Mahakama waiondoa kesi dhidi ya Godbless Lema

Mahakama waiondoa kesi dhidi ya Godbless Lema

Kuna kesi wamewahi kushinda hawa? Wanafikiri mahakama ni za kwao! Wanajitutumua kulazimisha polisi wafungue kesi lakini wakifika mahakamani ni woga kama nini. Poor maCCM.

Mhadhiri unajishushia heshima sana.
Jaribu kuonyesha kuwa umekomaa na unajua vizuri utawala wa sheria.
Sisi tunaokuheshimu tusihamishe heshima yetu kwako na kuipeleka kwa mwingine.
Natarajia Mabadiliko kwenye post zako zitakazofuata Mhadhiri Mahiri.
 
Mhadhiri unajishushia heshima sana.
Jaribu kuonyesha kuwa umekomaa na unajua vizuri utawala wa sheria.
Sisi tunaokuheshimu tusihamishe heshima yetu kwako na kuipeleka kwa mwingine.
Natarajia Mabadiliko kwenye post zako zitakazofuata Mhadhiri Mahiri.

Ondoa unafiki wako hapa!
 
Kwenda zako huko mjinga wewe! Tumia kichwa kabla ya kuja humu.


Mhadhiri unajishushia heshima sana.
Jaribu kuonyesha kuwa umekomaa na unajua vizuri utawala wa sheria.
Sisi tunaokuheshimu tusihamishe heshima yetu kwako na kuipeleka kwa mwingine.
Natarajia Mabadiliko kwenye post zako zitakazofuata Mhadhiri Mahiri.
 
Utakuwa umefanya uamuzi wa busara. Hakika hutauta kwa kuitumia vizuri akili yako.

Inabidi watu tuanze kutumia akili maana majina mengine hayafai kushitakiwa. Hebu fikiria jina na Mhe. lingetafsiriwa kwa Kiswahili. Mbele ya mahakama, mwendesha mashtaka angetamka, "Tunamshitaki Mhe. Mungu Mbariki Lema, kwa kosa la..."
Ile tu kutaja jina lake tayari umetoa maombi, dua na sala kwa Mungu ili ambariki huyo unayemshitaki. Halafu unadhani utashinda, mawe! Wanajisumbua bure na kupoteza muda wao na fedha zetu walipa kodi. Hukumu yao iko jirani.


Bibie FaizaFoxy, tafadhali hiyo red hebu ijengee "hoja" na uifungulie uzi kama ulivyofanya kule kwa "indigo walk". Maana kwa hoja za kijinga wewe ndiwe mwenyewe Mjane Mweusi. Typos zote tutakuwa tunaku-fowadia maana wewe ni bingwa kugeuza typos kuwa hoja.
 
Hivi si ndio hii kesi ambayo Mh. Lema alikuja kukamatwa nyumbani kwake kwa kudhalilishwa usiku wa manane?
Hawa watawala wasijifanye wanawajua Watanzania vizuri, hizi kumbukumbu zote zinawekwa na muda si mrefu yale aliyosema Kibanda juu ya udikteta na ukatili wa serikali hii utadhihirika. Kupotezea watu muda na gharama bila hata aibu.
 
ITV Tanzania
Breaking News:Mahakama kuu Kanda ya Arusha imeifuta kesi ya uchochoezi iliyokuwa inamkabili Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema

Miezi yote hiyo walikuwa wanasubiri nini kuifutilia mbali? Au ndio upelelezi umekamilika? Ilikuwa na maana gani kuvamia nyumba ya Lema usiku wa manane na askali lukuki na mibunduki na mibomu wakati wanajua hakukuwa na kesi ya kujibu?

Hii si ni matumizi mabaya ya kodi zetu? Au wanataka kuwaweka busy majadge na mahakimu kwa kazi zisizokuwa na tija?
 
jamani hii ni aibu ya ngapi?

Mkuu nilianza kuzihesabu lkn nimeona nikaushe maana CCM kwa vichwa vyao jinsi vilivyojaa colgate badala ya ubongo wala hawana mshipa wa aibu,bado wataendelea kuzifungua hizo kesi wakijua kuwa ipo siku watafanikiwa,kwa CCM kila kitu ni kujaribu sasa.
 
Kila siku chadema wanashinda hizi kesi ndiyo kusema hawa wanaozifungua hawajuia sheria au ni majuhu?

Maana hata zile kesi alizoagiza katibu mkuu wa ccm kipindi hicho zifunguliwe zidi ya wabunge wa chadena nazo cdm imeshinda karibia 75%, ni lini tutakomesha ujinga huu wakupotezeana mda?
sema wewe
 
Back
Top Bottom