Jambo amabalo kwangu binafsi naona ni sahihi. Wote ni wasomi wa level ya PhD na kuendelea, lazima kimtizamo kuna sehemu kila mmoja atakua na fikra yake. Lakini mwishowe fikra zao waziharmonize na kuja na kitu kimoja
Furaha yenu nikuona mnafaanikiwa kumuondoa muhongo pale lakini aliepewa kapewa tuWale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....
nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?
Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo
Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu
akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania
Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....
Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?
Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?
Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....
Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele
Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
Kwenye Nishati ndo migogoro mingi ipo na ndiyo moyo wa nchi.
Ukisimama imara kwenye nishati umemaliza kila kitu.
Sidhani kama Tanzania itatokea.
Tumeona Libya kwa mfano tu hapa Africa walisimama imara ikawaletea shida mpaka leo wamesambaratishwa.
Nishati ..Nishati..
Quwait..n.k.hakuko salama.
Mtu yeyote atakaeleta sera nzuri ya kunufaisha watu wake kutokana na nishati lazima aionje.
Ndo maana hawa wetu WANAIGIZA tu.[/QQUOTE
Tusipende kuwasemea wale tujaribu tuone Kama yana ukweli,
muhongo ni jipu cjui magu amemsubilisha nnWale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....
nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?
Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo
Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu
akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania
Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....
Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?
Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?
Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....
Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele
Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
Visasi vipi??una ushahidi majipu haya ni visasi??au na wewe ni mmoja wa waathirika??majipu ni muhimu yatumbuliwe ili wanaotukwamisha wakae pembeni...hao unaowatetea hakuna hata mmoja alienda mahakamani kulalamika ametumbuliwa maana wanajua kuna sehemu wamekosea na pia nafasi walizokua nazo ni za kuteuliwa,hawakuziomba na taasisi iliyowapa nafasi izo imeona haiwahitaji tena..so muache kulalamika waambieni wakafungue kesi mahakamani kua wamefanyiwa visasi hawakua majipu...n lastly taifa halipo ktk hali mbaya km unavyotaka tuamini,now tunalipa wakandarasi & miradi iliyokwama now imeanza kutekelezwa,tunakusanya kodi vzuri,hatukopi kulipa mishahara ya watumishi,umeme ndo km ivo megawat zinaongezwa...tupo ktk hali mbaya ipi labda??tusiwe watu wa kulaumu tu kila siku..Tatizo kubwa ni Magufuli, sio rais yaani mara mia wangebadilishana kiapo na Majaliwa.
Watanzania tuna tabia ya kusifu tusivyovijua badala ya kuhoji na kuviogopa, taifa lipi sehemu mbaya zaidi sasa tunahitaji vision ya kututoa hapa visasi tutarudi baadae majipu hayana tija kwa sasa kuwa agenda.
Unadhani hii hoja haina mantiki, kweli??? Tanesco ni moja ya taasisi inayohitaji umakini wa hali ya juu sana.Muendelezo wa siasa za fisi....kufuatilia mambo yasiyo na mantiki.
Mbona huja quote alichosema Magufuli. Ulichofanya ni kusema ulivyoelewa wewe. Usibadilishe neno hata moja la hiyo segment ya hotuba utaona inaleta maana tofauti.Wale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....
nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?
Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo
Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu
akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania
Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....
Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?
Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?
Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....
Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele
Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
Mkuu imagination yako inakutangulia.Ile hotuba ni ushahidi unaoweza hata kuja kutumika kumhukumu
Magufuli huko baadae
anawaagiza wakuu wa mikoa waweke watu ndani kwa masaa 48
wakamate watu kisa wanacheza pool...ni hatari sana
mtu mmoja anaweza sababisha maafa akajitetea anatii maagizo ya mkuu wa nchi
tusije fika The Hague siku moja
Mkuu umesikiliza hotuba ya Magufuli Kinyerezi kweli? Ameshasema mnaolalamika juu ya Muhongo mna yenu ya ziada na yeye hamwondoi!Mkuu Nguruvi3 bora wewe umetusaidia kuorodhesha madudu haya ya Muhongo
ndani ya siku 100 tu
kinachoshangaza ni kuona why Magufuli hamuondoi haraka?
Acha uongo wewe vyuo vipo tena vyakutosha mali ya tanesco kuna tts na vinginevyo tts-tanesco training schoolHaha, kuna watu wanaona haya matamko na maagizo ni mapya ...
TANESCO Leo haina hata chuo cha kuzalisha wataalamu wake......
Viko wapi?Acha uongo wewe vyuo vipo tena vyakutosha mali ya tanesco kuna tts na vinginevyo tts-tanesco training school
Maigizo bin muviiii hakuna jipya ktk serikali hiiHili swali najiuliza kila siku
waziri anaongea a,b,c
anakuja Rais anasema x,y,z...
jambo ni hilo hilo.....unabaki mdomo wazi