Nachojua kabla ya uchaguzi, mgombea Raila Odinga alikuja Tanzania akapokewa na Magufuli akaomba amuunge mkono.
KENYATTA HAJAFANYA HIVYO.
cdm walimkatalia wazi Raila Odinga kwa madai kua hakuwaunga mkono kipindi cha uchaguzi uliopita alijiunga na adui yao kisiasa(yaani Maagufuli), hivyo na wao kama chama hawatamuunga mkono badala yake watamuunga mkono Kenyatta.
Odinga akasema "Lowasa in rafiki yake pia anamuomba amuunge mkono kama rafiki yake Magufuli anavyofanya.
Hatukusikia kauli ya lowasa ikijibu swala hili.!
Bali lowasa alipokwenda Kenya akaenda kuonyesha wazi yeye yupo bega kwa bega na Kenyatta.action is louder.
Kenyatta aliposhinda ; cdm wakawa wakwanza kumpongeza kwa ushindi wake. Vilevile lowasa akampongeza Kenyatta.
Na Magufuli akampongeza Kenyatta pia.
Thats all I know.
Tathmini yangu;-
inanionyesha kua kama Odinga angeshinda basi Magufuli angefarijika zaidi. Kwakua Odinga in rafiki yake kama alivyo kagame.
Na upande wa pili kama Odinga angeshinda Lowasa na CDM wangehuzunishwa na matokeo yale. Ingekua Pigo kwa CDM na Lowassa kwa ujumla.
Kuhusu CCM kufurahishwa ama kutofurahishwa sina LA kueleza kwasababu ...may be kwakua Magufuli ni mwenyekiti wa chama cha mapinduzi.
Na yeye alimuunga mkono Raila.
Na sijasikia kile CCM wametamka kama Chama so far..
Bali pongezi za Magufuli kwa Kenyatta, nazichukulia zaidi kama sehemu ya Protocol (itifaki za kimataifa kuliko personal issue). Yaani ni kawaida Rais kutoa pongezi kama nchi zenye uhusiano wa kidiplomasia na umoja wa afrika mashariki.
Tukizingatia kua Kenya ni sovereign state.INA haki kujiamulia mambo yake na ikaheshimiwa kimataifa
Sent using
Jamii Forums mobile app