Licha ya mbwembwe nyingi za kwenda kumkamata Lema kama vile gaidi ambapo vilienda gari za polisi zaidi ya kumi saa nane usiku wakiwa na mbwa silaha za kivita na kuruka ukuta ili kuingia kumkamata Lema na kama haitoshi wakatishia kupiga bomu mlangoni kwake kama hatafungua, leo kesi hiyo mwanasheria wa serikali ameomba kesi hiyo ifutwe, huu ni mwendelezo CCM kuwafungulia kesi za kipumbavu viongozi/ wabunge wa chadema wakiamini kuwa ni kuwazoofisha lakini wamekuwa wakibwagwa mahakamani kirahisi sana kutokana na kesi zao kutokuwa na kichwa wala miguu mfano kesi za hivi karibuni niili ya Sugu kumwita waziri mkuu Mizengo kayanza Peter Pinda kuwa ni -------- baada ya kutoa kauli ya kipumbavu bungeni kuwa watakao kataa kutii amri ya polisi wapigwe tu bila kujali polisi hao hao ndiyo wanao tuuzi a bangi mitaa, ndiyo hao hao waoua tembe wetu kwa kushirikiana na kinana, ndiyo hao hao wauuza sembe na kuwalinda watuhumiwa wa sembe, ndiyo hao hao wanao bambikiza watu mafuvu, ndiyo hao wanao teka wakenya na kuwaelekeza maneno ya kuongea kisha kuwaamru wakatubu..
Leo ilikuwa kesi ya kamanda Godbless lema kuwagalagaza ni kwenye kesi ya kumwambia mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo kuwa alienda kwenye msiba wa chuo cha Uhasibu kama anaenda kwenye Send Off....