Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,046
- 1,867
Lissu oyeeeeeeHembu tuwe na heshima kidogo na Taasisi ya Urais.
Lissu oyeeeeeeHembu tuwe na heshima kidogo na Taasisi ya Urais.
Mkemia sawa kisheria je. Kati ya sheria na kemia kipi hakituletei hasara? Sasa ona inaonekana wewe ni ZUZU NAMBA MOJA CCMMagufuli ameongea kwa reference ya Tume ya wataalamu...lakini pia kumbuka ni mkemia mwanasayansi tofauti na ngwini Lissu.
Unanipeleka kuanza kuona tatizo ndani yako. Unaonyesha hapa kwamba kumbe kuna room ya ACACIA na serikali kukaa na pengine kufanya upya huo unaouita "uchunguzi", sasa ni kwanini mnawaita wezi at this juncture?Hili suala sioni wala silichukulii kimahakama huko unaenda mbali sana. Mfano observation za tume acacia anazipinga baadae serikali na Acacia wakubaliane warudie kupima under transparency grounds majibu yakikaribia au yakilingana na ya Tume hapo mahakama inaingia vipi. Watakubaliwna kuanzia siku hiyo waanze kulipa kwa terms za matokeo ya vipimo vipya ambavyo wote wameconcent. Ndicho pia acacia wanachosisitiza, mahakama zinaletwa na wanasiasa au zitakuja kama tukiendelea kushikilia huku tunagoma kumfanya muwekezaji aridhike kwa upandwake kupitia transparent sampling. Kwa baadae maana hikitulichofanya ni sahihi maana sisi ndio tulitaka kujilidhisha....
Mbona hata mwanasheria wenu hajajitokeza kumpinga lisu kile alichoongelea juu ya accia. Anajua lisu yuko sahihi ila kwa sababu ya mfumo ananyamaza. Wewe bwege anashangilia nn. Fatilia siku lisu alipoongelea hili suala bungeni mwanasheria wenu alivyotulia kwa aibu hakusimama kutia neno. KIMYAAAAAAngwini kuitwa wakili msomi basi anadhani anajua kila kitu cha kwenye kila field...
Vipi kuhusu yule aliyemzalisha mdogo wa mke wake na kumhonga hotel? Yeye ni ndege au mnyama?Dah.... Tundu Lissu ni kama popo tu..... Si ndege wala si mnyama
Nimekupa possibility Kuna room nyingi tu. Moja niserikali kuendelea mbele na yeye acacia afanye anachotaka ikibidi kwenda mahakamani kufanya kile unachokifikilia.Unanipeleka kuanza kuona tatizo ndani yako. Unaonyesha hapa kwamba kumbe kuna room ya ACACIA na serikali kukaa na pengine kufanya upya huo unaouita "uchunguzi", sasa ni kwanini mnawaita wezi at this juncture?
Ampinge ili iweje wakati lisu anatoa comments kwenye non-legal issues huku akijua Kuna tume ya wabobezi wenzake wa sheria na uchumi bado wako jikoni. Anawahi nini?Mbona hata mwanasheria wenu hajajitokeza kumpinga lisu kile alichoongelea juu ya accia. Anajua lisu yuko sahihi ila kwa sababu ya mfumo ananyamaza. Wewe bwege anashangilia nn. Fatilia siku lisu alipoongelea hili suala bungeni mwanasheria wenu alivyotulia kwa aibu hakusimama kutia neno. KIMYAAAAAA
Magufuli akiongozwa na Tume yake mwenyewe ya Professa Mruma wanadai makonteina yamejaa dhahabu, shaba na fedha zilizochanganyikana na udongo na hazijawahi kusafishwa!
Tundu Lissu anadai makinikia kwenye makonteina ni mabaki baada ya ukekenuaji uliofanyika mgodini Bulyanhulu. Pia 95% ya dhahabu iliyochimbwa huvunwa mgodini na kusafirishwa na ndege huku 5% ndizo huwemo kwenye makinikia.
Serikali inadai hakuna usafishaji wa dhahabu kwa sababu hatuna mitambo ya kusafishia.
Maelezo ya pande mbili ni dhahiri yanakinzana na upande mmoja uko sahihi na mwingine unaongopa.
Ni upande upi unauamini na kwa sababu zipi?
Unaongeleaje sheria wakati tume ya kisheria bado haijaleta matokeo yake?Mkemia sawa kisheria je. Kati ya sheria na kemia kipi hakituletei hasara? Sasa ona inaonekana wewe ni ZUZU NAMBA MOJA CCM
Kaulize rekodi zake za kubwatabwata mahakamani, tena dhidi ya Watulivu wa Akili kutoka serikalini.Magu mtu wa vitendo huyu mwingine ni mzee wa kubwata bwata hovyo tena asiye na msimamo na hoja zake.
Kwahiyo mko tayari kukaa chini na mwizi mjadiliane kama alikuwa anawaibia au la!Nimekupa possibility Kuna room nyingi tu. Moja niserikali kuendelea mbele na yeye acacia afanye anachotaka ikibidi kwenda mahakamani kufanya kile unachokifikilia.
Kuna kufukuzwa kabisa
Kuna kumuonyesha kwamba tunachokisema ni sahihi na kama na yeye anapenda kujilidhisha tena tukiwa nae hakuna shida tumalize uchunguzi wetu tutampa nafasi
Mkuu Kuna possibility nyingi tu nashangaa unashangaa nini.
Kumbuka yote haya hadi hapa sio wala hayahusiani na mikataba. Maana hapo ni suala la Kuna nini na vingapi na ni kiasi gani.
Hivi kuna mtu anamuamini Magufuli, kama yupo nitamshangaa sana maana hata profesa muhongo amesema raisi kadanganywa
Mbaya zaidi waliosomea symbol za Copper, Zinc, Brass na Bronze hawajawahi kuvumbua chochote nchi hii. Wapo tu bize kukariri symbols. Sasa ndugu yangu, mikataba inayotufilisi haitafsiriki kwa symbol za copperLisu ni zero brain
Hajui hata symbols ya copper na zinc anatokwa povu la metals.
Yeye ale tu hela za mafisadi anaowatetea
Magufuli akiongozwa na Tume yake mwenyewe ya Professa Mruma wanadai makonteina yamejaa dhahabu, shaba na fedha zilizochanganyikana na udongo na hazijawahi kusafishwa!
Tundu Lissu anadai makinikia kwenye makonteina ni mabaki baada ya ukekenuaji uliofanyika mgodini Bulyanhulu. Pia 95% ya dhahabu iliyochimbwa huvunwa mgodini na kusafirishwa na ndege huku 5% ndizo huwemo kwenye makinikia.
Serikali inadai hakuna usafishaji wa dhahabu kwa sababu hatuna mitambo ya kusafishia.
Maelezo ya pande mbili ni dhahiri yanakinzana na upande mmoja uko sahihi na mwingine unaongopa.
Ni upande upi unauamini na kwa sababu zipi?