Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Shinikizo linakuja kwa kasi,nawaza miaka miwili ijayo itakuwaje na ukichukulia jamaa huwa ana hasira na maamuzi ya jazba....wapinzani wanamsubiri akianza jazba wampigie hapohapo
Mkuu jana wamemtisha PM kama hatochukua hatua stahiki dhini ya wale Lugumi &Family watamng'oa.
 
Mimi kuna sehemu nasalia, ilikuwa kabla ya ibada lazima aombewe mh Raisi mwema sana, lakini siku hizi naona wameacha kumuombea sijui kwanini
 
Mimi kuna sehemu nasalia, ilikuwa kabla ya ibada lazima aombewe mh Raisi mwema sana, lakini siku hizi naona wameacha kumuombea sijui kwanini
Ila nchi hii bwana! tunaambiwa tuwaombee na sisi tunaomba kama mazuzu?
 
Ili uthibitishe haya maneno yako kuwa Magufuli kachuja au lah nenda mtaani alafu ukikuta kikundi cha watu tamka haya maneno kuwa "Magufuli hafai".. Kitachokutokea kutoka kwa wananchi usisite kuja kutuambia ata kama ukiwa ICU.
Labda wananchi wa chato na mtaa wa Lumumba, nilipo mimi watu wanamuona ni mkurupukaji tu asiye na vision
 
Alichokosea alituhaidi kukamata majizi na mafisadi badala yake anatumbua majipu kitu ambacho hakutuahidi, hivyo hatumuelewi.
Wakati jipu namba 1 ni mwenyekiti wa chama chake ambaye wanakunywa chai pamoja kila siku
 
anatia huruma kweli siku hizi, nahivi hajazoea kusemwa!
 

This can be the best answer.

Wananchi wamemuona ni yuleyule tu.
 
Hii haina mambo ya uchama ndugu kama kuumia ni watanzania wote na kama kufaidika ni watanzania wote si chamama fulani elewa mada as a great thinker sio kiushabiki mtakapo isoma namba kama mlivoimba ndo kitaeleweka street stay tuned usiandikie mate.Time will tell.
 
Unapochangia hoja jaribu kutumia lugha ya staha hasa inapokuwa mhusika ni mheshimiwa. Ustaarabu na heshima ni kitu cha bure. Usiwatukanishe waliokuzaa na kukulea kuwa hawakutimiza wajibu wao ulipokuwa mtoto hadi ukikua.
Mkuu mbona umepanic huyo mwenye comment katumia lugha ya picha hujui fasihi au?
 
Kweli, kama kuumia tunaumia sote
 
Hata EL katokea fisiem ni bora angekua rais kupitia upinzani au fisiem japo fisiem wangempitisha nisingempa kura kama ambavyo sikumpa JP lakini afadhari yule licha ya madudu yake angefaa zaidi kuliko huyu coz anabusara,mvumilivu,hana pupa na ni bingwa wa organizational leadership na ana mahusiano mazuri na watu lakini kwangu kubwa zaidi ni mfanyabiashara aliyefanikiwa so angekua kwenye nafasi nzuri ya kucheza karata za uchumi vyema huku upinzani ukifanya constructive critics tungefika mahala lakini huyu mkomunist mwenye hasira na matajiri simuelewi labda tanzania ya viwanda watajenga walalahoi.Endapo itafika june 2017 uchumi ikiendelea kudorora nitafikia hitimisho kua kama taifa tumepata hasara.Acheni kabisa kushabikia sera za ujamaa hazina maana kabisa hua zinaleta umaskini kuliko kuondoa na ndizo zimetufikisha hapa tulipo leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…