Nimeshangaa hata kutoamini macho yangu kipindi tupo twasikiliza redio kutangazwa baraza la Mawaziri , Dr. Magufuli alikuwa hapa kwenye Ujenzi wa daraja la Kigamboni na tena akiwa peke yake kavaa casual alikuwa anadrive Gari lake mwenyewe. Watu wamecheka na kufurahi kwa vile kaondoka pale kwenda kukagua eneo lenye utata wa kupisha Ujenzi , inaonekana hata hajui kinachoendelea Ikulu!
Pata picha zake:
Source: mimi mwenye, fundi mchundo darajani
Pata picha zake:
Source: mimi mwenye, fundi mchundo darajani