Magufuli alihujumiwa na Makonda?

Magufuli alihujumiwa na Makonda?

Leo hii tunaona wote, wale wanaoamini katika Magufuli wamewekwa benchi.

Lakini aliyetuaminisha Ridhiwani anauza madawa ya kulevya anachanja mbuga tu.

So ilikuwa mpango ili aaminike na Magufuli na amuamini ili badae amuuze ?

Imagine Makonda asingekuwa team Msonga kisasi chake kingekuwaje leo?

R.I.P Magufuli
Samia hadi 2045..mtaweukaa!
 
Kwa wale ambao hawamjui vizuri Makonda ni miongoni mwa zile product za wana Mtandao kupitia Samuel Sitta(Kumbuka ni miongoni mwa wana mtandao mwandamizi)
Na aka rectruited Tiss kupitia Mikono ya Benard Camilius Membe na Makonda ndiye alikuwa akimsanua Membe mipango yooote michafu dhidi yake Magufuli alikuja kujua ikiwa toooooooo late na ndiye kwenye Serikali yake awamu ya pili alimkata Bashite jina kule kigamboni kumtupa nje ya uzio lakini kama nilivyosema it was tooooooooo lateeeeee kwa JPM.

Makonda snitch kama masnitch wengine na pia alikuwa ashawageuka wana mtandao hivyo hadi sasa haaminiki kama mwanzo isipokuwa wanataka kumtumia ili wakishakaa mtandaoni 2027 watampangusa taratibu hadi kufika 2030 tutarudi wote hapo panapo uzima huyo Bashite atakuwa kama Majaliwa tu wa leo.
Makonda mwasisi wa Wasiojulikana
 
siku za mwishoni makonda aliondolewa ukuu wa mkoa nafikiri, labda sababu ni snitching …
 
Leo hii tunaona wote, wale wanaoamini katika Magufuli wamewekwa benchi.

Lakini aliyetuaminisha Ridhiwani anauza madawa ya kulevya anachanja mbuga tu.

So ilikuwa mpango ili aaminike na Magufuli na amuamini ili badae amuuze ?

Imagine Makonda asingekuwa team Msonga kisasi chake kingekuwaje leo?

R.I.P Magufuli
Hili jambo linafahamika kipindi kirefu sana mkuu.
 
Sikujua kama mji wetu wa Arusha una washamba kiasi hiki...kila mahali leo ni Makonda, wadudu, boda boda eti wanamsindikiza kuchukua fomu...yaani tuko nyuma sana kama Makonda leo ni hero wa Arusha, ni masikitiko
Hilo si tatizo la ushamba pekee mkuu, ni ujinga.

Kwa makadirio ya haraka zaidi ya 90% ya watanzania ni wajinga walio na uwezo wa kufikiri ulio chini sana kiasi cha kustaajabisha
 
Makonda alianza kua DC kinondoni enzi za kikwete akiwa na miaka 28 tu.
Sio kweli kwamba alikuwa na miaka 28 unajua aliteuliwa lini UDC na mwaka wake aliozaliwa ?

Aliteuliwa mnamo tarehe 18 february,2015 na JK. Wakati huo makonda alikua na miaka 33,paulo makonda amezaliwa 15 February, 1982 kijiji cha Kolomije,wilayanl misungwi mkoani Mwanza

Mnamno tarehe 13 march,2016 Makonda aliteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa DSM na Rais Magufuli,makonda akiwa na umri wa miaka 34 ametumikia nafasi ya mkuu wa mkoa wa DSM mpaka mwaka 2020


Ukiwa chawa wake inatakiwa pia umjue vizuri😆 sio unakuwa chawa mandazi
 
Leo hii tunaona wote, wale wanaoamini katika Magufuli wamewekwa benchi.

Lakini aliyetuaminisha Ridhiwani anauza madawa ya kulevya anachanja mbuga tu.

So ilikuwa mipango ili aaminike na Magufuli ili badae amuuze ?

Imagine Makonda asingekuwa team Msonga kisasi chake kingekuwaje leo?

Angalia Sabaya alivyopitishwa kwenye msoto.

R.I.P Magufuli
Makonda aliwauza wengi sana...
Opportunist.
 
Kwa wale ambao hawamjui vizuri Makonda ni miongoni mwa zile product za wana Mtandao kupitia Samuel Sitta(Kumbuka ni miongoni mwa wana mtandao mwandamizi)
Na aka rectruited Tiss kupitia Mikono ya Benard Camilius Membe na Makonda ndiye alikuwa akimsanua Membe mipango yooote michafu dhidi yake Magufuli alikuja kujua ikiwa toooooooo late na ndiye kwenye Serikali yake awamu ya pili alimkata Bashite jina kule kigamboni kumtupa nje ya uzio lakini kama nilivyosema it was tooooooooo lateeeeee kwa JPM.

Makonda snitch kama masnitch wengine na pia alikuwa ashawageuka wana mtandao hivyo hadi sasa haaminiki kama mwanzo isipokuwa wanataka kumtumia ili wakishakaa mtandaoni 2027 watampangusa taratibu hadi kufika 2030 tutarudi wote hapo panapo uzima huyo Bashite atakuwa kama Majaliwa tu wa leo.
Samahani lakini lazima niseme wazi kuwa nyie nyumbu wa lissu na walinda legacy wa JPM ni watu wamoja wapumbavu sana. Huo ni ukweli
 
Leo hii tunaona wote, wale wanaoamini katika Magufuli wamewekwa benchi.

Lakini aliyetuaminisha Ridhiwani anauza madawa ya kulevya anachanja mbuga tu.

So ilikuwa mipango ili aaminike na Magufuli ili badae amuuze ?

Imagine Makonda asingekuwa team Msonga kisasi chake kingekuwaje leo?

Angalia Sabaya alivyopitishwa kwenye msoto.

R.I.P Magufuli
Kwani Konda alikuwa zao la Mwendazake?
 
Bashite ni nyoka mwenye sumu kali sana. Mafanikio yake anayapata kwa kuwafitini wengine. Bahati mbaya wananchi wengi wako na low thinking capacity amefanikiwa kuwalaghai.
Mbona wewe unalaghaiwa na Slowslow Mzee wa Vieteli na yule tajpri mwizi wa sadaka unakenua tuu?
 
Back
Top Bottom