Magufuli alihujumiwa na Makonda?

Magufuli alihujumiwa na Makonda?

Griss

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2025
Posts
337
Reaction score
1,945
Leo hii tunaona wote, wale wanaoamini katika Magufuli wamewekwa benchi.

Lakini aliyetuaminisha Ridhiwani anauza madawa ya kulevya anachanja mbuga tu.

So ilikuwa mipango ili aaminike na Magufuli ili badae amuuze ?

Imagine Makonda asingekuwa team Msonga kisasi chake kingekuwaje leo?

Angalia Sabaya alivyopitishwa kwenye msoto.

R.I.P Magufuli
 
Leo hii tunaona wote, wale wanaoamini katika Magufuli wamewekwa benchi.

Lakini aliyetuaminisha Ridhiwani anauza madawa ya kulevya anachanja mbuga tu.

So ilikuwa mpango ili aaminike na Magufuli na amuamini ili badae amuuze ?

Imagine Makonda asingekuwa team Msonga kisasi chake kingekuwaje leo?

R.I.P Magufuli
Hili mbona lipo wazi.
 
Leo hii tunaona wote, wale wanaoamini katika Magufuli wamewekwa benchi.

Lakini aliyetuaminisha Ridhiwani anauza madawa ya kulevya anachanja mbuga tu.

So ilikuwa mpango ili aaminike na Magufuli na amuamini ili badae amuuze ?

Imagine Makonda asingekuwa team Msonga kisasi chake kingekuwaje leo?

R.I.P Magufuli
Huyo aliwahi kuwa kuwadi wa mama zamani za kale
 
Leo hii tunaona wote, wale wanaoamini katika Magufuli wamewekwa benchi.

Lakini aliyetuaminisha Ridhiwani anauza madawa ya kulevya anachanja mbuga tu.

So ilikuwa mpango ili aaminike na Magufuli na amuamini ili badae amuuze ?

Imagine Makonda asingekuwa team Msonga kisasi chake kingekuwaje leo?

R.I.P Magufuli
Kwa wale ambao hawamjui vizuri Makonda ni miongoni mwa zile product za wana Mtandao kupitia Samuel Sitta(Kumbuka ni miongoni mwa wana mtandao mwandamizi)
Na aka rectruited Tiss kupitia Mikono ya Benard Camilius Membe na Makonda ndiye alikuwa akimsanua Membe mipango yooote michafu dhidi yake Magufuli alikuja kujua ikiwa toooooooo late na ndiye kwenye Serikali yake awamu ya pili alimkata Bashite jina kule kigamboni kumtupa nje ya uzio lakini kama nilivyosema it was tooooooooo lateeeeee kwa JPM.

Makonda snitch kama masnitch wengine na pia alikuwa ashawageuka wana mtandao hivyo hadi sasa haaminiki kama mwanzo isipokuwa wanataka kumtumia ili wakishakaa mtandaoni 2027 watampangusa taratibu hadi kufika 2030 tutarudi wote hapo panapo uzima huyo Bashite atakuwa kama Majaliwa tu wa leo.
 
Kwani Makonda ameanza kula cake ya taifa si wakati wa Jakaya? Akimfunga kamba za viatu Riz1,
Je Makonda hakuwa na ukaribu na familia ya Mzee sitta? Ambao ni mwanamtandao mwenzao?

Makonda aliwekwa karibu na JPM ili kikosi fulani kipate ushindi, naye Mwendazake alishindwa kung'amua hilo, kisa ukabila, ndo kimemlambaa hivyoo.
Doooh
 
Kwa wale ambao hawamjui vizuri Makonda ni miongoni mwa zile product za wana Mtandao kupitia Samuel Sitta(Kumbuka ni miongoni mwa wana mtandao mwandamizi)
Na aka rectruited Tiss kupitia Mikono ya Benard Camilius Membe na Makonda ndiye alikuwa akimsanua Membe mipango yooote michafu dhidi yake Magufuli alikuja kujua ikiwa toooooooo late na ndiye kwenye Serikali yake awamu ya pili alimkata Bashite jina kule kigamboni kumtupa nje ya uzio lakini kama nilivyosema it was tooooooooo lateeeeee kwa JPM.

Makonda snitch kama masnitch wengine na pia alikuwa ashawageuka wana mtandao hivyo hadi sasa haaminiki kama mwanzo isipokuwa wanataka kumtumia ili wakishakaa mtandaoni 2027 watampangusa taratibu hadi kufika 2030 tutarudi wote hapo panapo uzima huyo Bashite atakuwa kama Majaliwa tu wa leo.
Hii ni kweli kabisa ova
 
Kwani Makonda ameanza kula cake ya taifa si wakati wa Jakaya? Akimfunga kamba za viatu Riz1,
Je Makonda hakuwa na ukaribu na familia ya Mzee sitta? Ambao ni mwanamtandao mwenzao?

Makonda aliwekwa karibu na JPM ili kikosi fulani kipate ushindi, naye Mwendazake alishindwa kung'amua hilo, kisa ukabila, ndo kimemlambaa hivyoo.
Doooh

Ulikuwa ukosefu wa maarifa.
Ila amini nakuambia huko mbeleni huyohuyo atalipa kisasi
 
Huyo Jiwe aliwadedisha akina Ben saa8, kujaribu kumdedisha Lissu, kuonea viongozi wa dini akina Askofu Saba, Niwemugizi, Kakobe etc.
Naye hakuwa mzuri kivile. Kama wenzie walimtaim basi pole yake!
 
Mwakyembe, Samwel Sitta, Anna Kilango, Makonda walikuwa wanachama wa kundi la kupambana na mafisadi.

Tarehe 28 Jan 2012 waliudhuria Kanisani Kwa Gwajima.

kipindi hicho alikuwa mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa kilimanjaro.

Baada ya hapo akaja akawa mkuu wa wilaya ya kinondoni(JK).

Halafu Mkuu wa Mkoa DSM(JPM)
 
Back
Top Bottom