Mahakama ya kadhi hii hapa!

Mahakama ya kadhi hii hapa!

Taja japo moja ya projects za kikristu zinazofadhiliwa na serikali na kisha hizo project zikatoa huduma kwa wakristu pekee. We vipi mkuu? Infact miradi nyingi sana za kikristu zimetaifishwa na serikali ... shule kibao, mahospitali nk ...
Shukrani ya punda....
 
kwani mahakama si zipo kibao kuna tofauti gani kati ya mahakama ya kadhi na mahakama za kawaida

Mahakama ya kadhi ni maalumu kwa ajiri ya kutatua migogoro ya miradhi,ndoa na mambo mengine yanayowahusu waamini wa dini ya kiislamu,na hutoa maamuzi yake kwa kutumia sheria na miongozo ya kiislamu.Wakati mahakama za kawaida husuluhisha migogoro mbalimbali kwa kutumia katiba mama na sheria mabalimbali zinazotoa miongozo ya namna ya kuongoza nchi na raia wake bila kujali dini zao.[/QUOTE]

Swali langu ni kwamba kwanini serikali ishirikishwe kwenye hili la maslahi ya watu binafsi? Kwani dini ni lazima? sasa na dini zingine zikianza kudai itakuwaje? Kwani ikifanya kazi kwa taratibu zao ndani ya dini yao bila ya mkono wa serikari haitawezekana na kwa nini?


 
Kitu cha muhimu kuliko vyote "waislamu wasiombe ruhusa kuanzisha hayo mahakama yao,waanzishe tu bila kuihusisha serikali....watz wote tumekataa mambo ya dini kuhusiswa serikali wkt serikali haina dini"...............nchi hii ni ya watz.........wakristo nao wakitaka mahakama yao waanzishe tu bila kuihusisha serikali hapo nchi itakalika na itatawalika...........

Yaani aisee uko sawa kabisa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! big up!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
CCM hawawezi kuwapa mahakama ya kadhi hata siku moja..after all anayedai mahakama hiyo mufti ..goigoi hana uwezo wowote wa ku-push chochote...

Mtasubiri sana kwa serikali ya CCM, waislamu bado hawajafahamu adui wao ni nani? ccm wanafiki sana wanapenda madaraka tu period!
 
Ungekuwa umesoma tangia mwanzo wa mjadala huu, usingekuja na hao maswali yako yasio na kichwa wala miguu...! Soma kwanza mjadala ulipo anzia na si kukurupuka.

Kwani ukisema kweli kuwa wewe ni mgala, huta eleweka mpaka ujivalishe gwanda si lako!?

Nijibu tafadhali! kwani ukinilingania na kunibainishia ni heri! uache ghilba na istizai utakuwa umesaidia wengi pia tatizo mimi nimeliona kama sio tatizo basi Uislamu uishie!
 
kwani mahakama si zipo kibao kuna tofauti gani kati ya mahakama ya kadhi na mahakama za kawaida

Mahakama ya kadhi ni maalumu kwa ajiri ya kutatua migogoro ya miradhi,ndoa na mambo mengine yanayowahusu waamini wa dini ya kiislamu,na hutoa maamuzi yake kwa kutumia sheria na miongozo ya kiislamu.Wakati mahakama za kawaida husuluhisha migogoro mbalimbali kwa kutumia katiba mama na sheria mabalimbali zinazotoa miongozo ya namna ya kuongoza nchi na raia wake bila kujali dini zao.[/QUOTE]

Hapa tatizo ni kutokujua sheria tu, viongozi wetu pia hawajui sheria. Huwezi kuanzisha mahakama ya kadhi bila kubadili katiba, katiba inatambua mahakama moja tu, hiyo ya kadhi itaundwa kwa misingi ya sheria gani. Hata hivyo sheria ya ndoa inatumia misingi ile ile ya sharia ya kiislam katika kutatua migogoro ya ndoa, sasa sijui akina mufti Simba wanataka nini. Inasikitisha sana kuona kiongozi mkubwa wa dini kama Simba anakuwa hajui sheria za nchi. Huu ni udini na ubinafsi unawasumbua na kujiona kuwa wanaonewa. Matokeo yake wataendelea kuwa wanyonge siku zote. Mufti kasome katiba kwamba na kama upo makini dai katiba mpya itakayoitambua mahakama ya kadhi, usikurupuke kudai kitu kinachovunja katiba yetu.
 
