Magufuli na Muhongo, hii sio confusion?

Magufuli na Muhongo, hii sio confusion?

Wale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....

nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?

Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo

Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu

akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania

Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....

Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?

Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?

Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....

Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele

Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
Kuna kitu wengi hamkukielewa..Alichopinga Magufuli ni mikataba mibovu yote ya dharura ya kuzalisha umeme kama hii ya IPTL, AGRECO, SYMBION e.t.c kwamba shirika lipambani lizalishe umeme wa kutosha.
Yapo makampuni binafsi mengi tu kama vile migodi na baadhi ya viwanda vikubwa vya Cement ambavyo huzalisha umeme wao wenyewe either kwa kutumia gas au vyanzo vingine. Tanesco pia huwa na mikataba ya kununua umeme wa ziada toka kwenye viwanda hv kwenda kwenye grid ya Taifa..Sasa hili ndilo Muhongo aliliongelea kwamba company hz ziongezeke na na Tanesco inunue umeme wote surplus toka kwenye hv viwanda
 
Wale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....

nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?

Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo

Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu

akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania

Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....

Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?

Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?

Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....

Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele

Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
Mhe .muhongo hamtamuweza hata muanzishe kashfa ya aina gani huyo ni miongoni mwa viongozi wateule wa nchi watakaoacha historia ya utendaji uliotukuka.Musoma moja hiyo ni sawa na hayati baba wa taifa hata sahaulika kamwe.
 
Wale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....

nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?

Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo

Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu

akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania

Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....

Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?

Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?

Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....

Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele

Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
Hiyo confusion is according to your myopic view.prof.muhongo ni jembe.mkoa wa Mara hauwezi kutoa MTU ambaye sio jembe.hilo ni angalizo
 
kila wakati nasema magu anatakiwa afanye kazi kwa mpangilio

kuna miscommunication hapo...

kwanini asikae kitako na mawaziri wake mmoja baada ya mwingine wafanye mikakati hii habari ya kila mtu kuamkia kwake kusema lake mbele ya media inatuchanganya....
 
Mkuu Nguruvi3 bora wewe umetusaidia kuorodhesha madudu haya ya Muhongo
ndani ya siku 100 tu

kinachoshangaza ni kuona why Magufuli hamuondoi haraka?

Huu utawala utawaweka pabaya sana wawekezaji. Maana kila mtu anakuja na lake.

Wenye macho wameshaanza kuondoa pesa zao manake unawekeza sehemu halafu kesho yake unaambiwa ufunge uondoke.
 
Kufupisha maneno mengi, ccm ni ileile twende nayo vilevile.
 
Umenikumbusha Magufuli anasema mashirika yapunguze wafanyakazi
halafu vijana wasio fanya kazi wakamatwe wapelekwe kwenye makambi
yaani mvurugano wa sera za kikomunisti na kibepari...
amazing............................
 
Hiyo confusion is according to your myopic view.prof.muhongo ni jembe.mkoa wa Mara hauwezi kutoa MTU ambaye sio jembe.hilo ni angalizo
Hiyo confusion is according to your myopic view.prof.muhongo ni jembe.mkoa wa Mara hauwezi kutoa MTU ambaye sio jembe.hilo ni angalizo
Kweli hujakosea ndio hao hao akina Wasira wasiokua na lakufanya wanataka kufia kwenye ubunge mpaka wanapigana na watoto wadogo!!
 
Mhe .muhongo hamtamuweza hata muanzishe kashfa ya aina gani huyo ni miongoni mwa viongozi wateule wa nchi watakaoacha historia ya utendaji uliotukuka.Musoma moja hiyo ni sawa na hayati baba wa taifa hata sahaulika kamwe.

Lina hasara tumbo lililokuzaa mwana wa mla viwavi wewe.....
 
Kina Magufuli wamewekwa pale bila kujua wafanye nini!!!
Tatizo ccm wamejichojrea duara lazima wazunguke ndani yake, ukitoka nje ya duara, Kolimba style inakuhusu hakuna jipya la kutegema kwa hawa jamaa.
 
Back
Top Bottom