Magufuli: Nikiondoka watakaokuja wataweza?

Magufuli: Nikiondoka watakaokuja wataweza?

Suala la kuondoka anajua haliko katika hiari yake lla tuwe wakweli ni watu wachache Sana wamaoweza kuvivaa viatu vyake vikawaenea!! Ana haki ya kufikiri hatima ya kazi kubwa aliyoianza! Tuwe wakweli, kwani waliopita hawakuwa wanajua makao makuu yanapaswsa yawe Dodoma? Hawakuqa wanajua umuhimu wa reli standard gauge? Hawakujua umuhimu wa kutekeleza kwa haraka ujenzi wa barabara kwa lami? Haya yote waliyajua na yalikuwa tayari yameamuliwa lakini hawakuwa na uthubutu wa kuanza maana waliamini hawawezi kwa kuwa nchi ni maskini. Kwa mazingira hayo ndiyo maana anajiuliza akiondoka atakayekuja ataweza kukamilisha alichokianza?
Rai yangu tumwombee maisha marefu na ukibidi turekebishe katiba ili atawale kwa miaka 20!! ( msinipige mawe hayo ni mawazo yangu)
Kila Rais anayekuja anavaa viatu vyake. Havai viatu vya aliyemtangulia. Rais Samia Suluhu Hassan hajavaa viatu vya JPM wala hana sabau ya kufanya hivyo; kama vile ambavyo JPM hakuvaa viatu vya JK!
 
Watu wabaya kweli eti wakambeep ziraeli naye akaenda hewani. Agenda closed successfully. Mungu hadhiakiwi
 
Amekufa sasa nchi haiendi ? Jiwe bana aliowatumbua kawaacha yeye kaenda , haki Ni jambo kubwa sana tofauti na alivyofikiri .
 
Tena nchi inaongozwa vizuri kwelikweli. Kwani nasema uongo ndugu zangu? Angeruhusiwa kidogo afufuke akute jinsi legacy yake imeporomoka ndani ya dakika sifuri na jinsi Mh. Samia anafanya kazi kwa akili angekufa na kukauka kama umeme. Hata asingethubutu kugombea tena cheoo cha kuongoza malaika mbinguni maana kura zingetaga yai.
 
Kwahiyo hataki kuondoka?
Ameshaondolewa na kimbunga Jobo😃😃 alitaka kukaa kwenye throne then angetuambia yule mwanae bwanyenye ndio anafaa kuongoza. Jambawazi kabisa
 
Back
Top Bottom