Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Toilet paper ikimaliza kazi yake hutupwa chooni.
Nakumbuka ule uzi wako wa CCM kupuuza tambiko la mbio za mwenge, naaza kuaminiamini vile, joto ni kali kwelikweli.Na atakaa mbali kwakuwa ndio mwisho wao wote watatu kwenye siasa
Mkuu Shocker , pole, huijui CCM wewe!.Mwengine ni Polepole ukimaliza uchaguzi anatupwa nje
Amwambia pumzika na kaa mbali na Huseni Mwinyi
HiCCM mpya chini ya Bashiru na Chakubanga mbona imeacha kuongelea mambo ya madege na madaraja? Walidhani mwanzoni kuwa wananchi watakula madaraja? Sasa kama wanajua kusoma alama za nayakati wasome. Huu uchaguzi waki mess up wanakwenda kupigwa vikwazo siyo vya dunia hii.. Yaani sisi
Unajitoa ufahamu kama vile umetoka kupigwa paipu za asubuhi. Ni mara ngapi Meko yupo mikoani lakini anaongelea ndege na madaraja ?Hi
Hii ni ilani mpya wanazungumzia nini watafanya sio nini kilichofanyika
Pia wakija dar utasikia hayo madaraja na ndege
Asa ulitegemea akiwa huko sijui mwandiga
Sijui wap huko tunduma wazungumze habari za madaraja kweli?
Subiri mzee baba akija Dar kufunga utasikia sana habari za madaja na maflyover
Sijui salender, sijui ubungobinterchange, sijui kamata flyover, sijui mwenge flyover na mengine mengi tu jombaaa
Asa nyie walozi mnafanya kazi gani mpigeni kipapai arudi kwao .Na atakaa mbali kwakuwa ndio mwisho wao wote watatu kwenye siasa
Pascal wewe ungekua unaijua CCM usingeingia kwenye kinyan'ganyiro na kujipatia kura 1 tu kutoka kwa wajumbe.
Huyu jamaa anatia aibu.Pascal wewe ungekua unaijua CCM usingeingia kwenye kinyan'ganyiro na kujipatia kura 1 tu kutoka kwa wajumbe.
Aiseeee 1 Kura huyo hakubalikiPascal wewe ungekua unaijua CCM usingeingia kwenye kinyan'ganyiro na kujipatia kura 1 tu kutoka kwa wajumbe.
Jamani hivi Seif akapumzike Oman na JamshedWakumshauri kukaa pembeni ni The Slave Master, and Chief Puppet Sultan Seif Sharif Hamad
Previously known as haragwe
Mkuu Daudi Mchambuzi , naijua CCM nje ndani, mimi ni wale wana CCM wa Nyerere type. Wajumbe ni watu wa modern CCM, sifa za mtu kupata kura za kutosha ni mbinu na sio uwezo.Pascal wewe ungekua unaijua CCM usingeingia kwenye kinyan'ganyiro na kujipatia kura 1 tu kutoka kwa wajumbe.
Stresss nomaa
Yaani ulivyo msimanga utadhani ni mnufaika wa ikulu moja kwa moja.
Jifunze kutoka kwa jirani kagame tu hapo,anafunga na kuua wapinzani wake pale anapojisikia,ushasikia kuhusu kuwekea vikwazo?afrika hamna demokrasi,nitajie 2 za kiafrika zilizowekewa vikwazo sababu ya kukandamiza upinzani nikutumie vocha ya jero 😂CCM mpya chini ya Bashiru na Chakubanga mbona imeacha kuongelea mambo ya madege na madaraja? Walidhani mwanzoni kuwa wananchi watakula madaraja? Sasa kama wanajua kusoma alama za nayakati wasome. Huu uchaguzi waki mess up wanakwenda kupigwa vikwazo siyo vya dunia hii.. Yaani sisi
Ha ha ha ha kwa hiyo ni kutaka kutuambia waliopita hasa jimbo ambalo kura zako hazikutosha hao jamaa upstairs ni watupu kabisa hakuna kitu ila mbinu tu zimewabeba!!?Mkuu Daudi Mchambuzi , naijua CCM nje ndani, mimi ni wale wana CCM wa Nyerere type. Wajumbe ni watu wa modern CCM, sifa za mtu kupata kura za kutosha ni mbinu na sio uwezo.
Kati ya sisi wagombea 176 tulio tangaza nia Kawe, miongoni mwetu kuna some very fine men, wana uwezo mkubwa sana wa uongozi lakini kufuatia wajumbe kuwa sio watu, hivyo watu wazuri tukaishia kupata kura moja na kura 0, halafu wenzetu watupu lakini wanye mbinu, wakalamba kura za kutosha!.
Je, wajua kuna watu wazuri, waadilifu wenye uwezo, wanaotaka kuingia Bungeni kulisaidia Taifa, Bunge na kumsaidia JPM kwa dhati, lakini kwa vile...
P
Ndio nimewahi kusikiaJifunze kutoka kwa jirani kagame tu hapo,anafunga na kuua wapinzani wake pale anapojisikia,ushasikia kuhusu kuwekea vikwazo?
Kwa uongo wewe ni profesa wa uongo. Ukweli ni kwamba kama wewe ni raia mwadilifu, mzalendo, mchapa kazi hautakuwa na hofu na JPJM; ila utashangilia mambo mazuri yanayoendelea nchini. JPJM ni kiboko cha mafisadi, mabeberu, wasaliti, wala rushwa, wasambazaji na wauza madawa ya kulevya. Kama wewe uko katika kundi hili ovu nakushauri uache ili ushirikiane nasi kujenga taifa letu.Sio kufunga tu!! Ataua wengi wakiwemo vigogo wakuu wa CCM . Huyu mtu hatakiwi kurudi tena ikulu. Come sun come rain
Kama ni kiboko ya mafisadi imekuwaje ajenge uwanja wa ndege kijijini kwake tena kwa kampuni ya ndugu yake???Kwa uongo wewe ni profesa wa uongo. Ukweli ni kwamba kama wewe ni raia mwadilifu, mzalendo, mchapa kazi hautakuwa na hofu na JPJM; ila utashangilia mambo mazuri yanayoendelea nchini. JPJM ni kiboko cha mafisadi, mabeberu, wasaliti, wala rushwa, wasambazaji na wauza madawa ya kulevya. Kama wewe uko katika kundi hili ovu nakushauri uache ili ushirikiane nasi kujenga taifa letu.
Mzee hebu jifiche basi. Hata Magufuli ameshindwa kuwaona nyie na kuielekeza kamati kuu iwarudishe?Mkuu Daudi Mchambuzi , naijua CCM nje ndani, mimi ni wale wana CCM wa Nyerere type. Wajumbe ni watu wa modern CCM, sifa za mtu kupata kura za kutosha ni mbinu na sio uwezo.
Kati ya sisi wagombea 176 tulio tangaza nia Kawe, miongoni mwetu kuna some very fine men, wana uwezo mkubwa sana wa uongozi lakini kufuatia wajumbe kuwa sio watu, hivyo watu wazuri tukaishia kupata kura moja na kura 0, halafu wenzetu watupu lakini wanye mbinu, wakalamba kura za kutosha!.
Je, wajua kuna watu wazuri, waadilifu wenye uwezo, wanaotaka kuingia Bungeni kulisaidia Taifa, Bunge na kumsaidia JPM kwa dhati, lakini kwa vile...
P