Mwana mie navyofahamu hapa tanzania raia tunaishi kwa ushirikiano kama kitu kimoja na tunaingiliana bila kujali dini na kuoana pia bila kujali dini sasa ikatokea ndoa ya mkristu na muislam wakaoana then ikatokea matatizo uliyoainisha itakuwaje sasa hapo!pia jela ya hii mahakama itakuwa wapi?na ninani atakaehusika na kukamata washtakiwa na pia kudhibiti nidhamu ya washtakiwa??[Originally posted by KILIMASERA]

Wao hawana jela ni kuchapana bakora,kukatana mikono na kuuana mara unapobainika kuwa umetenda kosa na hukumu hutolewa mara moja.Kuhusu ndoa za mseto,hapo ndiyo utata utakapojitokeza!yaani hivi ni vitu vya ajabu na ni vema wangevianzisha bila kuihusisha serikali.
Watanzania tumeuzwa kwa serikali ya Kiislam kwani huwezi kuchanganya dini na sheria,na Jk Nyerere aliliona na aksema Nchi yangu haina DINI na hii alisema alipoalikwa katika nchi za kiislam wakimtega walijua atasema ni kiristu au ya kislam, lakini amesema ni ya Sheria sasa huyu kiwete anafanya kitu gani? alidai udini unagawanya nchi wakati yeye ndiye namba moja , anapswa aachilie ngazi maana katiba iwapo rais atavunja sheria au kuizalilisha au kuishusha heshima ya taifa na ikulu anatakiwa ajiuzulu , hivyo kukubali mahakama ya Kadhi ni kukubali kualalizwa maauaji ya watu wasio na hatia, na vile vile kwamba serikali imeshindwa kusimamia na kuiheshima Katiba tukufu ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, maaana waislamu wanadai kuwa ukikutwa na kosa utapigwa mawe hadi kufa je kwa staili hii watanzania walio wengi ni wakristo asilimia 80% je kama huyo muislamu amemtendea hiana au kosa mkristo atashtakiwa na mahakama ipi? kama si kuwalinda waislamu ili waendelze uovu wao ni nini? maana hatawezakushtakiwa kwenye mahakama za serikali kwa lengo au kisingizio kuwa muislamu atashitakiwa kwenye mahakama yake, Je hii ni haki?tunajua nchi nyingi za kislaamu hakuna haki za binadamu zinazoheshimika. Mungu uwapige wote wanaotuletea Matabaka na Udini wapate Ukoma na uwatupilie mbali.
 
Nijibu tafadhali! kwani ukinilingania na kunibainishia ni heri! uache ghilba na istizai utakuwa umesaidia wengi pia tatizo mimi nimeliona kama sio tatizo basi Uislamu uishie!
Unaweza kunibainishia hizo ghilba unazo zidai dhidi yangu zipo wapi!? Haya basi tufahamishe tatizo lipo wapi...! Na kama lipo wewe umechukuwa hatua gani ili kuondoa ilo tatizo?
 
Unaweza kunibainishia hizo ghilba unazo zidai dhidi yangu zipo wapi!? Haya basi tufahamishe tatizo lipo wapi...! Na kama lipo wewe umechukuwa hatua gani ili kuondoa ilo tatizo?

Ni kwamba unajua kabisa bila shaka mchakato unaoendelea wa kumpata qadi hapa Tanganyika si halali kwa mujibu UISLAMU na wanaotetea na kuona kuwa mchakato huo kuwa hauna matatizo wanawaghilibu waislamu Maamuma na hicho kinacho fanyika ni istizai kwa uislamu na maamrisho yake hatua niliyo chukua nikaondoka kwenye uislamu nikaenda kwenye ugala wewe unasubiri nini umeiona haki? kalaga baho na ubozi wako thanks!
 
Mahakama ya kadhi ni maalumu kwa ajiri ya kutatua migogoro ya miradhi,ndoa na mambo mengine yanayowahusu waamini wa dini ya kiislamu,na hutoa maamuzi yake kwa kutumia sheria na miongozo ya kiislamu.Wakati mahakama za kawaida husuluhisha migogoro mbalimbali kwa kutumia katiba mama na sheria mabalimbali zinazotoa miongozo ya namna ya kuongoza nchi na raia wake bila kujali dini zao.

Hapa tatizo ni kutokujua sheria tu, viongozi wetu pia hawajui sheria. Huwezi kuanzisha mahakama ya kadhi bila kubadili katiba, katiba inatambua mahakama moja tu, hiyo ya kadhi itaundwa kwa misingi ya sheria gani. Hata hivyo sheria ya ndoa inatumia misingi ile ile ya sharia ya kiislam katika kutatua migogoro ya ndoa, sasa sijui akina mufti Simba wanataka nini. Inasikitisha sana kuona kiongozi mkubwa wa dini kama Simba anakuwa hajui sheria za nchi. Huu ni udini na ubinafsi unawasumbua na kujiona kuwa wanaonewa. Matokeo yake wataendelea kuwa wanyonge siku zote. Mufti kasome katiba kwamba na kama upo makini dai katiba mpya itakayoitambua mahakama ya kadhi, usikurupuke kudai kitu kinachovunja katiba yetu.[/QUOTE]

Ni uhaini kuchezea KATIBA Kama kweli serkali iko kwenye mchakato huo walio buni dili hilo wawajibishwe!
 
