- Thread starter
- #401
Zingekuwa ni siasa uchwara unge IGNORE/UGEDHARAU na wala usingejibu.Mbona na wewe unataka kuwa na siasa za maji taka hivi! Mbona unahangaika sana kuleta thread za siasa uchwara.! Leta vitu vya ukweli.
Lakini kwa sababu kuna kitu muhimu ndo maana UMENIJIBU.