Magesa Mulongo na mti upindao

Magesa Mulongo na mti upindao

Ukiingia kwenye siasa, unatakiwa pia uangalie mlango wa kutokea siku ukipigwa chini, wanasiasa wengi wamekuwa wakipata wakati mgumu katika hili, maana wamekuwa wakiamini ya kuwa, watakuwa kwenye madaraka siku zote, na hivyo kujisahau kutengeza njia ya maisha mapema, wahenga walisema, cheo ni dhamana na kwa mantiki hiyo unatakiwa ufahamu ya kuwa siku moja utarudi kule ulipokuwa mwanzo, na ndo kimefanyika katika serikali hii ya awamu ya tano, hasa kwa wakuu wa wilaya, ombi langu kwao, najua wengi walikuwa hawatarajii ya kuwa wataachwq nje ya mfumo, hivyo badi ni wakati mwafaka kwao kutimia kile walichopata kwa kipindi chote cha uongozi wao kujiendeleza ili kukidhi maisha ya hapo baadae
 
Magesa Mulongo alijiona sana kwamba yeye ndo huo ukuu wa mkoa angendelea nao milele alichokifanya Arusha bado kitaendelea kumgharimu sana.
 
Kwa hiyo ukishakuwa na master's degree, basi una sifa za kufundisha Chuo Kikuu? Hivi kweli vijana watakaofundishwa na huyo jamaa kuna kitu watapata hapo? Kama wakufunzi tulio nao kwenye vyuo vyetu ni aina ya Mulongo, no wonder vijana wetu wanaomaliza vyuo vikuu miaka hii wamekuwa dhaifu sana.

Masters wapi? Huyu namfahamu ana bachelor tu
 
Na wale walimu waliokamatwa eti wanatembea na wanafunzi si ndo huyu huyu
 
Magesa hana njaaa ni kiongozi makini,kwani ukuu Wa mkoa kitugani jadili vitu vya msingi nasi MTU.
 
Tatizo la Mulongo ni makuzi yake,nakumbuka kipindi yuko Arusha nyumba ndogo yake iliegesha gari CRDB tawi la TRA sehemu isiyotakiwa hata wanausalama walipomwamuru apeleke gari sehemu nyingine bado alikaidi kisa ni yuko na Mkuu wa Mkoa mwenye dharau,majivuno mengi yasiyo na kichwa wala miguu.Askari walitoa upepo gari la nyumba ndogo lakini kwakuwa ilikuwa na uhusiano na Magesa mambo yakamalizwa taratibu.
Huyo mwanamke si ndie alitoa bastola kumtishia polisi ,akala shaba yeye???
 
Huyu jamaa alikuwa ni bonge la fisadi, anapiga sana hela za wazabuni wa miradi iliyopo mkoani. Hapa Magufuli amefanya usafi wa maana, ni sawa na kuoga kwa sabuni ya unga ambapo uchafu unatoka wote
sio za wazabuni pekee yake...hadi za wananchi na wafanyabiashara kwa kuwakopa halafu halipi..
 
Somo alilopewa Arusha la kumfunza kuacha dharau na majivuno ya kijinga halikumuingia
Kichwa jiwe
 
Magesa hana njaaa ni kiongozi makini,kwani ukuu Wa mkoa kitugani jadili vitu vya msingi nasi MTU.

Huyu ni mpambe wake aliyeguswa na kutumbuliwa kwa huyu RC asiyependwa na kila mtu.
 
Kwa comments hizi naona Mr Mulonga ana shida kubwa kwenye jamii na hatakaa abadilike
 
HIVI KUMBE MFUMO WA UONGOZI LUMUMBA UKIBORONGA UNATAFUTIWA KAZI NYINGINE KAMA KIPOOZEO NA SI KUWAJIBISHWA KISAWA SAWA KWA HASARA AU MAAFA ULIYO YASABABISHA KWA TAIFA NA WANANCHI WAKE????
VERY AMAZING IN IMAGINATION COUNTRY.
 
Back
Top Bottom