Uchaguzi 2020 Magufuli si mgombea wa Tanzania pekee bali Afrika nzima inamuhitaji

Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.
Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.
Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.
Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.
Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.
Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO
Mleta mada usitufanye wote wapuuzi humu

1. Yani kwa akili yako sifa ya Raisi ni Mtu ambaye haendi Ulaya na America????

2. Kwa akili yako unafikiri mtumishi akisafiri nje ya nchi ndo hatumikii wananchi??? Unajua Safari za nje ya nchi zinakuwaga za aina gani na malengo gani??? Au unafikiri watu wanaenda vacation tu???

3. Nani kakwambia magufuli anatumia wasomi kwa maendeleo ya nchi??? Anawaburuza wasomi au anawatumia kwa maendeleo ya nchi??? Unajua Msomi Prof Assad alifanywa nini na huyo Magufuli???

4. Unasema kafufua shirika la ndege kwa kununua ndege! Labda nikuulize unajua financial statements za Air Tanzania wewe??? Unajua mchakato wa kuuziana izo ndege ukoje???

5. Hivi unajua hali za kifedha za hayo mashirika yanayotoa gawio??? Nakushauri nenda kafuatilie financial statements za ttcl uone kama linajiendesha kwa faida, fuatilia hayo mashirika mengine kama national housing , ppf, nsssf kama yanajiendesha kwa faida??

6.Unazungumzia uwajibikaji gani wa viongozi wa umma??? Makonda alikutwa na vyeti feki alimwajibisha????

7. Tuliambiwa tunawadai acasa trillion 490???? Unajua zilipotelea wapi??? Uliwai kuhoji???

8.Ni miundombinu gani ya ameboresha yeye?? Hujui kuwa asilimia 95 zilikuwa project za JK. Au unasema uwanja wa kijijini kwake Chatto ambao hata zabuni yake hatuijui???

9. Bima ya afya gani ameboresha wakati kapunguza hadi magonjwa ya kuhudumiwa na Bima???

10. wachezaji gani wananufaika??? Hujui hata Ligi kuu kuna wachezaji hawalipwi mishahara miezi na miezi????

11.Heshima gani ya Tanzania imerejea?? Kuwa na Urafiki na wafu Burundi na Zimbabwe au????

12. Kilimo gani kimeimarishwa??? Hujasikia malalamiko ya wakulima wa Korosho, Mbaazi, Tumbaku na Mahindi??? Au unaishi Misri????

13. Imani gani ya wananchi imeongezeka??? Au watu wamenyimwa uhuru wa kutoa mawazo yao kutokana na kubambikiwa makesi, kupigwa risasi na kupotezwa pale wakitoa mawazo yao huru???

Kajipange upya kilaza wa Lumumba wewe!!!
 
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.
Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.
Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.
Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.
Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.
Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO
Magu ameleta vurugu kubwa Africa Mashariki, alipomaliza akaenda SADC nako kavuruga leo nimesikiliza redio Namibia wanamchamba vibaya kwa amekuwa akiwaaminisha watu wake corona haipo na hataki kutoa ushirikiano na nchi nyingine za SADC. Tuna kiongozi wa hovyo sana na naona jinsi nyie timu masifu mnavyopata shida kumsifia mtu huyu, ukweli ni kwamba hakubaliki.
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.
Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.
Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.
Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.
Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.
Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO
Kuboresha huduma ya afya, hasa bima ya afya?!!! Hata kabla yake mbona huduma ya bima ya afya irishaanza kutengemaa?? Kwenye upande wa bima ya afya bora hata kipindi cha jk, sasa hivi ni dhuruma tu!! Wategemezi hakuna tena kama hapo awali!! Mala mjane nayeye kama mme wake/mke wake ndio alikuwa mfanyakazi hakuna tena!!, hadi leo bado madawa ya msingi ni shida kupatikana, ni mengi ameweza, ila changamoto bado ni nyingi mno,
Sema wewe ndo unamhitaji
Hatuhitaji muaji hata kama angekuwa anagawa maziwa na asali bure
Ameua nani weka ushahidi ukishindwa usiandke kwa ushabiki
Magufuli hamna Mkenya anayemuhitaji
We haumuhitaj
Hata yeye hawaitaj wakenya
Weka ushahidi kwamba si muuaji
 
