Magufuli 'anajihujumu' mwenyewe...

Magufuli 'anajihujumu' mwenyewe...

Wakati mwingine mapato ya serikali yanaweza kuongezwa kwa kupunguza kodi
 
Watu wenye mentality za 'kufanya harakati' badala ya management ndo wanavyokuwa
lazima wajiangushe wenyewe

Harakati ni kabla hujapata power
ukishapata power inatakiwa management skills sio tena 'harakati'
Kipindi aliteuliwa kugombea uraisi na chama chake,Kuna mwana CCM (mwandosya sina uhakika sana) alilaumu sana jamaa hana leadership experience yyte.Kinachooneka
leo ndicho hicho hicho.
 
Polisi mishahara hawajaongezwa
na wakienda madukani wanakuta bidhaa zimepanda kisa kodi kuongezwa
na wao 'watamchukia' kimoyomoyo
Samwel Doe alikuwa mbabe sana tena akijivunia utiifu wa jeshi lake la polisi.

Yaliyojiri yako kwenye historia.
 
Sijui anataka watu wamwogope...?

Eti yeye hajaribiwi...kwani yeye nani? Mungu?

Keshaanza kuniboa sana kwa kweli.

Badala ya kukimbizana na majizi na mafisadi kabakia kutisha wananchi.
Kama ni mfuatiliaji wa mambo ya siasa za kiafrika, naamini atakuwa anajua kilichomtokea Samwel Doe.

Polisi pia ni wanadamu, wanachoka kuvumilia.
 
Kiukweli mkulu anaboa watu kila kukicha,wengi hatukumtarajia kufanya anayoyafanya leo
 
Ruttashobolwa mimi nakuheshimu sana bro na huwa nafurahishwa na michango yako ilioenda shule,lakini kwa hili la kumzodoa The Boss nona umechemsha au pengine umeghafilika,tafadhali tengua kauli yako kwake ndugu yangu nakuomba.
Karanja, Ruttashobolwa has never made a sensible statement! Huyu ni pro CCM and therefore he is blind of the truth as long as he has a position in the government! Out of CCM, senses of truth may be will come!
 
Jambo la kusikitisha zaidi hata Jeshi la Polisi linalotakiwa kulinda wananchi na mali zao limegeuka kuwa Kitengo cha Serikali kwa ajili ya kukusanya mapato na kutishia raia.

Siku hizi hata ukiwa unahama kutoka nyumba moja kwenda nyingine na umepakia vyombo vyako kwenye Kirikuu ama Ghuta ujiandae kukumbana na kero na maswali ya kuudhi kutoka kwa askari na pengine kulazimishwa kulipa faini usiyojua chanzo chake.
 
Kipindi aliteuliwa kugombea uraisi na chama chake,Kuna mwana CCM (mwandosya sina uhakika sana) alilaumu sana jamaa hana leadership experience yyte.Kinachooneka
leo ndicho hicho hicho.
Mwandosya aliona mbali sana...na amejikalia kwake kuleee Rungwe katulia tu
 
Hebu rudi usome ulichoandika. Ulitaka kuandikaje?
Aah! Ndio maana mnaupinga ukuta. Uungeni mkono ili muelimike. Ndalichako akisoma ulichokiandika anaweza kuandika barua ya kujiuzulu bila kutafakari. Unadhalilisha lugha ya watu.

Ni kweli nilichoandika kina kera sana (irritating ) kwa wataalamu wa lugha hiyo. Hata hivyo nililenga kuandika
" It is more active in social media .....I can assure you that! "
=======
Asante kwa kuniwezesha kugundua udhaifu wangu katika uandishi wa post hiyo. Lakini jitahidi kusumbua kichwa kidogo kugundua nilikuwa na maanisha nini ili ufaidike na ujumbe wangu.
 
Kuna vitu Rais yoyote akifanya ni rahisi mno kutengeneza maadui wapya weengi mno

La kwanza ni kuongeza kodi

la pili ni kupiga marufuku 'watu wasiongee'

Kiongozi yoyote akifanya hayo ni dhahiri upepo utabadilika na 'atachukiwa'
haraka mno.....

Huhitaji hata vyama vya siasa kubadili huo upepo

Sasa kama kuna watu wa kumshauri Magufuli....basi wamueleze tu ukweli

Kwanza awe makini na kupandisha kodi

kodi na tozo za biashara mbalimbali zimepandishwa kiholela

na sasa watu hawaruhusiwi hata kufanya mikutano
wala makongamano
wala kukosoa kwenye media........hivi vitu viwili vinaweza kufanya serikali
kutumia 'Jeshi la Polisi' kila siku na kila wakati.....

