Magufuli akagua daraja la Kigamboni

Magufuli akagua daraja la Kigamboni

Hana lolote alikuwa ana habari ya kilichokuwa jamaa anatafuta umaarufu wakijinga mwizi mkubwa

Binadamu kazi sana Mtuakijitolea kufanya kazi anatukanwa eti ana tafuta umaarufu mtu akiwa hafanyikazi eti ni mzigo kwaserikali

sasa kipi bora ? Afanye nini ili umwelewe ?
 
Ukitaka kujua UBABE wa Wana Siasa na kutokuheshimu sehemu za kazi na sheria zake ni hapa.

Nimeshaona mara nyingi sana viongozi wanafika sehemu za UJENZI na wanakuwa hawajavaa nguo za kikazi na cha muhimu ni ile Kofia ya kujikinga kichwani ambayo ni LAZIMA uwe nayo. Wengi mmeshaona hilo na mtaendelea kuona. Nimeshaambiwa kuwa huwa wanaandaliwa ila wao WANAGOMA kuvaa..... Halafu utegemee nchi iendelee.....

attachment.php

sasa ebu angalia apo aliposimama unataka avae kofia la nini???!! au mwenzetu una makengeza unaona labda juu yake kuna falling object? na pia inawezekana ppe hawakuandaa maana aliwashtukiza
 
Sasa kati yangu na wewe, nani ana MAKENGEZA? Hivi hapa aliposimama, hakuna falling object?

Naona mapenzi yamekuzidi mwenzetu.... Nilichagua hiyo picha ili kuonyesha kuwa wengine wote wamevaa kofia kasoro yeye tu hajavaa. Haya sasa bisha na hii picha hapa chini na watu waone nani kati yetu ni MAKENGEZA.

KISHERIA, siku zote lazima ziwepo kofia (helmet) za ziada kwa wageni wanaoweza kufika sehemu hiyo hata waokoaji kama kuna kitu kikitokea. Ukifika tu wanakupa, ila wana siasa huwa wanagoma. Usibishe tu, kwani mwenzio na mambo ya ujenzi, ni kama chanda na pete. Nina habari nyingi sana za Wanasiasa kugoma kuvaa hizo kofia, usitetee jambo usilolijua.

attachment.php
sasa ebu angalia apo aliposimama unataka avae kofia la nini???!! au mwenzetu una makengeza unaona labda juu yake kuna falling object? na pia inawezekana ppe hawakuandaa maana aliwashtukiza
 
Bila shaka alishajua kuwa nafasi yake haijaguswa kwenye mabadiliko.
 
wakati wengine muda huo ndo walikuwa wanapigwa dose ya mwisho mwisho na sangoma,
wakati wengine wapo na vimada pale white sand,
wakati wengine wakiwa wanaangalia mahekaru yao,
wakati wengine wakiwa wanabeza report za kamati ya tokomeza ujangili,
Yeye jumapili hii siku ya mapumziko anawatumikia watanzania,
Hivi huyu hawezi kuingia na kuwatumikia watanzania pale ikulu?
naam majibu yapo kwetu watanzania!
uchaguzi wa mizigo au wawajibikaji ni juu yetu 2015,

Huyu ni Edward Moringe Sokoine II
 
Uwaziri mkuu haumtoshi, napenda agombee urais na kama akichukua form 2015, kanda ya ziwa CCM mtapata kura za Urais na wabunge wa kutosha maana watu wa kanda ile wanataka watu ambao wapo makini na wasiowaoga.

Kwa kweli nimeipenda hii. Kudrive gari lake mwenyewe, kuvalia casual, kukagua daraja wakati macho na masikio ya wote wakiwa Ikulu.

Huyu mtu anastahili kuwa sehemu fulani zaidi ya hapa. Pengine uwaziri mkuu unamfaa kabisa. Uchapa kazi wake ni wachache sana wanao, na wenye nao hawaishi Tanzania.
 
Mods ndio wanajua kama wewe ni fundi mchundo au magufuli mwenyewe unajipa promo.

Unafkiri viongozi wote wanamuda wakupoteza kuingia JF mbona munaipa hadhi kubwa JF hivo? Ndio maana munazidi kujihashua hapa katika forum
 
Ukitaka kujua UBABE wa Wana Siasa na kutokuheshimu sehemu za kazi na sheria zake ni hapa.

Nimeshaona mara nyingi sana viongozi wanafika sehemu za UJENZI na wanakuwa hawajavaa nguo za kikazi na cha muhimu ni ile Kofia ya kujikinga kichwani ambayo ni LAZIMA uwe nayo. Wengi mmeshaona hilo na mtaendelea kuona. Nimeshaambiwa kuwa huwa wanaandaliwa ila wao WANAGOMA kuvaa..... Halafu utegemee nchi iendelee.....

attachment.php

Tafuta vya kujadili na sio kuongeza post tu katika jukwaa
 
Magufuli hongera sana na Mungu akulinde ktk yote tenda mema utaona mafanikio yake utakapokuja kustaafu.wewe na Mwakyembe mko juu.
 
Hapo ni site ya ujenzi, mbona hajavaa PPE? Ni mfano gani kwa makandarasi kuhusu usalama kazini?

Waswahili hamnaga chema. Wewe mbona hucheza peku na huulizwi? Ni mfano gani unatoa kwa timu pinzani? It wasn't official..
 
Binadamu kazi sana Mtuakijitolea kufanya kazi anatukanwa eti ana tafuta umaarufu mtu akiwa hafanyikazi eti ni mzigo kwaserikali

sasa kipi bora ? Afanye nini ili umwelewe ?

Umasikini humfanya mtu awe confused. JK ajitahidi sana atimize ahadi yake ya maisha bora kwa kila mtanzania kwani mtu kama huyu akikutana na watu kama Maghufuli anaweza kumpiga mawe kwa kuwa akili yake ishakata tamaa na ndiyo maana hawawezi kuona chema.
 
mdudux mbona unashabikia fisadi EL unadhani WaTZ hawajui anayefilisi nchi kwa CO zake magumashi??
Peleka ushabiki wa kuliangamiza taifa kama huna akili!!
Wachana na mafisadi, the state needs a clean leadership this time round!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom