Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu imesema kila jambo la tume ya uchaguzi ni lazima lihojiwe mahakamani!

Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu imesema kila jambo la tume ya uchaguzi ni lazima lihojiwe mahakamani!

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
352
Reaction score
1,029
Anaandika Jebra Kambole

AfCHPR imesema ibara ya 74 (12) Ya Katiba ya Tz na Ibara ya 119(13) ya Katiba ya Zanz zinakiuka ibara ya 3(2) na 7(1)(a) ya Mkataba wa ACHPR kwa sababu ibara hizo zinakataza kufungua kesi ya kupinga ujinga wa INEC na ZEC.

Tunashukuru kuwa kwenye Timu ya Mawakili wa kesi hii muhimu kwenye historia ya taifa letu!

Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu imesema kila jambo la tume ya uchaguzi ni lazima lihojiwe mahakamani!

Tunafahamu ugumu wa utekelezaji wa Mahakama za Nje ila sisi tutaendelea kuhangaika na watesi!

=======

Screenshot 2026-03-07 at 12-52-37 Instagram.png
Screenshot 2026-03-07 at 12-52-50 Instagram.png
 
Back
Top Bottom