Mpango wa Tundu Lissu kuzuru kwenye kaburi la Magufuli wagonga mwamba

Nyakijooga

Senior Member
Dec 9, 2018
123
202
Mratibu wa msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ambaye ni Katibu Mkuu BAVICHA (Bara) Yohana Kaunya, wanaoendelea na ziara ya 'Operesheni +255 Katiba Mpya, Okoa Bandari Zetu', amesema kuwa licha ya awali kukubaliwa na familia ombi lao la kwenda kudhuru kwenye kaburi la Rais Magufuli amedai kuwa wamepokea maelekezo wakiwataka wasiende.

Tulikuwa na ratiba ya kwenda kuona familia ya Rais Magufuli na kutembelea kaburi lake na tulienda kwenye familia wakatukubalia lakini baada ya tukio la (gari kuungua moto) lakini asubuhi tumepata mrejesho kuwa hatupaswi kwenda lakini kufika jana familia ilikuwa imetukubalia" Mratibu wa Msafara wa Tundu Lissu, Yohana Kaunya

Kaunya amesema kuwa walikusudia kabla ya mkutano ambao ulipangwa kufanyika Chato saa nane mchana wangeazia kuzuru kwenye kaburi la Rais Magufuli kama alivyotamka Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera wakati wa uzinduzi wa Oparesheni hiyo.

Kuhusu tukio la gari kuungua moto amesema wametoa taarifa kwa Jeshi la Polisi, huku akisisitiza kuwa wahusika wanatakiwa kuchukuliwa hatua ili kuondoa taharuki.

Ikumbukwe Tundu Lissu alitangaza kuwa ataenda kudhuru kwenye kaburi la Rais Magufuli na 'kumuamsha' akidai ili aone vitendo vinavyofanyika nchini ikiwemo sakata la Mkataba wa uwekezaji wa Bandari, ambao Lissu alidai kuwa Magufuli asingeweza kuingia mkataba wa aina hiyo.
 
Hii nchi hakuna mwenye hati miliki
Familia ya marehemu ipo kimya
coz kama ni zuio
Basi huyo mama ndiye alipaswa apigwe STOP
coz kila siku haishi kumsema aliyekuwa boss wake vibaya na kunanga!
 
Mratibu wa msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ambaye ni Katibu Mkuu BAVICHA (Bara) Yohana Kaunya, wanaoendelea na ziara ya 'Operesheni +255 Katiba Mpya, Okoa Bandari Zetu', amesema kuwa licha ya awali kukubaliwa na familia ombi lao la kwenda kudhuru kwenye kaburi la Rais Magufuli amedai kuwa wamepokea maelekezo wakiwataka wasiende.

Tulikuwa na ratiba ya kwenda kuona familia ya Rais Magufuli na kutembelea kaburi lake na tulienda kwenye familia wakatukubalia lakini baada ya tukio la (gari kuungua moto) lakini asubuhi tumepata mrejesho kuwa hatupaswi kwenda lakini kufika jana familia ilikuwa imetukubalia" Mratibu wa Msafara wa Tundu Lissu, Yohana Kaunya

Kaunya amesema kuwa walikusudia kabla ya mkutano ambao ulipangwa kufanyika Chato saa nane mchana wangeazia kudhuru kwenye kaburi la Rais Magufuli kama alivyotamka Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera wakati wa uzinduzi wa Oparesheni hiyo.

Kuhusu tukio la gari kuungua moto amesema wametoa taarifa kwa Jeshi la Polisi, huku akisisitiza kuwa wahusika wanatakiwa kuchukuliwa hatua ili kuondoa taharuki.

Ikumbukwe Tundu Lissu alitangaza kuwa ataenda kudhuru kwenye kaburi la Rais Magufuli na 'kumuamsha' akidai ili aone vitendo vinavyofanyika nchini ikiwemo sakata la Mkataba wa uwekezaji wa Bandari, ambao Lissu alidai kuwa Magufuli asingeweza kuingia mkataba wa aina hiyo.
Lisu ni mpumbavu anadhani watu wa chato ni kama hawakumbuki alivyomtukana marehemu akiwa hai na mfu kuwa shetani limekufa ,Leo eti akamuamushe

Unasiasa za kijinga Sana na kutafuta ushawishi wa kijinga ,huyu mtu Samia atamfanya kuleta mauajai muda mfupi.