Mahakama ya kadhi ni maalumu kwa ajiri ya kutatua migogoro ya miradhi,ndoa na mambo mengine yanayowahusu waamini wa dini ya kiislamu,na hutoa maamuzi yake kwa kutumia sheria na miongozo ya kiislamu.Wakati mahakama za kawaida husuluhisha migogoro mbalimbali kwa kutumia katiba mama na sheria mabalimbali zinazotoa miongozo ya namna ya kuongoza nchi na raia wake bila kujali dini zao.

Hapa tatizo ni kutokujua sheria tu, viongozi wetu pia hawajui sheria. Huwezi kuanzisha mahakama ya kadhi bila kubadili katiba, katiba inatambua mahakama moja tu, hiyo ya kadhi itaundwa kwa misingi ya sheria gani. Hata hivyo sheria ya ndoa inatumia misingi ile ile ya sharia ya kiislam katika kutatua migogoro ya ndoa, sasa sijui akina mufti Simba wanataka nini. Inasikitisha sana kuona kiongozi mkubwa wa dini kama Simba anakuwa hajui sheria za nchi. Huu ni udini na ubinafsi unawasumbua na kujiona kuwa wanaonewa. Matokeo yake wataendelea kuwa wanyonge siku zote. Mufti kasome katiba kwamba na kama upo makini dai katiba mpya itakayoitambua mahakama ya kadhi, usikurupuke kudai kitu kinachovunja katiba yetu.[/QUOTE]

Ni uhaini kuchezea KATIBA Kama kweli serkali iko kwenye mchakato huo walio buni dili hilo wawajibishwe!
 
Ni kwamba unajua kabisa bila shaka mchakato unaoendelea wa kumpata qadi hapa Tanganyika si halali kwa mujibu UISLAMU na wanaotetea na kuona kuwa mchakato huo kuwa hauna matatizo wanawaghilibu waislamu Maamuma na hicho kinacho fanyika ni istizai kwa uislamu na maamrisho yake hatua niliyo chukua nikaondoka kwenye uislamu nikaenda kwenye ugala wewe unasubiri nini umeiona haki? kalaga baho na ubozi wako thanks!
Ahsante sana kwa maneno mazuri, ila tokea mwanzo nilijuwa kuwa wewe si Muislam, uandishi wako tu unaonyesha kuwa wewe ni mgala, na Hukuwahi kuwa Muislam katika maisha yako. Alhamdulillah nipo kwenye Sirat al-Mustaqim...!
 
kama swala la mahakama ya kadhi itawafanya baadhi ya waandishi wa habari waliokuwa mstari kuandika hata tahariri zao kupinga ,baadhi ya madhehebu ya dini na wengine, kuikimbia tz imefika wakati kutafuta passport kukimbilia nchi wanazotaka na kutuachia tz yetu yenye mshikamano na Upendo Nchi nzuri ya Kukimbilia ni Kenya ambapo huko ukitamka neno mahakama ya kadhi utafungwa,watakimbia Uganda na msumbji, huko ukiitaja OIC utakatwa kichwa haitakiwi hasa kusemwa huko wataishi bila ya kusikia neno hili.lkn kwa wakibaki Tanzania nchi yenye amani na utulivu licha ya kuwa na ubalozi wa dini lipo njiani linakuja, kwa mujibu wa mmoja ya kiongozi wa dini ya kiislam ambaye akizungumza kupitia channel ten, tayari mahakama hiyo ipo njiani, ipo karibu sana kuanzishwa.alisema hakuna sababu ya kuogopa na hakuna sababu ya kuzuia jambo hilo. amesema mahakam hiyo itakuwa inahukumu mambo ya ndoa, mirathi na mambo madogo madogo ya waislam.Kuhusu swala la kodi sheikh hakuzungumzia lkn ms anaongeza.Pesa ya Serekali ni ya wanachi wa tz ambapo ndio walipa kodi.kwa mfano tunayo mahakama ya biashara inalipwa na gov lkn kweli watz wote na wafanya biashara? wavuvi jee?tunayomahakama ya ardhi? tusioviwanja na mashamba?

Hizo huduma ni kwa ajili ya WAISLAMU WAKRISTO WAPAGANI NA DINI ZOTE JEE MAHAKAMA YA QADI KWA AJILI YA NANI HUONI NI UBAGUZI JEE UISLAMU UNAADVOCATE UBAGUZI? ACHA NJAA ZAKO NJAA UNAIBEBEA KWENYE MFUKO WA RAMBO KILA MTU AIONE MHHH! noma mwanangu....
 
Back
Top Bottom