mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,697
nitaendelea kuwaita wezi. na nategemea riport ya pili kuibua mengi zaidi. ninaiamini tume ya mruma kwa sababu ni technical team. principle yangu ambayo ni non-negitiable, ni afadhali nigundue nilidanganywa na mtaalamu kuliko kugundua nilidanganywa na mwanasiasa. wale ni experts kwenya yale mambo na baadhi yao wamefanya hiyo kazi wakiwa acacia au abg contractors hiyo.Usiwaite tena ACACIA kuwa ni wezi kwa kutumia ripoti ya Prof. Mruma. Punguza jazba na mhemko kwa kuwa hata huna uhakika wa suala hili litamalizikaje!
sina shaka mkuu endelea na lisu wako