Naona leo una plus plus 4
Hivi MS, serikali ya JK inakusadia vipi wewe? Umenufaika vipi na miaka 5 aliyotumikia 'inji' hii?kama mimi unaniona sina akili, punguani kwa sababu namuunga mkono Jk, jee wazee wako waliokulea wenye msimamo kama wangu unawaonaje?JK TULIA IKULU, TUMIKIA TAIFA LETU,JENGA NCHI NA WAHUDUMIE WANANCHI UTASHINDA KWA KISHINDO ZAIDI 88% , HAWA WATANI TUACHIE SISI
kama mimi unaniona sina akili, punguani kwa sababu namuunga mkono Jk, jee wazee wako waliokulea wenye msimamo kama wangu unawaonaje?JK TULIA IKULU, TUMIKIA TAIFA LETU,JENGA NCHI NA WAHUDUMIE WANANCHI UTASHINDA KWA KISHINDO ZAIDI 88% , HAWA WATANI TUACHIE SISI
Niliangalia na mwanangu ambae yupo std 6
hadi leo ananipa maswala ambayo hushindwa kujibu.
i) Uvaaji wa mgombea wa chadema Mrema. eti anamfananisha kama mpiganaji wa msituni anaedai uhuru, hii imemuathiri sana kijana wangu. kuvaa mavazi kama ya kijsehi ndio uzalendo?
kwanini wanasiasa wavae mavazi yanayofanana na majsehi husu wanaongalia wapo watoto. tunawafunza nini watoto wetu?
hadi leo ananiuliza tz yetu inaelekea wapi?
Niliangalia na mwanangu ambae yupo std 6
hadi leo ananipa maswala ambayo hushindwa kujibu.
i) Uvaaji wa mgombea wa chadema Mrema. eti anamfananisha kama mpiganaji wa msituni anaedai uhuru, hii imemuathiri sana kijana wangu. kuvaa mavazi kama ya kijsehi ndio uzalendo?
kwanini wanasiasa wavae mavazi yanayofanana na majsehi husu wanaongalia wapo watoto. tunawafunza nini watoto wetu?
hadi leo ananiuliza tz yetu inaelekea wapi?
Hehehehehe:confused2:Naona Ugonjwa wako wa malaria umemwambukiza pia mwanao pole
Niliangalia na mwanangu ambae yupo std 6
hadi leo ananipa maswala ambayo hushindwa kujibu.
i) Uvaaji wa mgombea wa chadema Mrema. eti anamfananisha kama mpiganaji wa msituni anaedai uhuru, hii imemuathiri sana kijana wangu. kuvaa mavazi kama ya kijsehi ndio uzalendo?
kwanini wanasiasa wavae mavazi yanayofanana na majsehi husu wanaongalia wapo watoto. tunawafunza nini watoto wetu?
hadi leo ananiuliza tz yetu inaelekea wapi?
akishinda dk slaa atatumia sheria kutoa maisha yangu?