Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

ILE MICHORO YA JANAURY MAKAMBA INA MAANA LUGHA YA PICHA ILE INATIMIA TARATIBU KUONESHA UHALISIA WA CCM MWENYE NAYO ATUPIE HAPA.
 
Hayo ni maoni yako binafsi, ni haki yako kuwa nayo na kwa hiyo hakuna haja ya kuyajadili hapa!
 
Kufanya mambo kwa sifa ni hatari sana.tulianza kwa kusomewa taarifa za mapato na TRA kila mwezi kwenye TV Leo huu mwezi wa pili huu kimyaa .kuendesha nchi hakuhitaji mbwembwe.
Hivi wewe na Salary Slip ni ndugu? Mwenzako alianzisha mada eti TRA haijatoa taarifa ya mapato ya mwezi Aprili. Tulivyoweka hiyo taarifa akatoka nduki
 
Hivi wewe na Salary Slip ni ndugu? Mwenzako alianzisha mada eti TRA haijatoa taarifa ya mapato ya mwezi Aprili. Tulivyoweka hiyo taarifa akatoka nduki
Nilikuwa sijaiona mkuu. Hapo sawa
 
 
 
Kuondoa wananchi kuona Bunge Live na kutoonekana mwelekeo wa kujenga strong institutions.
 
TB Joshua alikuja Tanzania akatembea peku....kibiblia hii ni mbaya sana.....ni sawa na wale manabii waliovaa magunia kulaani wafalme ambao baadae falme zao zilipigwa mapigo makali
Hapa nimekumbuka kitu
 
Kwa hiyo tulosema tatizo ni mfumo tuko sahihi?
 
wewe ndiyo ubongo wako umechuja.....mara nyingi wanaolalamika ni wale ambao walizoea njia za mkato...sisi wananchi maisha magumu huwa tunayo kila siku na tunakomaa nayo...lkn wafanyakazi ,wanasiasa na wafanyabiashara acheni awanyooshe......Magufuli mbele kwa mbele.
 
Hii nchi angeiweza Lowasa.Kichwa kimejaa busara na uvumilivu
Hilo zigo lenu halitakaa lipate uraisi maishani mwake,labda raisi wa mioyoni yenu baraza la vichaa,Huyu Huyu tu na Hata muanzishe thread 800 kumpinga,mtachemka tu na nchi itasonga tu,nyie mtabaki na hasira zenu humu JF Lakini zitagonga mwamba tu.
 
Jamaa,kapoa saana.mpka,namuhurumia,,,siku ile ameshtukiza airport nlitegemea mtu atumbuliwe..maana yule maza alimdanganya lkn hakufanya hvo.asa nkajiuliza,mbona Mama Kilango alidanganyq na yy lkn akatumbuliwa
Mimi mwenyewe nilishangaa aliyokuwa anaongea kiupole siku hiyo
 
Nkuba25,
hapa umenena.
--->>
Bado
anaangaika na kodi za
machinga na mama
Ntilie, wakati kule
kwenye madini
wanawaanchia
wazungu wanachukua
madhahabu na Almasi
bureee kabisa. Hana
vyanzo vipya vya kodi
zaidi ya kumbana
mwananchi wa kawaida...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…