Magu ameleta vurugu kubwa Africa Mashariki, alipomaliza akaenda SADC nako kavuruga leo nimesikiliza redio Namibia wanamchamba vibaya kwa amekuwa akiwaaminisha watu wake corona haipo na hataki kutoa ushirikiano na nchi nyingine za SADC. Tuna kiongozi wa hovyo sana na naona jinsi nyie timu masifu mnavyopata shida kumsifia mtu huyu, ukweli ni kwamba hakubaliki.
Baada ya October 28 takutafta tumuone anaekubalika
 
Acha kujishebedua ww
Kwa kusema tu ni mengi ameweza ni ushahidi wa ubora wake, tukimpa miaka mingine mitano atatatua hizo changamoto. Zamani ulikuwa ukienda Hospitali kwa kadi ya bima, unawekwa kando ili wahudumiwe wenye cash kwanza. Hata ukihudumiwa ilikuwa unaandikiwa dawa ukanunue,
Saivi huduma za bima ya afya ni bambam. Waelimishe na wengine wasipotoshwe na mabeberu
 
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi
Mkuu hapa kwenye BIMA ya afya hasa kwenye madawa na baadhi ya huduma kama vipimo wamevurunda sana kwenye mabadiliko waliyofanya karibuni kipindi cha Magufuli.

Kama tunampenda naomba tuwe wakweli kuhusu jambo hili la NHIF, na mengine ambayo kwa hapa nayaweka pending.
 
Me nawasubir baada ya October 28 niwaone
Kwa hizo propaganda zake za maendeleo ya vitu badala ya maendeleo ya watu labda achaguliwe na wakimbizi.
Huku mtaani hari ya maisha ni mbaya kupindukia.

Mwambieni huyo jiwe wenu (yesu wa CCM) aende kuomba kura flyovers, burigi National Park, Chato International Airport, n.k ila sio raia wa Tz maana njaa iliyopo mtaani sio ya kitoto.
 
Mleta mada usitufanye wote wapuuzi humu

1. Yani kwa akili yako sifa ya Raisi ni Mtu ambaye haendi Ulaya na America????

2. Kwa akili yako unafikiri mtumishi akisafiri nje ya nchi ndo hatumikii wananchi??? Unajua Safari za nje ya nchi zinakuwaga za aina gani na malengo gani??? Au unafikiri watu wanaenda vacation tu???

3. Nani kakwambia magufuli anatumia wasomi kwa maendeleo ya nchi??? Anawaburuza wasomi au anawatumia kwa maendeleo ya nchi??? Unajua Msomi Prof Assad alifanywa nini na huyo Magufuli???

4. Unasema kafufua shirika la ndege kwa kununua ndege! Labda nikuulize unajua financial statements za Air Tanzania wewe??? Unajua mchakato wa kuuziana izo ndege ukoje???

5. Hivi unajua hali za kifedha za hayo mashirika yanayotoa gawio??? Nakushauri nenda kafuatilie financial statements za ttcl uone kama linajiendesha kwa faida, fuatilia hayo mashirika mengine kama national houding , ppf, nsssf kama yanajiendesha kwa faida??

6.Unazungumzia uwajibikaji gani wa viongozi wa umma??? Makonda alikutwa na vyetu feki alimwajibisha????

7. Tuliambiwa tunawadai acasa trillion 490???? Unajua zilipotelea wapi??? Uliwai kuhoji???

8.Ni miundombinu gani ya ameboresha yeye?? Hujui kuwa asilimia 95 zilikuwa project za JK. Au unasema uwanja wa kijijini kwake Chatto ambao hata zabuni yake hatuijui???

