Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
This Professor is another hopeless case ya wasomi wetu Tanzania. Mbona hakuyasema alivyokuwa kwenye Uwaziri?? Mbona hakuchukua hatua yoyote?...hata kutudanganya kwamba serikali inafanya lolote alishindwa.
Mpaka leo sielewi watu wanaomsifia Mhongo! Sijaona kitu ambacho amekifanya angalau hata ku-risk kazi yake ya Uwaziri. Atleast Magufuli kwa hili is miles apart..ni mara kibao alichukua maamuzi ambayo yaliwauzi wakubwa..hata kama yalitenguliwa lakini unaona..alithubutu!
I am sorry, kwa Tanzania tulipofika.........nadhani ngoja twende na Magufuli tuu. Hakuna namna.
Angalia mtu kama Sumaye..ten years as Prime Minister (Mikataba mingi ya kifisadi ilisainiwa chini ya uongozi wake kama mtendaji Mkuu wa serikali)..leo analia na mikataba mibovu kweli???
Wanasiasa Mungu wa Mbinguni anawaona!
Unajua kwanini tunashindwa kuwachukulia hatua STAHIKI?Ukimshika Sumaye,kule juu kutaguswa,ukigusa Lowassa utagusa matawi ya juu kabisa.Leo tunaona Kalemani na Yamungu waliokuwa kwenye Bodi ya makinikia na waliokuwa sababu ya kukubali upuuzi wa mikataba mibovu wamepewa ULAJI.Halafu unasubiri Meli ya kwenda Zanzibar airport