USSR
 
Hii nchi hakuna mwenye hati miliki
Familia ya marehemu ipo kimya
coz kama ni zuio
Basi huyo mama ndiye alipaswa apigwe STOP
coz kila siku haishi kumsema aliyekuwa boss wake vibaya na kunanga!
Huyo anamsema hamtukani ,lisu anakutukana Kika siku Bado Zito

USSR
 
Kuna matatizo mengine hua tunajitakia tu....😎
Kwani lazima aende akatembelee kaburi ndipo nafsi yake iridhike...🙄
Sikuzote dalili ya mvua ni mawingu, kama alfajiri ya leo gari la Chadema limechomwa moto, na hayajipita masaa kadhaa umoja wa vijana Chato wametoa tamko kwamba "hawato kubali kuona Tundu akikanyaga kwenye kaburi ya Pombe" na wakaongeza kwamba wapo tayari kwa lolote (hapo inatakiwa Tundu ajitafakari upya kabla ya kwenda huko anako taka kwenda).
Pamoja na mabaya yote ambayo Tundu anaamini Pombe alihusika kumfanyia, lakini pia Tundu akumbuke kwamba alimtukana pamoja na kumtweza sana Pombe akiwa hai na akiwa mfu.
Tundu Leo anataka akatembelee kaburi la pombe, then vijana nao wametoa tamko kwamba "mbwa akikuzowea sana atakufuata hadi msikitini", basi kwa kauli hizi Tundu anapaswa akumbuke kwamba Safety kwake ni kitu cha muhimu kuliko kutembelea kaburi la Pombe.
 
Mratibu wa msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ambaye ni Katibu Mkuu BAVICHA (Bara) Yohana Kaunya, wanaoendelea na ziara ya 'Operesheni +255 Katiba Mpya, Okoa Bandari Zetu', amesema kuwa licha ya awali kukubaliwa na familia ombi lao la kwenda kudhuru kwenye kaburi la Rais Magufuli amedai kuwa wamepokea maelekezo wakiwataka wasiende.

Tulikuwa na ratiba ya kwenda kuona familia ya Rais Magufuli na kutembelea kaburi lake na tulienda kwenye familia wakatukubalia lakini baada ya tukio la (gari kuungua moto) lakini asubuhi tumepata mrejesho kuwa hatupaswi kwenda lakini kufika jana familia ilikuwa imetukubalia" Mratibu wa Msafara wa Tundu Lissu, Yohana Kaunya

Kaunya amesema kuwa walikusudia kabla ya mkutano ambao ulipangwa kufanyika Chato saa nane mchana wangeazia kuzuru kwenye kaburi la Rais Magufuli kama alivyotamka Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera wakati wa uzinduzi wa Oparesheni hiyo.

Kuhusu tukio la gari kuungua moto amesema wametoa taarifa kwa Jeshi la Polisi, huku akisisitiza kuwa wahusika wanatakiwa kuchukuliwa hatua ili kuondoa taharuki.

Ikumbukwe Tundu Lissu alitangaza kuwa ataenda kudhuru kwenye kaburi la Rais Magufuli na 'kumuamsha' akidai ili aone vitendo vinavyofanyika nchini ikiwemo sakata la Mkataba wa uwekezaji wa Bandari, ambao Lissu alidai kuwa Magufuli asingeweza kuingia mkataba wa aina hiyo.
Acha laana ziwaandame sasa
 
Hii nchi ina watu wapumbavu sana, yaani mtu na akili zake timamu anataka kutembelea kabuti la Jiwe,kama ni kweli nimshusha sana Mh Lissu
 
Safi kabisa, hawa wajinga wajinga wasiachiwe kuleta ujinga ujinga wao kwa mkono wa kabisa..?...lazima wadhibitiwe. Shwayyyyn!!!!
 
Mratibu wa msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ambaye ni Katibu Mkuu BAVICHA (Bara) Yohana Kaunya, wanaoendelea na ziara ya 'Operesheni +255 Katiba Mpya, Okoa Bandari Zetu', amesema kuwa licha ya awali kukubaliwa na familia ombi lao la kwenda kudhuru kwenye kaburi la Rais Magufuli amedai kuwa wamepokea maelekezo wakiwataka wasiende.

Tulikuwa na ratiba ya kwenda kuona familia ya Rais Magufuli na kutembelea kaburi lake na tulienda kwenye familia wakatukubalia lakini baada ya tukio la (gari kuungua moto) lakini asubuhi tumepata mrejesho kuwa hatupaswi kwenda lakini kufika jana familia ilikuwa imetukubalia" Mratibu wa Msafara wa Tundu Lissu, Yohana Kaunya

Kaunya amesema kuwa walikusudia kabla ya mkutano ambao ulipangwa kufanyika Chato saa nane mchana wangeazia kuzuru kwenye kaburi la Rais Magufuli kama alivyotamka Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera wakati wa uzinduzi wa Oparesheni hiyo.

Kuhusu tukio la gari kuungua moto amesema wametoa taarifa kwa Jeshi la Polisi, huku akisisitiza kuwa wahusika wanatakiwa kuchukuliwa hatua ili kuondoa taharuki.

Ikumbukwe Tundu Lissu alitangaza kuwa ataenda kudhuru kwenye kaburi la Rais Magufuli na 'kumuamsha' akidai ili aone vitendo vinavyofanyika nchini ikiwemo sakata la Mkataba wa uwekezaji wa Bandari, ambao Lissu alidai kuwa Magufuli asingeweza kuingia mkataba wa aina hiyo.
Kumbe alikua na nia ya "Kudhuru" kaburi!
 
Kuongea kupita kiasi ni dhambi kwa Mungu.

Kwa maneno aliyozungumza Lisu juu ya Magufuli sidhani kama ni sahihi kwake yeye kuzuru kaburi lake.
 
Back
Top Bottom