Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,163
- 5,766
kumbe hujui mahakamaccm?
Tangu lini?
kumbe hujui mahakamaccm?
Ingekuwa mm ninamaamuzi hawa mawazir na manaibu woye wangekiwa wanajiendesha wenyewe hakuna sababu ya kuendeshwa kwakwel hii nimeipenda sana
Source: mimi mwenye, fundi mchundo darajani
miaka hamsini tokea sasaTangu lini?
wewe unajuaje aliye ripoti hakwenda nae?
Huyu ndo angekua rais
Chato ingekuwa nchi!
Kiukweli magufuli ni mzalendo anaipenda nchi take p
Magufuli ni jembe yani huyu kama angepata nafasi ya kugombea uraisi 2015 Nina uhakika angeshinda kwa kura nyingi sana kwani amekua kiongozi bora na mwenye mfano wa kuigwa na viongozi wengine. Big up magufuli
Nyumba za serikali ishirikiana na bosi wake wa enzi hizo.Kakuibia nini mkuu?