Alfred Shija
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 130
- 82
Magufuli kama mtu mpenda haki hebu atende haki ya urais zanzbr na meya dar
suala la ku deal na malaya limewapa polisi ulaji,wanavamia hadi ma lodge sasa hivi na hili la pool table ni deal nyingine...hehehehehehe...ptuuuuu
sikumwelewa kabisa!Na aliyemteua vipi?
Kuanza tu kufikiria kuwa kuna kipya ambachop hii serikali inaweza kuleta ni kama kusubiri meli airport.......
Hakuna mwenye lengo zuri hapo nakuambia,watu ni wale wale na ofisi ni zile zile.......
Kama huniamini subiri muda ukuambie.....
Anatumia mbinu za miaka ya 1970 kutatua matatizo ya 2016!
Dunia na mifumo yake inabadilika kila siku.China, Venuzuela, Zimbabwe,Bolivia,Russia, Cuba zote zimelekea upande wa kibepari yeye bado anawazo huko kisa kafananishwa na Nyerer
Sijui katiba mpya atasimamia chama au nchi??
Umenikumbusha enzi ya kampeni washauri wake kutwa kulalamika jamaa hasikii ushauri,Shida ya nchi hii iko hapo
mtu hana team ya wataalam na kama anayo haisikilizi
Sasa Magufuli hotuba tu ya kuandikiwa haisomi
anazungumza yake...jiulize team ya washauri ya uchumi ataisikiliza?
nimewahi toa mfano humu
Makamu wa Rais wa Marekani sio mtendaji..hafanyi maamuzi
lakini still ana washauri wa kila sekta
unakuta Makamu wa Rais ana mshauri wa uchumi...
Rais ana mshauri wa uchumi na kuna mawaziri husika nao wana washauri...
Sisi Rais anaibuka tu na kusema kitu hata washauri hawana taarifa nacho
Kuanza tu kufikiria kuwa kuna kipya ambachop hii serikali inaweza kuleta ni kama kusubiri meli airport.......
Hakuna mwenye lengo zuri hapo nakuambia,watu ni wale wale na ofisi ni zile zile.......
Kama huniamini subiri muda ukuambie.....
Traffic wamesonga mbele kwenye kupiga tochi kuliko Rais, sa hivi wanapiga tochi kwa nyuma unakuta fine inakusubiria mbeleKwa style yake hii usishangae watu wakaanza kuulizwa vitambulisho
na kesi za uzururaji zikaanza tena
Kwa taratibu za utandaji, waziri ndie mdomo wa rais kwenye sekta inayohusika. Ndie anazungumza aliloamua rais na baraza lake kuhusu sekta hiyo. Tofauti kidogo tu lazima waziri aondoke. Nyerere alitofautiana na Mtei kwenye suala la IMF wakati, ingawa walitofautiana kwa siri ilibidi Mtei aondoke. Ndivyo serikali inavyoendeshwa kinyume chake ni vurugu tu.
Mkuu inawezekana Rais ana vision but haijawa clearly translated kwa wasaidizi wake ili wajue what is expected and how will be achieved. Leo nimeona Mawaziri walitoa mwelekezo kwa new RCs ambayo ni ya jumla sana, sasa unless kuna dossier ambayo imeandaliwa in advance na watakabidhiwa itakuwa vigumu sana kwao ku translate vision ya ya boss wao.Lakini hii inaashiria nini? Inatoa picha gani kwa Magufuli? Sio Rais alipaswa tangu awali kabla ya kumpa hiyo kazi angempa Sera....mwelekeo na imani yake ktk sekta hiyo? Hii haituoneshi Mzee Magu Mzee wa ghafla na kuripuka?
Mkuu inawezekana Rais ana vision
Inakuaje Boss hukai na timu yako na kuwaambia unataka Ku achieve nini?
Hii inaonesha dhahiri Mr. President hana vision!
Wale mliomsikia Rais Magufuli alichosema leo kuhusu sera ya nishati ya umeme
mtakubaliana na mimi alichofanya leo Magufuli ni 'kumpinga waziwazi'
waziri wake wa nishati ndugu Muhongo....
nimewahi kuleta thread humu nikiuliza anayoyasema Muhongo ndo aliyotumwa
na Magufuli?Anayoyasema Muhongo katumwa na Magufuli?
Tunaweza kusema sasa kuwa Muhongo alikuwa 'ana sera zake binafsi'
za nishati alizokuwa anazitekeleza na sera za Rais Magufuli ni tofauti
na za Muhongo
Muhongo toka ateuliwe amekuwa anazungumza kuhusu 'wawekezaji binafsi'
kuzalisha umeme na Tanesco kununua tu
akisema ndo solution ya matatizo ya umeme Tanzania
Leo Rais Magufuli kasema hataki kusikia tena biashara za kununua umeme na kukodisha
mitambo na mambo ya mikataba na kampuni binafsi
Tanesco ijiimarishe izalishe yenyewe....
Sasa najiuliza je hii sio confusion now?
why Muhongo aendelee kuwa waziri?
why Magufuli asimteue anaemuona anaelewa sera zake?
Je wawekezaji waliomsikiliza Muhongo waki invest mabilioni wakiwa
na imani kuwa 'muelekeo ni Tanesco kununua tu na si kuzalisha yenyewe si wataingizwa mkenge?
Niseme ingawa binafsi naona Magufuli yuko sahihi kwa hili
lakini hii 'confusion' inaweza leta shida huko mbele....
Kama Muhongo anatofautiana kimtazamo na Rais Magufuli kwenye sera za nishati ni bora
aondoke au aondolewe haraka asije sababisha 'mkanganyiko' huko mbele
Na Rais Magufuli awe very clear na sera ya nishati
tueleweke muelekeo ni upi? ili hata TANESCO nao wajipange huku wakijiamini kuwa
wapo sawa kisera na mkuu wa nchi
Kuliko kuwa na waziri anaewaambia 'wajiandae kuachia uzalishaji'
huku Rais anawaagiza 'wajiimarishe kwenye kuzalisha'
hii confusion ni jipu kubwa