Mahakama waiondoa kesi dhidi ya Godbless Lema

Mahakama waiondoa kesi dhidi ya Godbless Lema

...haijatokea na haitatokea siku hata moja katika dunia hii dhuluma ikaishinda haki kwani haki ni mpango wa Mungu na dhuluma ni kazi ya shetani...
 
sheria ni msumeno hukata kotekote. ila kwa hali ya siasa ilivyo sasa sina hakika km unaweza kuwa mwisho wa chama kikongwe kuendelea kutawala, kwan kimsingi kuongoza wameshndwa ndo maana wanatawala halafu kwa namna ambayo inawalinda wao na genge lao.
 
Anamere me anameremetaa . . .Mage Mulungo anawakawaka anameremetaa. . Ni nderemo nderemo na vifijo mda huu, hii ni style ya ushangiliaji tu msishangae, tuachane na haya . . .swali langu ni Je kwanini Tundu Lisu anapenda kuitia serikali yangu sikivu hasara namna hii. Tundu Lisu amekosa uzalendo, mawakili wa serikali wanapata tabu sana wanaposikia lissu anakua wakili wa mtu fulani. Leo katoka kumdhalilisha mteule wa mfalme na mkuu wa askari wameshindwa toa ushahidi baada ya kusikia tu lisu yuko njiani. . .acha nikale ubwabwa wa harusi ya MAGE, kwani Ubwabwa wa send off ulikua mchungu kwetu sisi waoaji. .ila ninachofurah hatimaye mage kakubali kweli alitembea kama anaenda kwenye harusi. . .
 
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba kesi iliyokuwa inamkabili mbunge wa Jimbo la Arusha Godbless Lema imefutiliwa mbali na mahakama leo jijini Arusha baada ya Jamhuri kupeleka maombi ya kufuta kesi hiyo.

Kesi hiyo ilifunguliwa kwa shinikizo la mkuu wa mkoa wa Arusha Magessa Mulongo kwa madai kwamba Lema alichochea vurugu kwenye chuo cha Uhasibu Arusha na pia Lema anadaiwa kumtukana mkuu huyo wa mkoa.

Lema anadaiwa kutamka maneno kwamba..Mkuu wa mkoa anakuja kama anaenda Send-off..Maneno ambayo polisi wanadai yalichochea uvunjifu wa amani.

Mahakama imefutilia mbali kesi hiyo kwa madai kwamba Lema hana kesi ya kujibu.

Kama kawaida umati wa wafuasi wa CHADEMA ulifurika mahakamani na kushangilia kwa nguvu mara baada ya hukumu hiyo.

Down with RC Mulongo and CCMPOLICE!!
 
Toa hoja za kisomi kama ilivyo elimu yako. Unaposema CCM hawajashinda kesi unanajisi elimu yako kwa sababu hata layman aki goggle atapata kesi mbali mbali ambazo CCM wameshinda.

By the way, ulitakiwa ufahamu kuwa Serikali na CCM kiutendaji ni tofauti na hata kesi iliyofunguliwa ilifunguliwa na serikali.

Siyo kuja hapa na kauli na maneno ya kwenye vijiwe na barabarani. Jaribu hata kidogo kuvaa akili ya GT.

By the way, siyo ninyi kila mkishindwa mahakamani huwa mnadai mahakama zimehongwa, leo DPP ameiondoa kesi mahakamani unakuja na madai na kusema mahakama ziko huru!.

Tutayatunza maneno yako haya na tutakukumbusha baada ya uchaguzi wa ubunge 2015.
mkuu nawe hopeless kabisa!!!!
mie nilitegemea utoe takwimu hapa ili Dr mkumbo tuamin kuwa hajakutendea haki, badala yake porojo tu unatuwekea hapa.

analysis: Mulugo ni kweli alienda pale chuo kama anaenda kwenye "send off"

Jaman hiv kwenda kwenye send off ni kitu kibaya mpaka mtu ufungue shikataka mahakaman? kama kudhalilishwa? akili nyingine matope kabisa.
 
​Kwa vile hakuna kesi tena natoa tamko. NI MARUFUKU KWA MULUGO KWENDA KWENYE MAAFA YA AINA YEYOTE KAMA ANAKWENDA KWENYE SEND OFF PARTY.
 
Toa hoja za kisomi kama ilivyo elimu yako. Unaposema CCM hawajashinda kesi unanajisi elimu yako kwa sababu hata layman aki goggle atapata kesi mbali mbali ambazo CCM wameshinda.

By the way, ulitakiwa ufahamu kuwa Serikali na CCM kiutendaji ni tofauti na hata kesi iliyofunguliwa ilifunguliwa na serikali.

