale Coptic Orthodox Christians amabo Christmas yao ni 7th of January, nao wakadai mapumziko...!?

Ah! Wewe hujui kuwa kalenda uhesabiwa kuanzia kuzaliwa kwa bwana Yesu kristo... Si ndio tarehe ilipoanzia hapo, so ni kama mwaka mpya vile, au wewe unaonaje?

Wrong again hebu soma hapa pole pole post ya mtani wangu Kadogoo

Mufti mkuu wa waislamu muadhama sheikh simba ametangaza kuwa mahakama ya kadhi kwa ajili ya waislamu itaanza kazi zake hivi karibuni baada ya serikali kukubali kuirudisha tena mahakama hiyo iliyokuweko enzi za nyuma na pia kuiomba serikali kufanya siku kama ya jana tarehe 7 kuwa siku ya mapumziko kwa kuwa ni mwaka mpya wa waislamu!
Soma maandishi hayo mekundu! Usijifanye hutaki kuelewa, asante sana

Kuhusu kalenda soma hapa

http://en.wikipedia.org/wiki/Julian_calendar
 
Kwa mara ya kwanza hujanitukana wala kunikashfu! Nadhani hakuna haja ya serikali kujali hata wale minority ambao population yao haiko significant.

Mapumziko ya kitaifa tarehe hizi January 14, 2011, na February 3, 2011. Ni muhimu sana pia iundwe wizara ya kushughulikia walemavu, maana mahakama ya kadhi na sharia wengi watakatwa mikono, miguu na kupondwa mawe.

Hongereni sana waislam sauti yenu imesikika.
Eh! Mkuu masa nilikuwa sifahamu ili, kuwa Mahakama ya Kadhi, kazi yake itakuwa kukata watu mikono...!

Naona kule Kenya Ile Mahakama ya Kadhi, inakata sana watu mikono kama hawana akili nzuri... ooh! Nimekumbuka unajuwa kabla ya Uhuru Tangayika na Zanzibar kulikuwa na Mahakama ya Kadhi... ilikata sana watu mikono, ndio maana ikaondolewa...!
 
This is non sense!it is like some one who is suffering from mental disorder !Go to hell,you have nothing to do in this world!

Pole pole ndugu yangu, tusaidie kuelimishana kwa lugha nzuri!
 
Wrong again hebu soma hapa pole pole post ya mtani wangu Kadogoo



Soma maandishi hayo mekundu! Usijifanye hutaki kuelewa, asante sana
Hayo maandishi mekundu nimeyaelewa sana, na mwaka mpya wa kiislam si lazima iwe tarehe 7 December...! Tatizo hapo ni nini, si katoa maoni yake, kwani kuna ulazima ya kufanyiwa kazi?
 
Eh! Mkuu masa nilikuwa sifahamu ili, kuwa Mahakama ya Kadhi, kazi yake itakuwa kukata watu mikono...!

Naona kule Kenya Ile Mahakama ya Kadhi, inakata sana watu mikono kama hawana akili nzuri... ooh! Nimekumbuka unajuwa kabla ya Uhuru Tangayika na Zanzibar kulikuwa na Mahakama ya Kadhi... ilikata sana watu mikono, ndio maana ikaondolewa...!

Sitaki tufike mbali, najua mahakama ya kadhi ina mambo mazuri pia kiimani ya kiislam kama mirathi, haki za wanawake, Talaka na Ndoa etc....lakini je mumejiandaa vizuri, wale watakao misinterpret sharia huoni kutakuwa na ukiukwaji wa haki za binadamu? Hii Kitu ipo kwenye katiba?

soma hapa

Somali Islamists Chop Off Thieves' Hands as Sharia Law Takes Hold

Somali Islamists Chop Off Thieves' Hands as Sharia Law Takes Hold
 
Hayo maandishi mekundu nimeyaelewa sana, na mwaka mpya wa kiislam si lazima iwe tarehe 7 December...! Tatizo hapo ni nini, si katoa maoni yake, kwani kuna ulazima ya kufanyiwa kazi?

