Magufuli na Muhongo, hii sio confusion?

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,282
117,233
Wale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....

nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?

Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo

Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu

akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania

Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....

Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?

Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?

Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....

Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele

Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
 
Muhongo mnasema ni mtaalam anajua ni vipi tatizo lipo na atumie njia gani kutatua
Magufuli yeye ni kiongoz inawezekana kuna mengine hajui. Usikute Tanesco bado haijawa na uwezo wa kuzalisha umeme wa kutosha
Anyway mimi kwenye swala la MIKATABA namuunga mkono Rais hii MIKATABA ya kijinga ni ya kufutiliwa mbali.. Muhongo atueleze kama Tanesco haina haja ya kupata umeme toka kwa wafanyabiashara basi izalishe yenyewe kama anavotaka mheshimiwa
 
Wale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....

nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?

Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo

Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu

akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania

Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....

Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?

Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?

Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....

Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele

Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
Hivi ile mipango ya kina Idriss Rashid iliishia wapi?
 
Wale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....

nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?

Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo

Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu

akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania

Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....

Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?

Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?

Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....

Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele

Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
Muendelezo wa siasa za fisi....kufuatilia mambo yasiyo na mantiki.
 
The Boss

Si hilo tu, leo kamsakama Zitto kwanini anaongelea IPTL tu. Rais anasema asaidiwe ili atumbue majipu. Anachosema Zitto ndio usaidizi, waziri anasema hapana(confsusion)

Tena anasema kuna madudu mengine mbona hayasemwi. Huyu ni waziri anategemea madudu yasemwe wakati anaingia vikao vya baraza la mawaziri na ana dhamana na wizara

Ni huyu huyu, wakati waziri mkuu anaenda kuangalia madudu ya mita za mafuta yeye anatuma text zifunguliwe haraka(confusion)

Nadhani atampa Rais wakati mgumu sana, ni bora 'wangemwahi' mapema
 
Muhongo aliongonzwa na chuki zake kwa Zitto ndo maana alisema aliyoyasema
 
Kwenye Nishati ndo migogoro mingi ipo na ndiyo moyo wa nchi.

Ukisimama imara kwenye nishati umemaliza kila kitu.

Sidhani kama Tanzania itatokea.

Tumeona Libya kwa mfano tu hapa Africa walisimama imara ikawaletea shida mpaka leo wamesambaratishwa.


Nishati ..Nishati..

Quwait..n.k.hakuko salama.

Mtu yeyote atakaeleta sera nzuri ya kunufaisha watu wake kutokana na nishati lazima aionje.

Ndo maana hawa wetu WANAIGIZA tu.
 
Muhongo huwa haongei kwa fact from the ground , yeye huongea kutokana na theory anazo soma. Mgufuli anaongea kile anacho kiamini kinatekelezeka na ndio maana anafuatilia sana kila mradi na anaona uwezekano wa tanesco kujiendesha upo.
Binafsi simwamini kabisa Muhongo kwani anategemea vyeti vyake na cv yake ndivyo vitatuletea umeme. Kumbuka kuna wakati alisema wawekezaji wa tz hawaweI kuwekeza kwenye gas kwa kuangalia figures za fedha kumbe kwenye biashara hakuna figure kubwa .

Magufuli yupo.sahihi na kama kuna uwezekano muhongo awekwe pembeni maana inaonekana sio msikivu.
 
Wale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....

nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?

Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo

Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu

akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania

Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....

Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?

Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?

Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....

Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele

Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa
Raisi anapozungumza na kutoa maagizo , ile ni amri halali na kinachifuata hapo uwa ni utekelezaji tu!
 
The Boss

Si hilo tu, leo kamsakama Zitto kwanini anaongelea IPTL tu. Rais anasema asaidiwe ili atumbue majipu. Anachosema Zitto ndio usaidizi, waziri anasema hapana(confsusion)

Tena anasema kuna madudu mengine mbona hayasemwi. Huyu ni waziri anategemea madudu yasemwe wakati anaingia vikao vya baraza la mawaziri na ana dhamana na wizara

Ni huyu huyu, wakati waziri mkuu anaenda kuangalia madudu ya mita za mafuta yeye anatuma text zifunguliwe haraka(confusion)

Nadhani atampa Rais wakati mgumu sana, ni bora 'wangemwahi' mapema

Mkuu Nguruvi3 bora wewe umetusaidia kuorodhesha madudu haya ya Muhongo
ndani ya siku 100 tu

kinachoshangaza ni kuona why Magufuli hamuondoi haraka?
 
Back
Top Bottom