Hizi ndio cheap popularity za kijinga lakini zina mwisho wake
Hahahaaaaa, utaumia sana mkuu...
Hizi ndio cheap popularity za kijinga lakini zina mwisho wake
Huenda kweli ni mchapakazi, lkn huenda anaamini kama wahandisi ujenzi wengi wanavyoamini..UKITAKA KULA DILI LISILO NA JASHO NENDA 'SITE'...!wakati wengine muda huo ndo walikuwa wanapigwa dose ya mwisho mwisho na sangoma,
wakati wengine wapo na vimada pale white sand,
wakati wengine wakiwa wanaangalia mahekaru yao,
wakati wengine wakiwa wanabeza report za kamati ya tokomeza ujangili,
Yeye jumapili hii siku ya mapumziko anawatumikia watanzania,
Hivi huyu hawezi kuingia na kuwatumikia watanzania pale ikulu?
naam majibu yapo kwetu watanzania!
uchaguzi wa mizigo au wawajibikaji ni juu yetu 2015,
Haya basi, leo nenda kajisifu kwa Mkeo kuwa umeongea na SIKONGE wa JF.
Waswahili hamnaga chema. Wewe mbona hucheza peku na huulizwi? Ni mfano gani unatoa kwa timu pinzani? It wasn't official..
.........kwani wewe ni mke mdogo !???
Tatizo la tanzania sio chama,, tatizo ni watu,,, watendaji wengi na watanzania wengi hatuna uzalendo.. hili ni tatizo kubwa la nchi yetu,,, asilimia 80% ya watanzania si wazalendo,, ila ni wabinafsi, wanafiki nk.. huyu jamaa kidogooo anaonyesha yupo kundi gani!!!! je wewe??? jiulize na ujipime mwenyewe then toa majibu kwenye kichwa chako je nikipewa dhamana/madaraka kwenye taifa hili nitakuwa mzalendo???
Chato ingekuwa nchi!
Hana lolote alikuwa ana habari ya kilichokuwa jamaa anatafuta umaarufu wakijinga mwizi mkubwa
Hujaelewa the context of my comment!!!Chato ingebaki Wilaya ya TZ!
Hujaelewa the context of my comment!!!
Kweli kabisa mkuu sio huo mzigo ulioshika hiyo nafasi ya uwaziri mkuu kwa sasaKwa kweli nimeipenda hii. Kudrive gari lake mwenyewe, kuvalia casual, kukagua daraja wakati macho na masikio ya wote wakiwa Ikulu.
Huyu mtu anastahili kuwa sehemu fulani zaidi ya hapa. Pengine uwaziri mkuu unamfaa kabisa. Uchapa kazi wake ni wachache sana wanao, na wenye nao hawaishi Tanzania.
wewe unajuaje aliye ripoti hakwenda nae?
Huyu ndo angekua rais