Kweli? Basi wewe ni kati ya wale walioburuzwa miaka nenda rudi huku wakishangilia na kushabikia tu bila kuuliza swali. Hivi uliposoma primary hukusikia methali iliyosema: "Mbio za sakafuni huishia ukingoni?" Ni nani muasisi wa uwozo wa nchi hii? Kama ni maraisi waliotangulia na familia zao unafikiri ni rahisi Magufuli kuwatumbua majipu kwa wepesi kama unavyofikiri? Majipu haya sii ya juujuu kama unavyodhani. Think twice! Magufuli anaweza kutumbukia kwenye shimo refu na akashindwa kabisa kutoka huko katika mbio hizi unazoshangilia. Fikiri! Uliza! changanua! Angalia kila fact na ujiridhishe kama mtu mzima!
Namdharau sana mtu yeyote yule anaetilia shaka uwezo wa serikali yetu kwa namna yoyote ile!
Nilisikiliza Hotuba yake ya kufungua Bunge aisema kwamba pamoja na mambo mengine Serikali yake itaondoa matumizi ya magari ya kifahari maarufu kama, mashangingi", sasa hii ni kwamba ametangaza vita dhidi ya mabepari wakubwa nchi hii na hawa siyo wengine bali ni Karimjee Jivanjee Familiy ambao ndiyo wamiliki wa Toyota Tanzania ambao pia ni wauzaji wa Mashangingi yote serikalini na hawa jamaa wamekuwa na biashara ya uhakika tangu mwaka 1995, sasa Je, Magufuli wetu ataiweza hii familia ya Kipebari?
Na kama kweli amedhamiria kula nao sahani moja basi nashauri pia ajiimarishie ulinzi kwani na wao pia watakula naye sahani moja, hawa Karimjee Jivanjee family ni noma, wazungu walivyoondoka ndiyo waliowakabidhi nchi (kiuchumi) wako Afrika Mashariki yote!
mim mbna nimeagiza mwenyewe?kwan kuagiza gar ni kushindana na wakala?
Elewa basi. Hata wewe huwezi kuagiza gari jipya toka TOYOTA japan. Itabidi uliagize Toyota Tanzania. Kama serikali ina dalili mwingine hapo kati kama ilivyokuwa rada na ndge ya rais hapo 10% lazima. Fahamu tu kwamba ukiwa na mihela yako huwezi kuagiza toka Japan.Mambo ya 10% ndo maana individual wanaweza agiza direct ila serikali hadi wakala, du!!!
"Na kama kweli amedhamiria kula nao sahani moja basi nashauri pia ajiimarishie ulinzi kwani na wao pia watakula naye sahani moja, hawa Karimjee Jivanjee family ni noma, wazungu walivyoondoka ndiyo waliowakabidhi nchi (kiuchumi) wako Afrika Mashariki yote!"
Mwisho Wa kunukuu..
Watanzania tunajiita wasomi lkn baadhi yetu elimu zetu hazitusaidii. Mleta Uzi ameandika maneno hayo hapo juu. Ni ujuha na ujinga ndiyo vinamsumbua au amedhamiria makusudi kumdhalilisha Rais wetu.
Ubavu Wa kusema raia ATAKULA SAHANI MOJA na Muh. Rais Magufuli ameutoa wapi?
Mpumbavu sana wewe. Ili kuweka nidhamu mleta Uzi huu anafaa kufuatiliwa akamatwe na vyombo vya dola ili aeleze vizuri magabachori watakvyo kula sahani moja na rais. Anafaa kuswekwa ndani ili atambue mamlaka ya Rais ni yapi.
Umemdhalilisha Rais wetu
Tunaomba ufafanuzi kidogo mkuu.Mmmh, Kibanga ampiga mkoloni. Kweli hawa jamaa walikua na nguvu sana. Historia yao ni ndefu kumbe. Labda historia hii ndiyo kile kilichotajwa ndiyo kura tatu za Tabora?
Kwa kukusaidia tuu, last consignment ya magari ya serekali ni mashangingi 300, yamenunuliwa kwa bulk pocurement na GIPSA, na wameyanunua direct from kiwandani!, no middle men, no agent!. Wameyanunua kwa gharama ya half market price, na kumbe ukinunua more than 100 units, unasafirishiwa kwa half price na kushauriwa kufungua after sales service center yako!.
Pasco
Kipindi jombaa alikua anatafuta ulaji wa uteuzi ila kwa sasa keshaona hakuna kitu ndo karudi sawaBila shaka report ya CAG umeiona ilichokisema kuhusiana na hao GPSA na uagizaji wa magari ya Toyota.
Naona kweli wameyaleta kwa half price kama ulivyosema mkuu,hahah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi jombaa alikua anatafuta ulaji wa uteuzi ila kwa sasa keshaona hakuna kitu ndo karudi sawa
Sent using Jamii Forums mobile app