Kuna gharama kubwa mno serikali itaingia...ili kuimarisha jeshi la polisi
na kuliweka ready kila siku...kwa mambo ambayo busara kidogo ingetumika
kusingekuwa na ulazima.......
Ni wapi amepiga marufuku watu wasiongee. |Ni kama jana namsikiliza Estehr Nulaya ambaye alipitia Kata zote 20m za wilaya yake akisema Mh. Rais amekataza mikutano na huku walioshikwa akili na Mbowe wakisema kweliii wakati yeye amezunguka bila kuibuguthiwa na mtu je unajua kwaniani kwa sababu alikuwa anahamasisha maendeleo na si kuweka vizingiti. Sasa kama alihutubia kwa nini anawadanganya walioshikwa akli kuwa wanasiasa wanakatazwa?!?! bahati nzuri matawapata wachache walioshiikiwa akili zao!
 
Ni wapi amepiga marufuku watu wasiongee. |Ni kama jana namsikiliza Estehr Nulaya ambaye alipitia Kata zote 20m za wilaya yake akisema Mh. Rais amekataza mikutano na huku walioshikwa akili na Mbowe wakisema kweliii wakati yeye amezunguka bila kuibuguthiwa na mtu je unajua kwaniani kwa sababu alikuwa anahamasisha maendeleo na si kuweka vizingiti


Hivi unajifanya wewe peke yako ndio unajua kusikiliza eeeeh?

Acha unaa bana

Mungu wenu alisema haruhusu mtu kufanya mkutano nje ya jimbo lake....Katazo ambalo liko kinyume cha katiba yetu na sharia na kanuni za vyama vya siasa

Kwanza ina limit Haki ya kikatiba ya Movement,Ina limit haki ya Expression...katiba yetu haijanizuia mimi wa Nanyumbu kutokwenda kuongea na watu wa ukerewe...katiba inanipa haki ya kuongea popote Tanzania ilimradi sivunji sharia.

Sheria za vyama vya siasa zinaviruhusu vyama vyote vyenye usajili kufanya mikutano sehemu yoyote Tanzania wakati wowote ...na polisi wanapaswa kujulishwa na kutoa Ulinzi

Hayo makatazo ya MUNGU wako ameyatoa kadri ya nini? MUNGU wako anavunja katiba hatuwezi kumvumilia...Never
 
Polisi mishahara hawajaongezwa
na wakienda madukani wanakuta bidhaa zimepanda kisa kodi kuongezwa
na wao 'watamchukia' kimoyomoyo


Hata ruzuku ya bia, vifaa vya ujenzi na nyumbani walivyokuwa wanapata kwa unafuu imefutwa, kwa nini wasimchukie kimyakimya?!
 
Uandishi wako tu wenyewe unaakisi haiba na uwezo wako wa kufikiri kwamba ni mfinyu saaana sana, kenge ana nafuu!!!

Ni wapi amepiga marufuku watu wasiongee. |Ni kama jana namsikiliza Estehr Nulaya ambaye alipitia Kata zote 20m za wilaya yake akisema Mh. Rais amekataza mikutano na huku walioshikwa akili na Mbowe wakisema kweliii wakati yeye amezunguka bila kuibuguthiwa na mtu je unajua kwaniani kwa sababu alikuwa anahamasisha maendeleo na si kuweka vizingiti. Sasa kama alihutubia kwa nini anawadanganya walioshikwa akli kuwa wanasiasa wanakatazwa?!?! bahati nzuri matawapata wachache walioshiikiwa akili zao!
 
Hivi unajifanya wewe peke yako ndio unajua kusikiliza eeeeh?

Acha unaa bana

Mungu wenu alisema haruhusu mtu kufanya mkutano nje ya jimbo lake....Katazo ambalo liko kinyume cha katiba yetu na sharia na kanuni za vyama vya siasa

Kwanza ina limit Haki ya kikatiba ya Movement,Ina limit haki ya Expression...katiba yetu haijanizuia mimi wa Nanyumbu kutokwenda kuongea na watu wa ukerewe...katiba inanipa haki ya kuongea popote Tanzania ilimradi sivunji sharia.

Sheria za vyama vya siasa zinaviruhusu vyama vyote vyenye usajili kufanya mikutano sehemu yoyote Tanzania wakati wowote ...na polisi wanapaswa kujulishwa na kutoa Ulinzi

Hayo makatazo ya MUNGU wako ameyatoa kadri ya nini? MUNGU wako anavunja katiba hatuwezi kumvumilia...Never
Sasa huyo Matiko wa Bunda si alifanya Mikutano kwenye kata zake zote 20?!?!?! Source mimi mwenyewe taarifa ya habari ya saa mbili ya ITV! mbona hakukataliwa?!?!?!? kwa sababu hakuwa na message za uchochezi na za uongo kama UKUTA inavyotaka kutoa ujumbe ambnaom si sahihi hata kidogo! Maandamano yafanyike ombi langu kama la muhushimiwa Raisi Mbowe, Seif, Lisu na fam,ilia zao ndio zika msatari wa mbele baaaas!
 
Kitendo cha waziri wa afya kukosoa na kurekebisha kauli yake ni aibu kubwa...tena ametumia kauli mbaya na tusi..""rais alikuwa anatania"" hiyo ni kejeli na dhihaka kwa rais


Kauli ambayo by extension inamaanisha kuwa matamko mengi ya Rais yalikuwa ni utani.
 
Back
Top Bottom