Uchaguzi 2020 Magufuli si mgombea wa Tanzania pekee bali Afrika nzima inamuhitaji

Capture.JPG


numbers dont lie
 
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.

Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.

Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.

Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.

Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.

Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO
Kama ni hivyo atuache na Tz yetu na Lissu wetu aende kugombea ukatibu mkuu wa AU
 
Mleta mada usitufanye wote wapuuzi humu

1. Yani kwa akili yako sifa ya Raisi ni Mtu ambaye haendi Ulaya na America????

2. Kwa akili yako unafikiri mtumishi akisafiri nje ya nchi ndo hatumikii wananchi??? Unajua Safari za nje ya nchi zinakuwaga za aina gani na malengo gani??? Au unafikiri watu wanaenda vacation tu???

3. Nani kakwambia magufuli anatumia wasomi kwa maendeleo ya nchi??? Anawaburuza wasomi au anawatumia kwa maendeleo ya nchi??? Unajua Msomi Prof Assad alifanywa nini na huyo Magufuli???

4. Unasema kafufua shirika la ndege kwa kununua ndege! Labda nikuulize unajua financial statements za Air Tanzania wewe??? Unajua mchakato wa kuuziana izo ndege ukoje???

5. Hivi unajua hali za kifedha za hayo mashirika yanayotoa gawio??? Nakushauri nenda kafuatilie financial statements za ttcl uone kama linajiendesha kwa faida, fuatilia hayo mashirika mengine kama national housing , ppf, nsssf kama yanajiendesha kwa faida??

6.Unazungumzia uwajibikaji gani wa viongozi wa umma??? Makonda alikutwa na vyeti feki alimwajibisha????

7. Tuliambiwa tunawadai acasa trillion 490???? Unajua zilipotelea wapi??? Uliwai kuhoji???

8.Ni miundombinu gani ya ameboresha yeye?? Hujui kuwa asilimia 95 zilikuwa project za JK. Au unasema uwanja wa kijijini kwake Chatto ambao hata zabuni yake hatuijui???

9. Bima ya afya gani ameboresha wakati kapunguza hadi magonjwa ya kuhudumiwa na Bima???

10. wachezaji gani wananufaika??? Hujui hata Ligi kuu kuna wachezaji hawalipwi mishahara miezi na miezi????

11.Heshima gani ya Tanzania imerejea?? Kuwa na Urafiki na wafu Burundi na Zimbabwe au????

12. Kilimo gani kimeimarishwa??? Hujasikia malalamiko ya wakulima wa Korosho, Mbaazi, Tumbaku na Mahindi??? Au unaishi Misri????

13. Imani gani ya wananchi imeongezeka??? Au watu wamenyimwa uhuru wa kutoa mawazo yao kutokana na kubambikiwa makesi, kupigwa risasi na kupotezwa pale wakitoa mawazo yao huru???

Kajipange upya kilaza wa Lumumba wewe!!!
Wewe usioona hata ukioneshwa huna macho, Upofu utokanao na chuki, maslahi binafsi, ukibaraka hauwezi kutoka machoni.
Hujui athari za safari za viongozi wa kiafrika kwenda Ulaya?
1. Matumizi makubwa ya kodi za wananchi
2. Kuficha fedha ng'ambo
3. Kutumikia mabeberu
N.k
 
Mtoa uzi ni takataka.... Hili lilikuwa bao la nyeto kabisa sijui imekuwaje lizarutubishwa... Umbwa kabisa
Hahaaaa, ukikosa hoja utakimbilia matusi, leta hoja. Hoja haipigwi ngumi Bali kupingwa kwa hoja
 
Wewe usioona hata ukioneshwa huna macho, Upofu utokanao na chuki, maslahi binafsi, ukibaraka hauwezi kutoka machoni.
Hujui athari za safari za viongozi wa kiafrika kwenda Ulaya?
1. Matumizi makubwa ya kodi za wananchi
2. Kuficha fedha ng'ambo
3. Kutumikia mabeberu
N.k
Kama Safari za nje ni matumizi makubwa ya kodi za wananchi niambie ujenzi wa uwanja wa ndege chato??? Ni wapi bunge lilipitisha??? Ni wapi kandalasi ilisainiwa??? Ni kampuni gani ilipewa kandarasi ya kujenga ule uwanja na ni ya nani????
 
1596879026057.png


😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.

Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.

Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.

Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.

Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.

Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO
Ni kweli vp kuhusu maslahi ya wafanyakazi
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Jiwe ni mtendaji wa kiwango cha juu ajabu.

Hali ya kujisikia salama majumbani kwetu imeimarika sana sana. Watu mnasahau upesi hali ya ulinzi na usalama ilivyokuwa imedorora mwishoni mwa utawala wa Mkapa na kipindi chote cha utawala wa Kikwete.

Miradi mingi ya maji iliyoanzishwa wakati wa Mkapa ilikosa fedha wakati wa Kikwete. Jiwe kaikamilisha. Hata ujenzi waTerminal III uligeuzwa mradi wa upigaji wakati wa Kikwete. Jiwe alikwenda pale akawakoromea. Na kwa vile wanamjua walikamilisha haraka.

Mimi sina faida binafsi kumsifu Jiwe. Nasema tu ukweli. Umeme, maji, hospitali, elimu, na kadhalika, amekarabati vilivyokuwepo na vipya vikajengwa kwa kasi ambayo Watanzania walikuwa hawajawahi kuishuhudia.

Ni kweli "hapa kazi tu". The man is not perfect but he is damn good. Anaweza kuigeuza Tanzania kama Kagame alivyogeuza Rwanda. But then again kuna watu ambao hawawezi kujua kwamba yaliyofanyika Rwanda ni ya ngazi ya muujiza. Tunaelekea huko huko.

I have tried to picture in my mind what Tanzania will look like after another five years of true "hapa kazi tu". Naona treni za umeme zikitoka Dar hadi Kigoma. Najiona nikipita kwa gari daraja la baharini. Meli zinabeba watu na bidhaa maziwani bila kuharibika hovyo hovyo. Umeme kila mahali. Shule na mahospitali vimekarabatiwa. Watendaji wote wako macho kwani wakizembea tu kuna consequences. Zege hailali, uaajibishwa papo kwa hapo.


Amani na utulivu vimetanda nchi nzima. Kilimo kinaendelezwa kwa spidi kubwa. Import substitution industries in all districts.

Is that far fetched? No, not if you can see the groundwork that has been set.
 
Mnapojipambanua kusifia msiache na kuonesha failure......lakini kubwa kuliko yote mnapsifia hewala ila ikiwa tofauti basi forum inaonekana ipo kiuchochezi na akina Melo wanakesheshwa mahakamani,waambieni wenye mamlaka kuwa ikiwa JF ina watu wanaosifia basi pia watarajie kuwepo na watu wanaosiliba.
 
Usiseme watanzania sema wewe sio mbulula, huwezi kuwasemea watanzania wote, ndio maana chadema mnafeli mnadanganyana vijiweni kwenye kura mnafirwa.
Jamaa basi kisa umezoea wew kufanyiwa hivyo kama ulivyomalizia ndo unadhani wenzio nao wanafanyiwa kama wewe???........
 
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.

Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.

Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.

Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.

Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.

Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO
Bima ya afya ambayo saiv ukilipia unasubiri miez 3 ndo uipate sasa huoni ni wizi
 
Back
Top Bottom