mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,697
- 9,051
TanzaniaViko wapi?
TanzaniaViko wapi?
Haya sio mapya hata awamu ya 4 yalikuwa hivi hivi! Mwingine alisema hakuna haja ya katib mpya, mkuu wa kaya akaja akasema kuna haja ya katiba mpya! Kama rais kwanini usimwite waziri husika ukamwambia akabatilishe kauli yake kuliko kujitokeza kwa wananchi na kumpinga!Hivi hawa vikatuni wa uongozi wanakaa hata kwenye baraza la mawaziri na kujadiliana cha kufanya na kusema?
...Katika nchi hii haijawahi tokea wananchi wakashirikishwa katika kuandaa sera, kufikia hatua ya kuikubali au kuikataa.Tatizo kubwa ni kukosa sera ya nishati iliyokubalika kwa wananchi.
Ndio maana kila kiongozi anakuwa na mtizamo wake. Ila Muhongo inabidi asome alama za nyakati vinginevyo atawaingiza mkenge madalali wenzake
JPM amejikanganya... na wajanja wameshamjua sasa wanamjaza king, kama aliyemtangulia... soon tutarudi kulekuleHili swali najiuliza kila siku
waziri anaongea a,b,c
anakuja Rais anasema x,y,z...
jambo ni hilo hilo.....unabaki mdomo wazi
JPM amejikanganya... na wajanja wameshamjua sasa wanamjaza king, kama aliyemtangulia... soon tutarudi kulekule
JK did put our state into an unorganized chaos on purpose, na hao stewards wa unorganized chaos wamemzunguka JPM, na kwa bahati mbaya sana, yuko busy na "operations" badala ya "strategies"
ticking time bomb!!!
Hivi katika mtizamo wako kuna sera inaweza kufanikiwa bila kushirikisha wananchi? Au tunajidanganya? Unaposema inatosha kwa sasa ina maana hii sera haina maono ya miaka ijayo? Mzee hizi sera za zilizojaa kwenye vikapu ambazo hazipo kwenye mioyo na vichwa vya watendaji wa serikali na wanachi zinatupeleka kuzimu....Katika nchi hii haijawahi tokea wananchi wakashirikishwa katika kuandaa sera, kufikia hatua ya kuikubali au kuikataa.
...Sera ya nishati iliyopo inatosha kwa sasa, na bado kuna maboresho yake, sijui kama yamepitishwa. Tatizo ni utekelezaji.
...Actually, ukisoma hizo sera, unaelewa mashaka ya Kiranga, The Boss na Nguruvi3.
...Mitazamo kadhaa katika mambo mbalimbali, haijulishwi na sera zilizopo. Ndio maana wengine mnadhani hakuna sera. Zipo! Zinajaa vikapu!
...Prof. Muhongo is right as per existing Energy Policy.
PS. Tusipofuata hizi sera -kama hazifai tuandae nyingine- hutatafanikiwa, tutatafutana ubaya tu.
Huyo Bwana hata asafishwe kwa acid, bado ni jipu linalosubiri zamu iwadie litumbuliweMkuu umesikiliza hotuba ya Magufuli Kinyerezi kweli? Ameshasema mnaolalamika juu ya Muhongo mna yenu ya ziada na yeye hamwondoi!
Ni mseto wa mambo ila watakuja wajuzi waseme yote ni sawa.Hili swali najiuliza kila siku
waziri anaongea a,b,c
anakuja Rais anasema x,y,z...
jambo ni hilo hilo.....unabaki mdomo wazi
Hivi katika mtizamo wako kuna sera inaweza kufanikiwa bila kushirikisha wananchi? Au tunajidanganya?
...Umeisoma? Au, umezisoma? Maana ziko mbili hapo, na zote zinaongelea future ya nishati na umeme Tanzania.Unaposema inatosha kwa sasa ina maana hii sera haina maono ya miaka ijayo?
...Hizo sera hutungwa na kuandaliwa na watendaji wa Serikali. Zinatoka vichwani mwao!Mzee hizi sera za zilizojaa kwenye vikapu ambazo hazipo kwenye mioyo na vichwa vya watendaji wa serikali na wanachi zinatupeleka kuzimu.
Wale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....
nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?
Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo
Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu
akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania
Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....
Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?
Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?
Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....
Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele
Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
I think pale ikulu huwa kuna ugonjwa wa kupofusha akiliKazungukwa na watu wale wale
na anaamini mikwara ndo ita solve ufisadi....
Kama zipo kwa nini rais anahubiri kulia waziri anatenda yake kushoto. Raisi anapiga ndombolo waziri anacheza ngololo! Hii inadhihirisha Raisi ameona madhifu ya waziri na sera zisizokuwa na maslahi kwa taifa zenye kuwakumbatia madalali na wapiga dili, ndio sababu anakuwa na mtizamo tofauti. Ifike mahala tuwe na uzalendo wa kweli kwa nchi yetu!...Kushirikisha wananchi kuna tafsiri nyingi. Kwa ufupi, wanashirikishwa, kupitia wawakilishi mbalimbali, na wao wenyewe katika ngazi tofauti.
...Sera nyingi, ni kwa ajili ya matumizi ya Serikali, kama mwongozo wa kutoa huduma au kutekeleza jambo kwa manufaa ya nchi. Ambayo, ni kazi ya Serikali.
...Umeisoma? Au, umezisoma? Maana ziko mbili hapo, na zote zinaongelea future ya nishati na umeme Tanzania.
...Hizo sera hutungwa na kuandaliwa na watendaji wa Serikali. Zinatoka vichwani mwao!
...Hebu soma japo moja kati ya hizo mbili, halafu tuendelee na hoja! Au unasemaje?
Ukiangalia kwa haraka haraka utaona Muhongo hayupo sahihi, ila ukaanza kuchimba ndani zaidi utagundua tatizo lipo kwa Mh Rais. Ki vipi? Mimi naamini hakuna waziri hata mkuu wa mkoa au makatibu wanaoelewa nini hasa Raisi anataka. Kuna sera za Chama, kuna slogan ya hapa kazi tu, na kuna mtazamo wa Rais then kuna facts! Tatizo hiko hapa kuna wanaofanya kutokana na sera, wengine kutokana na facts na wengine kutokana na Slogan na wengine kwa mtazamo wa Rais. Kwa namna hii lazma watapishana tu, ndio maana wanaofanya kwa mtazamo wa rais wanafukuza kila mtendaji aliyekosea. Hivyo Mkuu sio Muhongo tu utakuja ona na wengine wanavyopishana na rais ni suala la muda tuWale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....
nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?
Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo
Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu
akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania
Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....
Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?
Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?
Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....
Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele
Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
Aigoooo kwani Magu Na serikali yake vupaumbele vyake ni vipiMuhongo bado anamawazo na mikakati ya serikali ya awamu ya nne. Atupishe, maana ameshidwa kuambatana na kasi ya Magu.