Mpap Ndabhit
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 245
- 248
Gorofa za Mbeya au sio?Kuna haja ya kuona na kupongezwa juhudi za makusudi za viongozi wetu hasa mheshimiwa Samia na Tulia.
Wananchi wa jiji la Mbeya tunaona uchumi wa mkoa wetu unakuwa Kwa kuangalia hata miundo mbinu.
Tunaona sekta ya ujenzi hususani nyumba Bora, nzuri zinaongezeka Kwa Kasi awamu hii.
Wito wangu wafanyabiashara tuendelee kuwezekeza Mbeya, pesa IPO.
uwe na Subira mkuuPicha picha???
Tz miundombinu inayotakiwa kuboreshwa ni barabara za binadamu na maji ya mvua. Ghorofa zimezungukwa na barabara za tope, mvua ikinyesha ni mafuriko.Kuna haja ya kuona na kupongezwa juhudi za makusudi za viongozi wetu hasa mheshimiwa Samia na Tulia.
Wananchi wa jiji la Mbeya tunaona uchumi wa mkoa wetu unakuwa Kwa kuangalia hata miundo mbinu.
Tunaona sekta ya ujenzi hususani nyumba Bora, nzuri zinaongezeka Kwa Kasi awamu hii.
Wito wangu wafanyabiashara tuendelee kuwezekeza Mbeya, pesa IPO.
Uko sahihi mkuu.Kwa Sasa Jiji la Mbeya linaonesha taswira ya Mji unaokua tofauti na zamani.Kuna haja ya kuona na kupongezwa juhudi za makusudi za viongozi wetu hasa mheshimiwa Samia na Tulia.
Wananchi wa jiji la Mbeya tunaona uchumi wa mkoa wetu unakuwa Kwa kuangalia hata miundo mbinu.
Tunaona sekta ya ujenzi hususani nyumba Bora, nzuri zinaongezeka Kwa Kasi awamu hii.
Wito wangu wafanyabiashara tuendelee kuwezekeza Mbeya, pesa IPO.
Kwani urban planning inazuia watu kujenga magorofa?Urban planning hapo mbeya.is poor pangeni mji wenu then mjenge hayo magorofa
Pole sana kaka hizo picha kama Kinyerezi tu! Maneno yote hayo ni kujifariji tu mji wenu bado sana!Uko sahihi mkuu.Kwa Sasa Jiji la Mbeya linaonesha taswira ya Mji unaokua tofauti na zamani.
Magorofa yanaota Kila mwaka ,pesa zipo tena ni ya watu binafsi sio Serikali kama huko wanakopendelewaga .
Baadhi ya viota vipya Jijini ππ
View attachment 2918777View attachment 2918779View attachment 2918780View attachment 2918781View attachment 2918782View attachment 2918783View attachment 2918784View attachment 2918785
Sawa kabisa ila usisahau kwamba Mbeya ni Kati ya Mikoa 3 yenye uchumi wa over 10trilion.Pole sana kaka hizo picha kama Kinyerezi tu! Maneno yote hayo ni kujifariji tu mji wenu bado sana!
Mbeya Mjini ni wapi ? ππMbeya ni kama kijiji kikubwa sana... Mwanjelwa ni pazuri kiasi na pame changamka kuliko hata Mbeya mjini... Mji mzima una ghorofa 1 tu refu kuliko yote nalo la wale masela NSSF.
Kwani mipango Mji ndio inazuia kujenga magorofa? ππHuu mji wasipofanya kitu utakua mji wa hovyo sana, sehemu kubwa haujapangwa