Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,633
- 2,297
Kikao kilichokuwa kimepangwa na mkuu wa mkoa wa mara, mh Magesa mulongo kimehairishwa. Hatujapata sababu rasmi za kuahirisha kikao. Nitawapa taarifa mara tu kitakapotajwa tena. Yawezekana Mheshimiwa amejipa assignment ya kuja na paper work nzuri ya kutatua matatizo ya wana mara.