kedimund74
Member
- Mar 4, 2015
- 79
- 26
Hii ndio nchi pekee na ya kwanza kusikia Waziri na Rais wanatofautiana kwenye sera nyeti kwenye wizara nyeti kama hii.....
Yaani tuna nchi ya ajabu sana....
Unaweza tu kujiuliza swali la kijinga,kama wewe The Boss umeona huu mkanganyiko inakuwaje rais au waziri hajaona?
Yaani taarifa unaanza kuzipata wewe kabla yao au inakuwaje?
Yaani kama ni hivyo tunaishi kwenye nchi ya ajabu kabisa kuwahi kutokea duniani.....
Uthibito kuwa unaish kweny nchi ya ajabu!!!?...