Siyo kuja hapa na kauli na maneno ya kwenye vijiwe na barabarani. Jaribu hata kidogo kuvaa akili ya GT.

By the way, siyo ninyi kila mkishindwa mahakamani huwa mnadai mahakama zimehongwa, leo DPP ameiondoa kesi mahakamani unakuja na madai na kusema mahakama ziko huru!.

Tutayatunza maneno yako haya na tutakukumbusha baada ya uchaguzi wa ubunge 2015.

acha jazba,
mmetishia kujamba kumbe mna tumbo la kuhara, haya sasa mmeharisha kitandani amka ufue mashuka.
 
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba kesi iliyokuwa inamkabili mbunge wa Jimbo la Arusha Godbless Lema imefutiliwa mbali na mahakama leo jijini Arusha baada ya Jamhuri kupeleka maombi ya kufuta kesi hiyo.

Kesi hiyo ilifunguliwa kwa shinikizo la mkuu wa mkoa wa Arusha Magessa Mulongo kwa madai kwamba Lema alichochea vurugu kwenye chuo cha Uhasibu Arusha na pia Lema anadaiwa kumtukana mkuu huyo wa mkoa.

Lema anadaiwa kutamka maneno kwamba..Mkuu wa mkoa anakuja kama anaenda Send-off..Maneno ambayo polisi wanadai yalichochea uvunjifu wa amani.

Mahakama imefutilia mbali kesi hiyo kwa madai kwamba Lema hana kesi ya kujibu.

Kama kawaida umati wa wafuasi wa CHADEMA ulifurika mahakamani na kushangilia kwa nguvu mara baada ya hukumu hiyo.

Kwa kifupi ni kwamba, mahakama imejiridhisha kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha alikwenda kwenye tukio kama anakwenda kwenye send off party ndiomaana Lema ameibuka mshindi.
 
Uzi kama huu huwezi kulikuta genge la kina Rtz1, Zemakacol0, FaizaFoxy na HAMY-D hata siku moja, wao utawakuta zile thread za shutma za kutengeneza juu ya DR. Slaa na familia yake ndiyo wanashinda huko wakipika majungu.

Ndhani ni wakati mwafaka kwa wana ccm kuya pokea mabadiliko ya kweli kutoka CDM kwani ukiangalia kila kesi wanayo ipeleka mahakani wanaambulia patupu maana yake wameshindwa kusimamia sheri na hayo ni matumizi mabaya ya mali za umma. Lazima wakubali kuwa haki siku zote ndio inashinda yani hata ikichelewa lakini bado itashinda tu.
 
miccm ilipoona tu sura ya mh. lisu,basi yeenyewe ikanyoosha mikono na kusema " weka mbali na mahakama"

Hizo ni taaluma za watu wamezisotea miaka mingi kwa kuzisomea eti leo hii magistrate wote waongozwe na mibwege ya maccm namna ya kufanya kazi!!!
itakuwa ni mahakama au mahakamakame?
poor miccm!!
 
aaaaaaaaah polisi ccm hao kwishinei chezea CDM wewe.Na kwa taarifa yenu hizo kesi zinaisadia CDM ku 'gain trust' zaidi kwa wananchi go go go CDM go.
 
Mwigulu eee, itika basi mbona kiburi dogo? Napeee uko wapi??? Stela Mwampamba Upo?? Na Wewe Mboga Ya Mwigulu Juliana Upo?? Mtazificha wapi nyuso zenu?? Hata -------- wa drs la tatu la wakati WA NYERERE LUSINDE AMESTUKA, NYIE JE?? AIBU YA CCM, AIBU YENU.

Duuuh,
nimpenda hiyo yaani hata kiazi cha drs la tatu enzi za mwl. kilishastuka seuse wao!
Basi kazi ipo.
 
Kuna kesi wamewahi kushinda hawa? Wanafikiri mahakama ni za kwao! Wanajitutumua kulazimisha polisi wafungue kesi lakini wakifika mahakamani ni woga kama nini. Poor CCM.

Kweli its a big shame to the Gov. they don' known what they are doing, coz there are la lot of pending cases in the court which could have been handled instead. This is just to waste time to the judicial officials.
 
:target:ccm hoyee!!!!!!! me napita tu loading... will come later!:A S 41:
 
Sasa kama hawana ushahidi kwa nini walikwenda mahakamani....!!! Mambo mengine ni kujiaibisha tu
 
Kuna kesi wamewahi kushinda hawa? Wanafikiri mahakama ni za kwao! Wanajitutumua kulazimisha polisi wafungue kesi lakini wakifika mahakamani ni woga kama nini. Poor CCM.

Poor polisi wa kibongo!!
 
  • Thanks
Reactions: Ptz
Back
Top Bottom