Breaking News!!
Kesi ya Uchochezi iliyokuwa ikimkabili Mbunge Lema imefutwa!
Kesi ya uchochezi iliyokuwa ikimkabili Lema Mbunge imefutwa na mahakama Kuu Arusha,kwa mujibu wa makosa ya jinai Mahakama imefutilia mbali mashitaka yaliyofungulia;
Leo waliokuwa wakitakiwa kutoa ushidi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha na OCD,;'
![]()
![]()
jamani hii ni aibu ya ngapi?
Kuna kesi wamewahi kushinda hawa? Wanafikiri mahakama ni za kwao! Wanajitutumua kulazimisha polisi wafungue kesi lakini wakifika mahakamani ni woga kama nini. Poor CCM.
jamani hii ni aibu ya ngapi?
Toa hoja za kisomi kama ilivyo elimu yako. Unaposema CCM hawajashinda kesi unanajisi elimu yako kwa sababu hata layman aki goggle atapata kesi mbali mbali ambazo CCM wameshinda.Kuna kesi wamewahi kushinda hawa? Wanafikiri mahakama ni za kwao! Wanajitutumua kulazimisha polisi wafungue kesi lakini wakifika mahakamani ni woga kama nini. Poor CCM.
Toa hoja za kisomi kama ilivyo elimu yako. Unaposema CCM hawajashinda kesi unanajisi elimu yako kwa sababu hata layman aki goggle atapata kesi mbali mbali ambazo CCM wameshinda.
By the way, ulitakiwa ufahamu kuwa Serikali na CCM kiutendaji ni tofauti na hata kesi iliyofunguliwa ilifunguliwa na serikali.
Siyo kuja hapa na kauli na maneno ya kwenye vijiwe na barabarani. Jaribu hata kidogo kuvaa akili ya GT.
By the way, siyo ninyi kila mkishindwa mahakamani huwa mnadai mahakama zimehongwa, leo DPP ameiondoa kesi mahakamani unakuja na madai na kusema mahakama ziko huru!.
Tutayatunza maneno yako haya na tutakukumbusha baada ya uchaguzi wa ubunge 2015.