Hahahaah usianze kuchukia tunajadilia ndugu yangu, hata haya mazungumzo ya kwenye mtandao si lazima yafanyiwe kazi.
 
this is non sense!it is like some one who is suffering from mental disorder !go to hell,you have nothing to do in this world!

ndugu yangu haitasaidia.akili yako imefungiwa kwenye chupa na huna unachokielewa kuhusu hii dunia.natamani mungu akupe maisha marefu ili ikiwezekana ushuhudi hiki ninachokisema.
Mungu na akubariki sana.
 
Hebu nikumbusheni. Ni lini Tanzania imewahi kuwa na mahama ya Kadhi? Mahakama ya Kadhi ilikuwapo nchi ya Kenya upande wa Mombasa na mwambao. Kenyatta alikubaliana na watu wa pwani kuwa watakuwa chini ya nchi ya Kenya kwa kuwakubalia kuwa mahakama ya kadhi iendelee kwa watu pwani kama vile wakati wa wakoloni; lakini kwa Tanzania hakujakuwa na kitu kama hicho ni kitu kigeni. Hoja ya msingi iliyokuwa ikiombwa ni kuwa kwa kuwa wakenya wa mwambao wa bahari ya Hindi wana kitu hicho kwa nini na Tanzania kusiwe na kitu cha namna hiyo? Hapa kutakuwa na vitu vimerukwa.
 
Hatuna budi kutambua ya kuwa hivi sasa nchi yetu inafuata "Gregorian calender" na siyo kalenda ya Hajira. Jambo huilo siyo la kidini, ni mfumo tu uliwekwa kupima nyakati. Tofauti iliyopo ni kwamba katika kuweka mfumo huo imani walikuwa nayo hao waliobuni mfumo huo ilichangia. Lakini kuna mambo mengi ambayo hivi sasa yanatumiwa na jamii yote ya kimataifa bila ya kujali rangi au imani ya mtu lakini ambayo msingi wake ni imani ya mwanzilishi wa mambo hayo.
 
Sitaki tufike mbali, najua mahakama ya kadhi ina mambo mazuri pia kiimani ya kiislam kama mirathi, haki za wanawake, Talaka na Ndoa etc....lakini je mumejiandaa vizuri, wale watakao misinterpret sharia huoni kutakuwa na ukiukwaji wa haki za binadamu? Hii Kitu ipo kwenye katiba?

soma hapa

Somali Islamists Chop Off Thieves' Hands as Sharia Law Takes Hold

Somali Islamists Chop Off Thieves' Hands as Sharia Law Takes Hold
Mahakama inayo simamiwa na Kadhi, iliwahi kuwepo hapa Tanzania (Tanganyika) na kule Unguja, je historia inatufahamisha kuwa kazi yao ilikuwa kukata watu mikono?
 
Wewe kwa nini unatamani kuendesha shughuli zako za kidini kwa kutegemea fedha za makafiri wala nguruwe?Jamani waislamu wa Tanzania hamjui vizuri maagizo ya koroani takatifu,mbona mnatia aibu.Jitegemeeni wenywewe,msijichanganye na makafiri maana mtashindwa kuuona ufalme wa mungu!!

Acha ujinga huo wewe nani kakuambia waislamu wanataka fedha za makafiri na wakristo? Ila tatizo ni kwamba mmeweka katika vichwa venu wakristo pekee ndio walipa kodi endelee kuota tu. Tanzania walipa kodi ni waislamu na wakristo na kama kutahitajika pesa ya kuiendesha itatokea katika fungu la kodi za waislamu. Wewe na kodizako za nguruwe endeleeni na ujinga wenu. Kujitegemee hakumaanishi nguvu ya kisheria sisi tunataka mahakama ya kadhi iwe na nguvu ya kisheria basi. Kuhusu kuendeshwa itaendeshwa tu but msifikiri hii serikali ni ya wakristo peke yenu tuondolee ujinga wako hapa!!
 
Back
Top Bottom