9. Bima ya afya gani ameboresha wakati kapunguza hadi magonjwa ya kuhudumiwa na Bima???

10. wachezaji gani wananufaika??? Hujui hata Ligi kuu kuna wachezaji hawalipwi mishahara miezi na miezi????

11.Heshima gani ya Tanzania imerejea?? Kuwa na Urafiki na wafu Burundi na Zimbabwe au????

12. Kilimo gani kimeimarishwa??? Hujasikia malalamiko ya wakulima wa Korosho, Mbaazi, Tumbaku na Mahindi??? Au unaishi Misri????

13. Imani gani ya wananchi imeongezeka??? Au watu wamenyimwa uhuru wa kutoa mawazo yao kutokana na kubambikiwa makesi, kupigwa risasi na kupotezwa pale wakitoa mawazo yao huru???

Kajipange upya kilaza wa Lumumba wewe!!!
Umenifurahisha kwa kumpa ukweli wake mbulula anayetaka kuwafanya Watanzania wote akili zao kama zake na wenzake hapo Lumumba.
Hivi nani asiyejua jinsi awamu hii ilivyotutoa kwenye heshima kimataifa na kikanda hadi kuwa taifa lisilo na hadhi?
Juzi tuu tumefiwa na mzee wetu Mkapa ambaye umaarufu wake ulivuka mipaka ya EAC, SADC na AU hadi kule alikokuwa mwenyekiti mwenza lakini ona response ya majirani na marafiki zetu katika msiba?
Tumedharaulika sana, tena sana tuu
 
Umenifurahisha kwa kumpa ukweli wake mbulula anayetaka kuwafanya Watanzania wote akili zao kama zake na wenzake hapo Lumumba.
Hivi nani asiyejua jinsi awamu hii ilivyotutoa kwenye heshima kimataifa na kikanda hadi kuwa taifa lisilo na hadhi?
Juzi tuu tumefiwa na mzee wetu Mkapa ambaye umaarufu wake ulivuka mipaka ya EAC, SADC na AU hadi kule alikokuwa mwenyekiti mwenza lakini ona response ya majirani na marafiki zetu katika msiba?
Tumedharaulika sana, tena sana tuu
Wahuni hawa ndugu. Wameishi kwa propaganda kwa miaka 5 sasa wanafikiri watanzania wote ni mamburula. Subiri tuwaonyeshe kuwa tuna majibu juu ya propaganda zao zote kwa sababu tunaijua Tanzania imetoka wapi?? Ipo wapi na inaenda wapi???
 
Mkuu hapa kwenye BIMA ya afya hasa kwenye madawa na baadhi ya huduma kama vipimo wamevurunda sana kwenye mabadiliko waliyofanya karibuni kipindi cha Magufuli.

Kama tunampenda naomba tuwe wakweli kuhusu jambo hili la NHIF, na mengine ambayo kwa hapa nayaweka pending.
Mwambie huyo mataga mwenzako. Anafikiri watanzania ni mamburula kama yeye!
 
Mwambie huyo mataga mwenzako. Anafikiri watanzania ni mamburula kama yeye!
Mkuu ukiniita MATAGA unanikosea heshima japo hatujuani.
Anyway unayo haki kuita yeyote jina lolote lakini hakikisha hauvunji sheria, haukandamizi haki ya huyo mtu.
Kwa hapa umekandamiza haki yangu.
 
Magu ameleta vurugu kubwa Africa Mashariki, alipomaliza akaenda SADC nako kavuruga leo nimesikiliza redio Namibia wanamchamba vibaya kwa amekuwa akiwaaminisha watu wake corona haipo na hataki kutoa ushirikiano na nchi nyingine za SADC. Tuna kiongozi wa hovyo sana na naona jinsi nyie timu masifu mnavyopata shida kumsifia mtu huyu, ukweli ni kwamba hakubaliki.
Baada ya October 28 takutafta tumuone anaekubalika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom