Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,812
Hivi mbowe ni mkuu wa nchi gani? Jamani hapa watanzania wanamjadiri rais wao,hawamjadiri mwenyekiti wa ccm,mule mnatofautisha mamboMbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Hivi mbowe ni mkuu wa nchi gani? Jamani hapa watanzania wanamjadiri rais wao,hawamjadiri mwenyekiti wa ccm,mule mnatofautisha mamboMbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Nimekupenda bure.Ohh that is my president, yaani nafurahi sana anaposimamia msimamo wa lugha yetu. Mungu ambariki sana Dr Magufuli!!
Kwa hakika hakuna kosa
Nisahihi kabisa
Wachina wanapiga kichina
Warusi wanapiga kirusi
Waarabu wanapiga kiarabu
Kwangu mimi kwa hili Rais Magufuli yupo sahihi
Tuna Rais wa ajabu ajabu..!
Dhambi ya kununua PhD ya maganda ya korosho hiyo inamtesaje. Ni Shidaaa...!
MaCCM acheni kutetea ujinga humu, Jamaa ni bonge la KILAZA.
Mbona mjinga wewe unakera hivi? Umekua wewe na jifunze kujifunza kupitia ujinga wako ili werevu wakusaidie kuelewa na kufanana nao!Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
..hazungumzi kiswahili fasaha.
..kiswahili chake si cha kiwango anachopaswa kuzungumza mkuu wa nchi ambayo kiswahili ni lugha ya taifa.
KifutuMbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
..hazungumzi kiswahili fasaha.
..kiswahili chake si cha kiwango anachopaswa kuzungumza mkuu wa nchi ambayo kiswahili ni lugha ya taifa.
Mch. Msigwa na Lema walihojiwa kwenye TV za Kenya wakati Lissu alipolazwa huko, walichongea ni aibu tupu kwa taifa.Wewe gamba hujawahi msikia Mbowe akitema "slang" za kizungu??
Wewe unadhani viongozi wa upinzani wanafanana na Jiwe katika kutojua lugha ya kiingereza??
Huyu ni PhD holder gani, ambaye lugha ya malkia inampiga chenga??
Huyu wetu amekosa vyote,lugha hajui si kiswahili,si kiingereza,kwenye leadership and Management ndo huko hovyo zaidi,mbaya zaidi hajiamini wala kujitambua. Mtu makini na anayejiamini-unaamua tu kwamba mie naenda pale kama rais wa nchi hivyo nitaongea kiswahili tu na unajitahidi kuwa consistency.sasa huyu akiwa na wanazengo ndo anatema broken zake,akienda kwa wanakijua anajifanya kutangaza kiswahili,hatumuelewi eti.Tunafanana kwamba sio lazima kwa kiongozi mkuu wa nchi kujua sana kiingereza ndio uthibitisho kwamba huyo ni kiongozi mzuri.
Sasa watu wanaombeza kiongozi wetu kwamba eti hafahamu kiingereza vizuri siwaelewi mantiki yao,
Sio lazima mtu kufahamu lugha ya kiingereza vizuri ndio uthibitisho kwamba ni kiongozi mzuri
Ilamubhonye kweliMungu Anakuona (Imana Ilakubonye)
😁😂😂
Akiongea kiingereza neno catalysit halikosekani-natamani kukutana na mwanafunzi wake wa miaka hiyoKwenye jitihada za Rais Maguguli kushawishi nchi za Afrika kurasimisha lugha ya Kiswahili jaribu kuwa Wazalendo.
Rais wa china kama poyoyo flani hivi!!!Haina shida maana sijawahi kumsikia Putin ama rais wa china akiongea lugha ya kigeni
Labda kweli atakuwa mgeni hapa..hazungumzi kiswahili fasaha.
..kiswahili chake si cha kiwango anachopaswa kuzungumza mkuu wa nchi ambayo kiswahili ni lugha ya taifa.
Pumbaf kabisa na clip yako ya kupikaNi huyu hapa anayesimamia lugha au lugha imempitia pembeni?
Ipo tofauti kubwa ya kusimamia lugha na lugha kumpitia mtu pembeni. Nadhani ukweli huo unaufahamu na mkweli ni mpenzi wa Mungu.
Ukute hapo unalala njaa pamoja na kuwa unakijua kingerezaunazurura kwa watu lakini huna uwezo wa kuwasiliana nao, aibu