Kapinga mbish
New Member
- Jul 31, 2016
- 4
- 3
Hii ndio tanzagiza
Kama huna macho ya kuona improvement basi matatizo uliyo nayo ni zaidi ya macho.
Mimi jirani yako hapa usisahau kunipitia....Si tunaanza saa tisa usiku? au ratiba imebadilika?mie nasubiria hio tarehe moja,nione nani anachukua kombe,nina ugwadu balaaa,naona September mosi mbali vile
Sasa kama atachukiwa nyie mnaohitaji kupendwa na mafisadi na wazembe si muendelee. Mheshiwa magufuli endelea kujenga inchi hii hawa sasa hivi watabadili gear na kusema wewe ni dhaifu. Hapa kazi tu.Sijui anataka watu wamwogope...?
Eti yeye hajaribiwi...kwani yeye nani? Mungu?
Keshaanza kuniboa sana kwa kweli.
Badala ya kukimbizana na majizi na mafisadi kabakia kutisha wananchi.
Sasa kama atachukiwa nyie mnaohitaji kupendwa na mafisadi na wazembe si muendelee. Mheshiwa magufuli endelea kujenga inchi hii hawa sasa hivi watabadili gear na kusema wewe ni dhaifu. Hapa kazi tu.
miaka hii mitano ni ya kusikia na kuona mambo mengi ya ajabu,tujipange itakapofikia 2020
Mkuu, heshima kwako.Sijui anataka watu wamwogope...?
Eti yeye hajaribiwi...kwani yeye nani? Mungu?
Keshaanza kuniboa sana kwa kweli.
Badala ya kukimbizana na majizi na mafisadi kabakia kutisha wananchi.
Mimi jirani yako hapa usisahau kunipitia....Si tunaanza saa tisa usiku? au ratiba imebadilika?
Naona akili zinakurudia taaratibu, hongera sanaHaya mambo ya UKUTA mkulu ameyataka mwenyewe....
Siyo wewe tu uliyekuwa na imani na JPM wakati alipoanza kazi ya Urais, hakika wengi tulikuwa na imani naye kwa kiasi fulani.....Huyu Magufuli mimi simwelewi kabisa siku hizi.
Alipoanza kuna baadhi ya mambo nilimuunga mkono.
Lakini sasa hivi naona haeleweki kabisa.
Bada ya kupiga kazi tu anaishia kukimbizana na CHADEMA.
Tatizo lake ni nini?
Hana ustahmilizu wa kukosolewa?
Hahahaha,mkuu mimi akili zangu natembea nazo muda wote,labda hukunielewa tu.Naona akili zinakurudia taaratibu, hongera sana
😀😀😀jf banaMkuu, heshima kwako.
Usijiamini sana, si unajua kuna "Interpol"
Distance doesn't mater
Mkuu, heshima kwako.
Usijiamini sana, si unajua kuna "Interpol"
Distance doesn't mater
Siyo wewe tu uliyekuwa na imani na JPM wakati alipoanza kazi ya Urais, hakika wengi tulikuwa na imani naye kwa kiasi fulani.....
Lakini kadri siku zinavyosogea ndivyo anavypoteza popularity kwa kasi ya kutisha......
Na kitu kikubwa kinachomponza sana Magu ni kutofanya 'editing' ya matamko yake anayotoa kwenye majukwaa ya kisiasa kutokana na kukataa kusoma hotuba anazoandaliwa na wasaidizi wake.
Ninaamini iwapo kura ya maoni itapigwa leo kutaka kujua ni wananchi wangapi wanamuunga mkono hivi sasa.
Upo uwezekano akawa anaungwa mkono na chini ya asilimia 30 ya watanzania kwa hivi sasa, na atakuwa amepoteza umaarufu wake kutokana na kutaka kuendesha nchi hii bila kufuata Katiba ya
nchi na Sheria nyinginezo mbalimbali za nchi.
Kweli kwa kasi aliyoanza nayo alisha gain political mileage ya kutosha tu kiasi hata asingewabana UKAWA bado alikua ana advantage. Hiki anachofanya sasa hata mie sikielewi aiseeHuyu Magufuli mimi simwelewi kabisa siku hizi.
Alipoanza kuna baadhi ya mambo nilimuunga mkono.
Lakini sasa hivi naona haeleweki kabisa.
Bada ya kupiga kazi tu anaishia kukimbizana na CHADEMA.
Tatizo lake ni nini?
Hana ustahmilizu wa kukosolewa?
Busara ni bidhaa adimu kwa viongozi Wa awamu hii, nitajie Kama unamjua mwenye busara Kati yaoKuna vitu Rais yoyote akifanya ni rahisi mno kutengeneza maadui wapya weengi mno
La kwanza ni kuongeza kodi
la pili ni kupiga marufuku 'watu wasiongee'
Kiongozi yoyote akifanya hayo ni dhahiri upepo utabadilika na 'atachukiwa'
haraka mno.....
Huhitaji hata vyama vya siasa kubadili huo upepo
Sasa kama kuna watu wa kumshauri Magufuli....basi wamueleze tu ukweli
Kwanza awe makini na kupandisha kodi
kodi na tozo za biashara mbalimbali zimepandishwa kiholela
na sasa watu hawaruhusiwi hata kufanya mikutano
wala makongamano
wala kukosoa kwenye media........hivi vitu viwili vinaweza kufanya serikali
kutumia 'Jeshi la Polisi' kila siku na kila wakati.....
Kuna gharama kubwa mno serikali itaingia...ili kuimarisha jeshi la polisi
na kuliweka ready kila siku...kwa mambo ambayo busara kidogo ingetumika
kusingekuwa na ulazima.......
Wale wa suti nyeusi?Jamaa dizaini ni bonge la insecure flani hivi...
Kweli kwa kasi aliyoanza nayo alisha gain political mileage ya kutosha tu kiasi hata asingewabana UKAWA bado alikua ana advantage. Hiki anachofanya sasa hata mie sikielewi aisee